Dr. Dre ashtakiwa kwa madai ya unyanyasaji wa Mwanasaikolojia wake, adaiwa fidia ya Tsh. Bilioni 27.2

Dr. Dre ashtakiwa kwa madai ya unyanyasaji wa Mwanasaikolojia wake, adaiwa fidia ya Tsh. Bilioni 27.2

hawa wazungu sasa naona wapo serious kumfilisi mtu black people
Kuna jamaa mmoja black ameongea maneno mazito sana
Amesema uchaguzi unakuja na Blacks kila mahali kwenye mitandao yote ya jamii ilikuwa ni Kamala tu hakuna story zingine
Wazungu wakaona hapa kubadili upepo walianzishe jambo (Pdiddy)
Na wakafanikiwa haswa maana baada ya Sean kukamatwa tu mitandao yote ikaelekeza mjadala wa P Diddy
Anasema huyu muimbaji kesi zake zilikuwa zinajulikana siku nyingi ila hawakufanya kitu mpaka sasa
Nimewaza sana maana kila mmoja wetu anaona jinsi mitandao ilivyomsahau Kamala na Trump kwa mda
 
Kuna jamaa mmoja black ameongea maneno mazito sana
Amesema uchaguzi unakuja na Blacks kila mahali kwenye mitandao yote ya jamii ilikuwa ni Kamala tu hakuna story zingine
Wazungu wakaona hapa kubadili upepo walianzishe jambo (Pdiddy)
Na wakafanikiwa haswa maana baada ya Sean kukamatwa tu mitandao yote ikaelekeza mjadala wa P Diddy
Anasema huyu muimbaji kesi zake zilikuwa zinajulikana siku nyingi ila hawakufanya kitu mpaka sasa
Nimewaza sana maana kila mmoja wetu anaona jinsi mitandao ilivyomsahau Kamala na Trump kwa mda

Kwahiyo wanafanya spinning the same hapa Tanzania wanavyofanya kupitia simba na Yanga.
 
Haswaaaa
Siasa mchezo mbaya sana
Unatengeneza tukio tu
Jay z kuna msemo wake mmoja anasema hivi

"don't follow trend because trend is not you "

Anasema mambo yanoyoendelea katika maisha ikiwa hayakuhusu usijihusanishe nayo.

Mfano hii issue ya P Didy tangia itokee Mimi sijaifatilia maana najua 100& hainuhusi na hata akifungwa au akiachiwa it is OK.

Politics is dirt game.
 
Jay z kuna msemo wake mmoja anasema hivi

"don't follow trend because trend is not you "

Anasema mambo yanoyoendelea katika maisha ikiwa hayakuhusu usijihusanishe nayo.

Mfano hii issue ya P Didy tangia itokee Mimi sijaifatilia maana najua 100& hainuhusi na hata akifungwa au akiachiwa it is OK.

Politics is dirt game.
Ni kweli kabisa mkuu unakuwa na amani sana usipocgunguza au kufuatilia yasiokuhusu
Ila kwa kuwa mitandao imetupumbaza unaona mtu anafuatilia sana hata yasio kuwa na faida kwake
Ukweli ndio huo
 
Ni kweli kabisa mkuu unakuwa na amani sana usipocgunguza au kufuatilia yasiokuhusu
Ila kwa kuwa mitandao imetupumbaza unaona mtu anafuatilia sana hata yasio kuwa na faida kwake
Ukweli ndio huo


Ndo hiyo jay z kasema kuftilia habari ambazo hazikuhusu ni "house of sand "
 

Attachments

  • criadormaloka-cor-1711518657302.jpeg
    criadormaloka-cor-1711518657302.jpeg
    74.3 KB · Views: 5
Jay z kuna msemo wake mmoja anasema hivi

"don't follow trend because trend is not you "

Anasema mambo yanoyoendelea katika maisha ikiwa hayakuhusu usijihusanishe nayo.

Mfano hii issue ya P Didy tangia itokee Mimi sijaifatilia maana najua 100& hainuhusi na hata akifungwa au akiachiwa it is OK.

Politics is dirt game.
Wewe tayari umefatilia umejuaje ana kesi....!?
Au ulioteshwa mkuu...!?
 
Kuna jamaa mmoja black ameongea maneno mazito sana
Amesema uchaguzi unakuja na Blacks kila mahali kwenye mitandao yote ya jamii ilikuwa ni Kamala tu hakuna story zingine
Wazungu wakaona hapa kubadili upepo walianzishe jambo (Pdiddy)
Na wakafanikiwa haswa maana baada ya Sean kukamatwa tu mitandao yote ikaelekeza mjadala wa P Diddy
Anasema huyu muimbaji kesi zake zilikuwa zinajulikana siku nyingi ila hawakufanya kitu mpaka sasa
Nimewaza sana maana kila mmoja wetu anaona jinsi mitandao ilivyomsahau Kamala na Trump kwa mda
Swala la PDiddy maeneo kama Tanzania limejulikana miezi hii, lakini Marekani ni zaidi ya mwaka lilikywa la moto hivihivi na hadi mwaka jana ikavumishwa kuwa ametoroka, mwaka huu tena akaondoka nchini ikasemekana ametoroka.

