Dr. David Bell: Magufuli kukataa lock down nchini Tanzania kuliokoa maisha ya maelfu ya watu

Dr. David Bell: Magufuli kukataa lock down nchini Tanzania kuliokoa maisha ya maelfu ya watu

Sweden hawakuweka lockdown na zipo nchi nyingine pia.
Sweden waliweka lockdown kwa wazee hasa kuanzia miaka 70 kuendelea, walitengwa katika makazi maalum. Pia kulikuwa na social distance na uvaaji wa barakoa. Ibada zilizuiwa. Nyingi waliendesha kwa online na watu kusalia majumbani kwao. Shughuli nyingi zilifungwa ikiwepo na migahawa.
Kuna nchi ambazo hawakuwa na full lockdown lakini shughuli nyingi zilifungwa. Mfano Ethiopia walifunga shughuli zote za serikali. Maofisi yalifungwa. Makanisa na misikiti ilifungwa. Pia ilikuwa ni sheria kuvaa barakoa, usipovaa unakula bakora, na hata unaweza fungwa.
Tanzania ilikuwa tofauti, zilizofungwa ni shule pekee, ila huduma nyingine ikiwepo kuabudu iliendelea. Na haikuwa lazima kuvaa barakoa.
 
Kuna dada mmoja mlokole yupo Tegeta. Alikuwa anamsifia Magufuli kuwa kamaliza Corona Tanzania. Mwaka jana mwezi June/Julay mama yake na bibi yake walikufa kwa Corona. Walipishana siku mbili.

Hadi leo hataki kumsikia Magufuli.
Vitu vyengine vinafurahisha kweli sasa Magufuli ana kosa gani hapo? huyo dada kweli chenga.
 
Sweden waliweka lockdown kwa wazee hasa kuanzia miaka 70 kuendelea, walitengwa katika makazi maalum. Pia kulikuwa na social distance na uvaaji wa barakoa. Ibada zilizuiwa. Nyingi waliendesha kwa online na watu kusalia majumbani kwao. Shughuli nyingi zilifungwa ikiwepo na migahawa.
Kuna nchi ambazo hawakuwa na full lockdown lakini shughuli nyingi zilifungwa. Mfano Ethiopia walifunga shughuli zote za serikali. Maofisi yalifungwa. Makanisa na misikiti ilifungwa. Pia ilikuwa ni sheria kuvaa barakoa, usipovaa unakula bakora, na hata unaweza fungwa.
Tanzania ilikuwa tofauti, zilizofungwa ni shule pekee, ila huduma nyingine ikiwepo kuabudu iliendelea. Na haikuwa lazima kuvaa barakoa.
Mimi naongelea total lockdown.
 
Wamepata wapi twakwimu za wagonjwa na vifo wakati ilikua ni siri ya kinjekitile?

Huu ni ugoro full stop.
Takwimu zinakufanya ujue idadi katika wingi wa wagonjwa wenye kuhitaji mashine za kusaidia kupumua, takwimu zinakufanya ujue idadi ya maiti katika wingi misiba iliyopo.
 
Naomba mnisaidie hivi ni dunia nzima ilikua katika lockdown isipokua Tanzania tu?
Nope sweden hakukua na lock down. Nadhani mie nakubaliana na wazo kuwa lockdown kwa TZ pengine haikuwa na umuhimu. Lakini nabakia na msimamo wangu wa kisayansi kupiga chanjo, kuvaa barakoa hususan kwenye maeneo yaliojifunga, msikitini kwenda na mkeka wangu n.k.

Siamini kama kufusha na nyungu au vituguu saumu vitaweza kutuvusha kwenye janga la covid.
 
Magu aliiunganisha nchi ktk vita ya covid 19... Alimuheshimisha MUNGU ktk nchi - kila anaemwabudu Mungu hatutamsahau JPM ! ... Hakika nchi ilhamasika ikaitikia ..ktk dunia iliyochoka kama hii kumtaja Mungu siyo jambo jepesi ( hasa kwa wanasiasa )
 
Jumaapili Kareem!

Huu ukweli hata chadema na Mwenyekiti wa kudumu Mh. Mbowe anajua na alishakiri, kwamba Hayati Magufuli ametufunza ujasiri na udhubutu wa kufanya tofauti.

