Dr Carl Benson.Bingwa wa upasuaji duniani je,Tanzania tumeshindwa kuzalisha hawa watu

Dr Carl Benson.Bingwa wa upasuaji duniani je,Tanzania tumeshindwa kuzalisha hawa watu

kazuramimba

Senior Member
Joined
Jun 14, 2011
Posts
126
Reaction score
57
Huyu jamaa ni nouma ktk mambo ya upasuaji wa watoto walio ungana..amekua akialikwa nchi mbalimbali kusaidia upasuaji hasa Afrika kusini.Huyu jamaa ni mweusi kama sisi aliyetokea familia maskini sana ya mzazi mmoja.Najiuliza je Tanzania tunashindwa kuzalisha watu wa aina hii?? Tunatumia mamilioni ya shilingi kusomesha watu nje wakirudi wanaishia kutupasua kichwa badala ya mguu. Je watanzania wenzangu tumekosea wapi?? Wahi tuwe na majanga kiasi hiki??
 
Yees, Dr. Ben Carson; ni gwiji ktk mambo ya upasuaji.
Nilishawahi kusoma vitabu vyake kama viwili hivi. Kitabu kimojawapo kina title ya : THINK BIG.
Mkuu kazuramimba, hivi unakumbuka yale yaliyompata yule daktari aliyefungua Taasisi ya Magonjwa ya Moyo?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Iselamagazi nakumbuka jamaa aliekewa mizengwe ya kutosha cjui kama hata anaendelea..Labda kwa vile madokta wetu tuna wang'oa macho na kuwatupa msituni. Ndo maana wanashindwa kuonyesha ujuzi.
 
Mkuu Iselamagazi nakumbuka jamaa aliekewa mizengwe ya kutosha cjui kama hata anaendelea..Labda kwa vile madokta wetu tuna wang'oa macho na kuwatupa msituni. Ndo maana wanashindwa kuonyesha ujuzi.

Hivi wewe unakaa ktk sayari gani? Mbona huyo bwana alishatangulia mbele ya haki!
 
Namwomba sana mungu ailinde familia yangu madactari wa tanzania nawaogopa sana.
 
Yees, Dr. Ben Carson; ni gwiji ktk mambo ya upasuaji.
Nilishawahi kusoma vitabu vyake kama viwili hivi. Kitabu kimojawapo kina title ya : THINK BIG.
Mkuu kazuramimba, hivi unakumbuka yale yaliyompata yule daktari aliyefungua Taasisi ya Magonjwa ya Moyo?
Si kauliwa na watu wasiopenda maendeleo yetu. Tanzania bila ufisadi hatuwezi kuendelea.
 
Bingwa wa upasuaji duniani alishinda World Cup gani ya upasuaji?
 
Huyu jamaa ni nouma ktk
mambo ya upasuaji wa watoto walio ungana..amekua akialikwa nchi
mbalimbali kusaidia upasuaji hasa Afrika kusini.Huyu jamaa ni mweusi
kama sisi aliyetokea familia maskini sana ya mzazi mmoja.Najiuliza je
Tanzania tunashindwa kuzalisha watu wa aina hii?? Tunatumia mamilioni ya
shilingi kusomesha watu nje wakirudi wanaishia kutupasua kichwa badala
ya mguu. Je watanzania wenzangu tumekosea wapi?? Wahi tuwe na majanga
kiasi hiki??

c'mon kuna madaktar wengi wazur sema hamjui..one of the best neuro surgeon Dr.Mtui...Mahalu wengi sana..cherish wat u have na wanatumika sana uko nje...mnaenda india mnawakuta hao hao,kama hamwalipi vizur kwanin wasikimbilie nje
 
Hapa tz muhimbil kuna daktari niliona kwny newz ameweza kufanya upasuaji wa watoto walioungana.
Tanzania tunaweza.
 
usiandike vitu kama hujui..haitwi Carl Benson anaitwa Ben Carson...mkifeli mitihani mnaanza kusema NECTA wamesahisha vibaya ...mitanzania bana sijui mkoje

Ebhana mie nimefungua huu uzi kumjua huyo Carl Benson ni nani coz mie ninaemjua ni mwingine kabisa Dr. Ben Carson with his brother Curtis Carson
 
Back
Top Bottom