...watu wa anti human traffic wapo wapi......?? nasikiaga semina tu ..TAMWA???
HUYU binti kuna siku tumepanda naye ndege tukitoka mokoani ajiwa na kichanga chake...like 3 years baby girl..alikuwa peke yake nafikiri akitoka ziara light mkoani,i can relate it was somewhere august..sijui wakati huo akikuwa amekimbiwa na maids wake wote.....maana kwa mtoto wa umri huo ukiwa na maid mzuri unamwacha tu...tena afadhali watoto wa siku hizi enzi zetu ukiwa na mwaka mmoja na nusu ...unakuta tayari mama ana mdogo wako..na wala hana mpango na wewe ..unajikokota tu unajiokoteaga matunda .,wakati wa kula chakula kinawekwa mbele yako unajiliaga...ikifika miaka kumi unaenda kupimishwa mkono uingie la kwanza na bado unakataliwa ..kwani kaumbo kanaonesha bado hata miaka saba hujafika...lakini tumedunda tu..hayo ndio maisha ya watanzania tulio wengi...wakiwemo hawa mnaowaita mawaziri leo...sasa kweli kwa maisha hayo sijui utakuwa naroho gani kunyanyasa mtoto wa mkulima...aliyekuja kufanya kazi kwako kwa kuwa mazo yao yamekopwa na shule ameshindwa kwenda..au amekimbia kuolewa au kukeketwa...huruma hakuna???
Tunashukuru kwa kukua kwa technologia ya habari, mambo mengi siku hizi hadharani mara tu yanapotokea,,, yaani Tanzania itabadilika muda si muda... na wengine mlioko hapa mnaoota Kuwa Viongozi hakikisheni hamuachi alama za mabaya tutawapiga mabomu... ya aina ya BM52
Hii inanikumbusha yule jamaa wa Ubalozi wetu DC, kesi yake iliishia wapi?
Mengi yamesemwa haa lakini mimi mtoa hoja nasema huyu Mama ni Mbabe sana hata kwa Mama yake mzazi .Kuna siku Esther Mlokole mtumishi wake wa ndani alitoroka na kweknda kanisani na huyu mama aliamka saa 4 asubuhi na kukuta mlango uko wazi ndipo hapo alipotaka kumpelekea polisi kwa kudai kwamba ana njama ili aibiwe lakini akasahau kwamba Esther imani yake kwa Mungu wake ni zaidi ya kazi za ndani za Bi Salha. Bi Salha ameweza kumuungurumia Mama yake mzazi na kutishia kukata msaada hadi mama wa watu kaamua kuwa Muislam .kaacha ukatoliki.
Issue ya mgeni kuwa mtumishi wa ndani si siri nendeni kwake pale mtamuona na mtasema naye .Maana huyu dada amekula kiapo kwamba hataacha kwenda kanisani na Bi Salha ukitaja neno Yesu ndani ya compound yake anaweza kujinyonga kasahau kwamba kabadili dini kwa kuwa amempenda Mpemba wake huyu na kwamba ndugu zake kula daraja 2 hata wale Mama yake alio zaa na mzungu bado ni wakristo .Jambo la ubaguzi wa aina hii ikiwamo dini si jambo dogo hata mara moja . Lingalikuwa dogo kwa mtu ambaye hana madaraka na mamlaka lakini kwa hili nasema watetezi wake waje watueleze hapa .
Mengi yamesemwa haa lakini mimi mtoa hoja nasema huyu Mama ni Mbabe sana hata kwa Mama yake mzazi .Kuna siku Esther Mlokole mtumishi wake wa ndani alitoroka na kweknda kanisani na huyu mama aliamka saa 4 asubuhi na kukuta mlango uko wazi ndipo hapo alipotaka kumpelekea polisi kwa kudai kwamba ana njama ili aibiwe lakini akasahau kwamba Esther imani yake kwa Mungu wake ni zaidi ya kazi za ndani za Bi Salha. Bi Salha ameweza kumuungurumia Mama yake mzazi na kutishia kukata msaada hadi mama wa watu kaamua kuwa Muislam .kaacha ukatoliki.
Issue ya mgeni kuwa mtumishi wa ndani si siri nendeni kwake pale mtamuona na mtasema naye .Maana huyu dada amekula kiapo kwamba hataacha kwenda kanisani na Bi Salha ukitaja neno Yesu ndani ya compound yake anaweza kujinyonga kasahau kwamba kabadili dini kwa kuwa amempenda Mpemba wake huyu na kwamba ndugu zake kula daraja 2 hata wale Mama yake alio zaa na mzungu bado ni wakristo .Jambo la ubaguzi wa aina hii ikiwamo dini si jambo dogo hata mara moja . Lingalikuwa dogo kwa mtu ambaye hana madaraka na mamlaka lakini kwa hili nasema watetezi wake waje watueleze hapa .
sasa kama anachukia wakristo hivi amekubali vipi kuwa nyumba ndogo ya UCHUMI UNAPAA..na kama tunavyojua uchumi ni mkristo...au yupo mbioni kusilimisha na huyu???
sasa kama anachukia wakristo hivi amekubali vipi kuwa nyumba ndogo ya UCHUMI UNAPAA..na kama tunavyojua uchumi ni mkristo...au yupo mbioni kusilimisha na huyu???