Najaribu kutazama swala la kukabiliana na Corona naona kabisa bado kuna kivuli cha Hayati kipo nyuma ya maamuzi ya Marais wetu waliobaki.

Si kwania mbaya bali walijifunza kwake na wakaona inalipa ila wao wameboresha kwa aina yao.

Hebu fikiria angekua ni Mh. Mama Corona ilivoingia 2020 nadhani tungepitia njia waliopitia wakenya kwakua mama ni "professionalism " anaye amini katika mlengo wa kimataifa zaidi.

Swala la kukubali chanjo iwe kwa hiari na kuweka masharti/mkazo nafuu kwenye kupambana na maambukizi ya corona ni dhahiri shairi bado wanaenzi ujasiri wa Haiti katika pambano hili.

Hivyo mnyonge tu mnyonge ila haki yake tumpeni.

Note: Mimi sio mataga,sukuma gang Wala team Veronica na Musiba....
#kaziiendeleeeeee
 
Ngoma hiyo, JPM aliicheza kijanja Sana, ki ukweli TZ tunaishi habari ya korona hatuna, ikitajwa kama hivi, ndio tunashituka kuona, aahaaa..! Kumbe tupo Kwenye janga la kidunia la ugonjwa wa korona
 
Hata mimi najuai ni kwa watu ''maalum'' kama wewe. Mimi niko hapa kukuondoa kutoka kwenye hilo kundi la ''umaalum''. Na ndiyo lengo hasa la JF.
Umekosea kidogo. Siko huko.
Sina hakika kama una habari kuwa kuna watu waliaojiriwa kwa kazi maalum ya “kuthibisha kuwa Magufuli alikuwa sawa (right) katika kila alichosema na kuagiza”? Kuwa alikuwa “infallible”? - kama Mungu.
Nina ndugu yangu mmoja siku ya taarifa ya kifo alilia sana kiasi cha kuniduwaza kabisa. Nilipomuuliza kulikoni akanijibu “yaani sasa wale maadui watajisifu kuwa corona imemshinda!” kilio kikaendelea na kuugulia siku nzima!
Hao watu na mada zao hapa JF zinatambulika kwa mtindo wa maandishi, nukuu fake, upenzi wa conspiracies na wanavyopokezana majibu (replies). Hawana haja ya ukweli wala mantiki.
Ukiweza kuwashawishi waachane na ujinga huo litakuwa jambo la heri sana.
 
Umekosea kidogo. Siko huko.
Sina hakika kama una habari kuwa kuna watu waliaojiriwa kwa kazi maalum ya “kuthibisha kuwa Magufuli alikuwa sawa (right) katika kila alichosema na kuagiza”? Kuwa alikuwa “infallible”? - kama Mungu.
Nina ndugu yangu mmoja siku ya taarifa ya kifo alilia sana kiasi cha kuniduwaza kabisa. Nilipomuuliza kulikoni akanijibu “yaani sasa wale maadui watajisifu kuwa corona imemshinda!” kilio kikaendelea na kuugulia siku nzima!
Hao watu na mada zao hapa JF zinatambulika kwa mtindo wa maandishi, nukuu fake, upenzi wa conspiracies na wanavyopokezana majibu (replies). Hawana haja ya ukweli wala mantiki.
Ukiweza kuwashawishi waachane na ujinga huo litakuwa jambo la heri sana.
Asante. Nilikuwa sijakuelewa na samahani.
 
Akina Kigwa wako wengi . Mwandishi nae kafuata hisia Zake badala ya fact.
POSHO ZA WIZARA YA FEDHA MWEZI MARCH,APRIL NA MEI.

Tarehe 31/03/2021 Shilingi 251,000,000/= (kazi maalum)

Siku hiyo hiyo tena tarehe 31/03/2021 Shilingi 198,000,000/=

-Mwezi April ilikuwa balaa.

Tarehe 08/04/2021 Shilingi 44,500,000/=

Tarehe 13/04/2021 Shilingi 155,295,000/=

-Tarehe 30 April nayo ilikuwa balaa

Tarehe 30/04/2021 Shilingi 43,900,000/= (kuandaa mpango wa kuhifadhi mazingira)

Tarehe 30/04/2021 Shilingi 14,400,000/=
(siku ya wanawake)

Tarehe 30/04/2021 Shilingi 43,000,000/=

Mei mosi siku ambayo sio ya kazi.

