Dr. Hamisi Kigwangalla aibua upya mjadala wa uwekezaji wa Mo Dewji. Ni wapi Anakosea?

Kama sio hela unasajiri vipi wachezaje wapya pasipo kuwa na fungu, Mo ana shida ameisaidia club lakini ana upotoshaji sana na ameshatuona maboya hatuwezi hoji kitu tupo tupo tu machawa
Kigwangala na mo wanatuchezea mind game tu kutuondoa tusiongelee wachezaji vibaya wakapoteza morali tukaeni tufikirie
 
.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…