DR Congo yaishutumu Rwanda kuisapoti M23 baada ya kutokea mashambulizi makali

DR Congo yaishutumu Rwanda kuisapoti M23 baada ya kutokea mashambulizi makali

Rwanda ni kanchi kadogo sawa na mkoa wa Dodoma, lakini kana watu 12m+, eastern Congo kuna banyamulenge wengi sana (watutsi waliolowea) ambao hutamani kuimega congo ili iongeze ardhi kwa Rwanda. kuna siku eastern Congo itakuja kujitenga na kuwa part of Rwanda kama ilivyo kwa majimbo yaliyo mpakani mwa urusi kujimega toka ukraine. siku zoote hata iweje, hiyo ni sera ya Rwanda hawatakuja kuiacha hadi wafanikiwe kwasababu ina maslahi mapana kwa nchi. Dawa yao ni kupeleka JWTZ, na samia aachane na kagame, tuwe karibu na burundi na wakati huohuo m7 anaendelea kumbana paka abaki peke yake.

sasaivi dr congo imejiunga na East AFrica community, hivyo DR Congo wakiwa pamoja sana na Burundi, Tanzania, Kenya na kwa mbaali Uganda, Rwanda atabaki peke yake na ataona hamna namna ila kuwa na adabu tu. Tanzania tungekuwa ni nchi kubwa kidunia kama zilivyo hizo zinazopigana huko, tulikuwa na sababu ya msingi sana kwenda kuweka base yetu Congo, na Congo wangekubali kwasababu wanatukubali sana. sema ndio hivyo, nchi yenyewe hata bajeti ya jeshi ni ya 3rd world country.
Usifananishe urusi na hiyo nchi ya utopolo master.. inayoiba madini kwenye ardhi ya waafrika wenzao
 
Kwann Rwanda wamefanya utoto namna hiyo..Foristance makombora hayo wangehis yametoka tanzania au Kenya je wangepiga hiyo mikombora 20 kuja bongo pasi na kujaribu kujua whats wrong??
Congo walipewa Muda wa kujieleza hayo makombora Ni kwanini FARDC wameyarusha ndani ya Rwanda?walijieleza Nini baada ya kupewa nafasi ya kujitetea?
 
Kwa hizo shutuma, kwani wao Rwanda wanataka nini...zaidi.
 
Congo walipewa Muda wa kujieleza hayo makombora Ni kwanini FARDC wameyarusha ndani ya Rwanda?walijieleza Nini baada ya kupewa nafasi ya kujitetea?
Hapo nimekusoma...ila Rwanda bado hakuonyesha ukomavu kabisaaaaaa kama a civilized state.Sijui huwa anaota vp kuwa na ushawish maziwa makuu kwa namna hiyo ya ku handle mambo
 
Kumbe ndio sababu yule mtawala chuma alifarakana na Jk miaka ile
Jk alimtembezea moto kichizi kipindi kile,
Jwee sio watu,pk wanaiba sana madini congo,uzuri wake anajengea nchi yake vizuri tu..

Hapo Pk anatafuta huruma kwa maza,anajua akiagiza troops Congo??shughuli ya M23 imeisha hiyoo,Jwee sio
 
Kagame alituma ujumbe wake kuja kumkaribisha mama huko Kigali kwny CHOGM,na Waziri huyo wa mambo ya Nje ameenda pia Nchi nyingine kukaribisha marais wa nchi hizo.
Sasa unabishana na mimi? Mimi nipo ndani ya Ikulu ya chamwino yani najua taarifa zote muhimu za wageni wanaoingia . Sawa?
 
Sasa unabishana na mimi? Mimi nipo ndani ya Ikulu ya chamwino yani najua taarifa zote muhimu za wageni wanaoingia . Sawa?
[emoji1][emoji1][emoji1] sawasawa.
FSvjQPDX0AY8X8W.jpg
 
Back
Top Bottom