Alipokamatwa na taarifa kutolewa kwa kina ndiyo likawa maarufu zaidi, na kwa bongo kuna waliokuwa wanalijua vyema tu na hata yule msanii wenu alipoongea kuwa kuna mambo walifanya lakini si ya ku post bado wengi walikuwa usingizini.

Watu waliamka baada ya Diddy kukamatwa na kutangazwa kwamba nyumbani kwake kuna mafuta. Mafuta ndiyo yamepelekea bongo iwe story
 
Swala la PDiddy maeneo kama Tanzania limejulikana miezi hii, lakini Marekani ni zaidi ya mwaka lilikywa la moto hivihivi na hadi mwaka jana ikavumishwa kuwa ametoroka, mwaka huu tena akaondoka nchini ikasemekana ametoroka.

Alipokamatwa na taarifa kutolewa kwa kina ndiyo likawa maarufu zaidi, na kwa bongo kuna waliokuwa wanalijua vyema tu na hata yule msanii wenu alipoongea kuwa kuna mambo walifanya lakini si ya ku post bado wengi walikuwa usingizini.

Watu waliamka baada ya Diddy kukamatwa na kutangazwa kwamba nyumbani kwake kuna mafuta. Mafuta ndiyo yamepelekea bongo iwe story
Na wamelishikilia bango haswa kuhusu msanii wenu 😄
Kutokuwa na ajira mtu anafuatilia kila kitu
 

Mtayarishaji Mkongwe wa Muziki wa HipHop na Rapa, Andre Young a.k.a Dr. Dre amefunguliwa kesi ya madai ya Fidia ya Dola Milioni 10 (takriban Tsh. Bilioni 27.2) akidaiwa kumfanyia Vitisho na Unyanyasaji aliyekuwa Mshauri na Msuluhishi wa Ndoa yake.

Dkt. Charles J. Sophy amedai mwaka 2018, Dre alianza kumtumia Jumbe za vitisho, vurugu, na maneno ya chuki usiku ikiwa ni baada ya kumsaidia kusuluhisha migogoro iliyokuwepo kati ya Dre na Nicole aliyekuwa Mke wake, kabla hawajapeana talaka.

Ndoa ya wawili hao ilivunjika rasmi Desemba 2021 baada ya Nicole kufungua Kesi ya kudai Talaka mwaka 2020 ikiwa ni miaka 24 tangu walipooana. Nicole alimtuhumu Dre kwa unyanyasaji na kutaka malipo ya zaidi ya Tsh. Bilioni 200.

=========

Dr. Dre is facing a $10 million (£7.7 million) lawsuit accusing him of a "malicious campaign of harassment".

The suit has been filed by a psychiatrist who served as a marriage counsellor and mediator for the rapper and his ex-wife before and during their divorce.

In a case filed in a Los Angeles court and reported by Billboard, Dr Charles J Sophy claimed Dre (real name Andre Young) had subjected him to an "ongoing barrage of threats" after he had "worked diligently" to help him resolve his disputes with his then-wife, Nicole Young.

"Rather than treating the mediation process as an opportunity for healing, (Dre) decided to take his frustrations about the mediation out on Dr Sophy - frustrations that manifested themselves in the form of a nearly year-long sustained campaign of late-night texts, threats of intimidation and violence, and homophobic rhetoric," wrote the doctor's lawyer, Christopher Frost.

The lawsuit seeks a restraining order against further harassment, as well as monetary damages that the accuser's attorneys say should total at least $10 million (£7.7 million). Dre is yet to comment on the accusations.

Young filed for divorce from Dre in 2020 after 24 years of marriage, citing allegations of abusive behaviour that Dre vehemently denied. After another 18 months of legal wrangling, the couple finalised their divorce in December 2021 with a $100 million (£77 million) settlement.
Hapo narlewa sasa kwanini Dre aliachana na x wake
 
This industry is in a process of remaking itself, re-inventing itself. Kuna mengi hatukuwa tunayajua. Imefika wakati lazima yaachwe. hayawezi kuachwa bila watu kadhaa kuwa ndio mifano.

Wenye hii rangi yangu, tunaweza kuona kama tunaonewa, ila ndio hivyo mambo yanavyofanya kazi. haya mabo ya kufikiri tunaweza kufanya lolote, pasipo kupata madhara yoyote ni kujidanganya
 
Back
Top Bottom