Tarehe 01/05/2021 Mei Mosi asubuhi Shilingi 184,100,000/=

Tarehe 01/05/2021 Mei Mosi Mchana Shilingi 264,000,000/=

Tarehe 03/05/2021 Shilingi 146,500,000/=
(Kuandika mpango Kazi wa manunuzi watu 125 [emoji3])

Siku hiyo hiyo tena Shilingi 171,200,000/=(kuandaa nyaraka za bunge)

#WeMissYouJPM.
#Tunakukumbuka JPM.
 
Nope sweden hakukua na lock down. Nadhani mie nakubaliana na wazo kuwa lockdown kwa TZ pengine haikuwa na umuhimu. Lakini nabakia na msimamo wangu wa kisayansi kupiga chanjo, kuvaa barakoa hususan kwenye maeneo yaliojifunga, msikitini kwenda na mkeka wangu n.k.

Siamini kama kufusha na nyungu au vituguu saumu vitaweza kutuvusha kwenye janga la covid.
Appropriate use of face masks is important. The face mask should completely cover the face from the bridge of the nose down to the chin. Clean hands with soap and water or alcohol-based hand sanitiser before putting on and taking off the face mask. When taking off the face mask, remove it from behind, avoiding to touch the front side. Dispose the face mask safely if it is disposable. Wash your hands or apply alcohol-based hand sanitiser immediately after removing the face mask. Washable, reusable face should be washed as soon as possible after each use, using common detergent at 60 °C. Campaigns for the appropriate use of face masks may improve the effectiveness of the measure.
 
Hayati MAGUFULI atabaki mioyoni mwetu kama kiongozi MWENYE MAONO NA UTHUBUTU MKUU.....

*******************
Angeweka lockdowns,leo hii TAMISEMI isingetoa nafasi za KUAJIRI WALIMU 90,000 na KADA YA AFYA.......

Walimu watakaopata AJIRA wasilisahau hilo......

May the life of the late JPM be a blessing amen[emoji120]

#KaziIendelee
Walimu 90,000 wa wapi hao!!?
Kwa nini mnakuwa waongo kama baba yenu baba wa uongo!?
 
Hajasema vifo vya uviko-19, bali ukosefu wa chakula na lishe, hususan ni kwa watoto. Muwage mnasoma kabla ya kutoa maoni.
CC: Daudi Mchambuzi

Issue hapa ni tradeoff, kwamba umepoteza wangapi na umeokoa wangapi.

Sasa kama takwimu za waliopotea hazipo, huwezi jua labda corona ilitambaa na wengi zaidi ya walio okolewa.
 
Mchambuzi kwenye gazeti hilo ambaye ni mfanyakazi aliyepita wa shirika la afya duniani (WHO) amesema kitendo cha Magufuli kukataa lock down nchini Tanzania kuliokoa maisha ya maelfu ya watu hasa akina mama, wazee na watoto.

Mchambuzi huyo amesema kwenye nchi ambazo walifungia watu ndani(lockdown) maelfu ya watu walikufa kutokana na njaa pamoja na magonjwa mengine na siyo Corona.

View attachment 1801309

======

Magufuli’s Covid response saved thousands​


Dr David Bell

He may have been ridiculed in the West for rejecting lockdowns and encouraging prayer-a-thons. But as ex-World Health Organization scientist Dr David Bell explains, Tanzania's late president John Magufuli is not seen as a pariah by many in the scientific community – he’s seen as a life-saver.

If you read the BBC website, you probably think Tanzania’s late president was either a rebel, a ‘Covid denier’ or just plain stupid.
In reality, he was none of these.

President Magufuli was actually a highly educated scientist with a PhD in chemistry, who probably saved thousands of lives by refusing to embrace lockdowns and other knee-jerk reactions foisted on the people in much of Africa and the West.

Magufuli’s decision not to lock down was consistent with the evidence-based pandemic guidelines released by the World Health Organization (WHO) in 2019.

He rightly predicted that Covid-19 mortality in Africa would be very low compared to other major killers like malaria, tuberculous (TB) and HIV-Aids, and followed good public health principles in prioritising these higher burden diseases that particularly afflict the young, while telling Tanzanians not to panic.

He also prioritised keeping the economy growing, which is in the long term the most effective way of improving life-expectancy and health. In short, he acted as you would expect a well-trained scientist and rational public health expert to act in the Tanzanian context.

