Dr Dre Overtakes Jay Z, Becomes Second Richest Rapper In Hip Hop

Dr Dre Overtakes Jay Z, Becomes Second Richest Rapper In Hip Hop

Money Stunna

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
13,053
Reaction score
6,304
Forbes, released the list today, 16th April 2014 of the wealthiest hip hop stars of 2013. it does not even come as a surprise to me that diddy is close to becoming a billionaire, neither am i surprise that dr dre has overtaken jay z. with all dem beats by dre and stuff, jay z that was busy loving up

see the top 5

Sean “Diddy” Combs | $700 Million | Revolt TV/Diageo’s Ciroc
Andre “Dr. Dre” Young” | $550 Million | Beats by Dr. Dre Headphones
Shawn “Jay Z” Carter | $ 520 Million | Rocawear Sale/Live Nation/Roc Nation
Bryan “Birdman” Williams $300 | Cash Money/YMCMB/GT Vodka
Curtis “50 Cent” Jackson | $140 Million | Vitamin Water/SMS Audio/SK Energy
 
Diddy.............Maaan!
I love the fact that Curtis is on the top 5 list though...
 
Diddy.............Maaan!
I love the fact that Curtis is on the top 5 list though...

Ukiwa makini utagundua biashara zao binafsi ndio zinalipa zaidi na zimewafanya wawe kwenye list hivyo kuna somo hapo
 
Even dre has overtaken Jayz!!!!

Its a surprise to me
 
Namba 1 na namba 2 nawapenda...
Nimefurahi
 
Hivi kwenye nyimbo Dre ashawahi funika kwenye mauzo?labda kazi zake za kuproduce na biashara zake nyingine,ila hata hivo tukiangalia kwenye mauzo ya kazi za sanaa mbali na kazi au biashara zingine wanafanya sidhani kama hao wataingia kwenye hata to 10 kwenye mauzo ya mziki
 
diddy anathibitisha anachoimba,,,
''i get money remix''
Bo knows but Diddy did it
Cars, jewelry and big homes, yeah, Diddy did it
Shootouts, coastal beefs, yeah, Diddy did it
But my lawyer's so good that Diddy got aquitted
I met J. Lopez out in St. Tropez
While you was riding around in Miami on mopeds
Oh, you just got here
I been doin this shit for over ten years
I am chilling, in Sean John denim
Nigga I don't walk nowhere I'm four wheeling
Champagne spilling, chilling, no ceiling
Stealing a quarter million, feeling, ice grilling

Hit the avenue, earthquake up the morgue
Give Jacob a call then make a withdrawal
Face on the Forbes in '94 I did it
 
Hivi kwenye nyimbo Dre ashawahi funika kwenye mauzo?labda kazi zake za kuproduce na biashara zake nyingine,ila hata hivo tukiangalia kwenye mauzo ya kazi za sanaa mbali na kazi au biashara zingine wanafanya sidhani kama hao wataingia kwenye hata to 10 kwenye mauzo ya mziki

Fuatilia album zake za Chronic na Still dre utajua alishauza nakala za kutosha
 
Hivi kwenye nyimbo Dre ashawahi funika kwenye mauzo?labda kazi zake za kuproduce na biashara zake nyingine,ila hata hivo tukiangalia kwenye mauzo ya kazi za sanaa mbali na kazi au biashara zingine wanafanya sidhani kama hao wataingia kwenye hata to 10 kwenye mauzo ya mziki

Muziki ulimtoa kias mana ndio producer wa ghali kupita wote kuna wakati kurekodi single kwake ilikua kma $100, 000
 
Hivi kwenye nyimbo Dre ashawahi funika kwenye mauzo?labda kazi zake za kuproduce na biashara zake nyingine,ila hata hivo tukiangalia kwenye mauzo ya kazi za sanaa mbali na kazi au biashara zingine wanafanya sidhani kama hao wataingia kwenye hata to 10 kwenye mauzo ya mziki

Dr. Dre yupo mbali wewe, kuanzia mziki na biashara zake nyingine. Yani huyu jamaa kimziki acha kabisa kwenye mauzo ni huku kweu tu ndo unaona namna gani vipi but acha kabisa.(Ntajitahidi kuleta ushahidi)

Kibiashara ndo usiseme yaani

Ona hiii



images
 
Back
Top Bottom