blueray said:Ni mmoja wa watuhumiwa, hana cha kusema![......mkuu unachokidai inawezekana ndicho,lakini tatizo linakuja kwenye maamuzi.Wananchi tunalalamika vile rushwa imekithiri halmashauri,maofisini na kwenye idara mbalimbali za serikali na sekta binafsi.TAKUKURU hatuna imani nayo,lakini bado tunadhurika na rushwa.Sasa tufanye nini? Maana kusema tu haitoshi kubadili mfumo.
wete said:Aliyetoa hizo habar sio zuzu anaakili zake timamu tumeona watu wanajiuzulu hawafwatiliwi!.hizo nafasi zenyewe ni za kubadilishana hakuna mwenye nguvu ya kumwazibu mwenzake na hiyo Taasisi ni kama imepotea wanalipwa majasho yetu bure na hawafanyi chochote.[>>>Kibaya zaidi wanatuambia sisi wananchi tutoe ushahidi wa tuhuma,huku watu wamejiuzuru ama kuvuliwa madaraka,kwanini wao wasifanye utafiti kama majasusi kisha walete taarifa kama rushwa ipo au haipo?