Throughout the Covid-19 pandemic, the media has demanded longer and harder lockdowns, as if they were normal – or helpful.
But they rarely point out that no pandemic plan recommended mass business closures and restrictions on religious freedom, travel, or normal societal function before 2020, because removing these is expected to cause greater harm, and impinges greatly on fundamental human rights.

We never implemented any of these measures during the SARS, MERS or swine flu outbreaks of recent years. People attended places of worship, caught packed buses and trains, the young went clubbing and danced and sang and kissed.

The same was true for Tanzanians during this pandemic too.

And rightly so.

Most Tanzanians are young and not obese, and so are at very low risk from Covid-19.

President Magufuli received a lot of bad press for telling his countrymen to go to church at the start of the pandemic to ‘pray’ Covid away.

But mass gatherings would not be expected to put the vast majority of the Tanzanian population at significant risk.
Tens of thousands of sports fans went to stadiums in Florida and Texas recently, and there was no noted uptick in cases afterwards.

Of course, protecting the vulnerable from harm is important in any epidemic, and it’s difficult to say whether the mass prayer-a-thons were a good idea from a purely transmission standpoint, as they may have increased risk to older people early on in Tanzania’s outbreak.

Building so-called ‘herd immunity’ in young people rapidly through such gatherings would however be expected to exert a protective effect, if the vulnerable are well protected until such transmission-suppressing immunity is achieved.

The policy overall was probably far better for public health than strict lockdowns, which led to the first recessions in a quarter of a century in many African countries, as well as a reduction in treatment for major killers like malaria, tuberculous (TB) and HIV-Aids.
The virus that leads to Covid-19, SARS-CoV-2, is likely to become endemic, and as herd immunity is reached through natural infection or through vaccination, severe disease and death will become increasingly uncommon.

Multiple studies have shown very limited impact of stricter lockdowns on Covid-19 mortality.

Therefore, one would expect Tanzania, like Sweden, Croatia, Belarus and other ‘non-lockdown’ countries, to have similar overall Covid-19 deaths and epidemic trajectories as comparable lockdown countries in the end.

The vehement criticism of President Magufuli in the media is therefore disappointing and highly ignorant. It does appear that Western journalists find it easier to smear leaders in African countries than European leaders. Sweden's leaders, for instance, have never been labelled 'Covid deniers'.

This is not new, but perhaps shows how much hypocrisy and prejudice persist in Western society.

Tanzania appears to have done better from a health point of view than most other low-income countries through this last year. While millions of Africans have been thrown into hunger and poverty, Tanzania has seen GDP rise throughout 2020.

Falls in GDP and general impoverishment are associated with increases in all-cause mortality.

This is particularly the case in sub-Saharan Africa, where food security is often a real problem and control of endemic diseases such as malaria, tuberculosis and HIV-Aids is fragile.

It is therefore highly likely that, in maintaining a well-functioning economy, he and his government were responsible for greatly reducing mortality. UNICEF estimate almost a quarter of a million additional child deaths in South Asia in 2020 due to the responses to Covid-19 there.

It is likely that similar tolls will be seen in sub-Saharan Africa but we would expect that Tanzania will now be relatively protected from this.

Let us hope, for Tanzanians’ sake, that this continues with his successor.

Western media may have had a good laugh at President Magufuli – and Tanzanians in general – for thinking they could ‘pray’ away a virus.

But, rhetoric aside, by refusing to lockdown, and by refusing to divert health resources away from malaria and TB to test people with no symptoms for a virus with a very low fatality rate, Magufuli was following an orthodox pandemic response.

He was also orthodox in his approach to human rights. Religious freedom was considered an important human right by most Western journalists only 18 months ago, and fear should not change fundamental human rights.

Honest journalists should acknowledge the benefits of Magufuli’s approach, however much it may contradict their current preferred world view.

Ridiculing religious observances that fall outside their experience, and denigrating public health science that they clearly don’t understand, is not good journalism.

It just highlights how ignorant they are.
Watakubishia na hili pia😡!
 
Naomba mnisaidie hivi ni dunia nzima ilikua katika lockdown isipokua Tanzania tu?
Hapana, zipo nchi nyingi tuu ambazo hazikuwa katika lockdown duniani, pamoja na nchi zilizoendelea sana kama Sweden na kadhalika.
 
Back
Top Bottom