DR Congo: Makubaliano ya kusitisha Vita yavunjika tena, mapigano yaanza upya

DR Congo: Makubaliano ya kusitisha Vita yavunjika tena, mapigano yaanza upya

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
1678197764216.gif

Vyanzo mbalimbali ikiwemo #BBC vimeripoti kuwa Wafanyakazi wa Mashirika ya misaada kutoka maeneo ya Mashariki mwa #DRC wamesema kuna mapigano mapya kati ya Jeshi la Serikali na Waasi wa M23.

Serikali imeshutumu Waasi kwa shambulio la Machi 7, 2023 lililosababisha raia wengi kukimbia makazi yao, wakati huo huo #M23 wanasema licha ya kukubali suluhu ya amani wataendelea kujilinda dhidi ya mashambulizi ya Jeshi la Congo au washirika wake.

Aidha, Serikali ya #Rwanda imekanusha kuunga mkono Waasi ambao wameteka maeneo makubwa katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita huku wakitishia kuuteka Mji wa Kibiashara wa #Goma.

====================

A ceasefire has taken effect in the east of the Democratic Republic of Congo, although it is not clear whether it is being respected.

The UN Secretary General has urged the M23 rebel group to stop fighting and withdraw from captured territory.

The rebels launched fresh attacks on Congolese army positions on Monday, seizing a town and several villages.

Rwanda denies backing the M23 which has captured large swathes of territory over the past year and is threatening the regional capital Goma.

BBC
 
Wananchii inabidi kua na tahadhari ii ng'ata puliza haina matokeo mazuri Bora kujua moja
 
wazungu sio watu kabisa ...wanapiganisha wakongo wao wanachukua mali tu
 
Back
Top Bottom