Je issue hapa ni systematic poor grammar, au random grammatical mistakes? Mimi sijawahi kusoma makala zake.KICHUGUU,no one has doubted Dr H Shayo academic merits,what we are emphasising is,on attainment of that level and one who constantly interacts with students either by the written or spoken word,half baked grammer raises grounds for concern of one's qualifications.
Ndugu wana Jamiiforum
Baada ya kuombwa na wanajamii kutafuta wasifu wa Dr. hildebrand Shayo niligundua kuwa huyu jamaa amekwenda shule kweli kweli na siyo mchezo. ninaweza kuwahakikishieni kuwa hiyo issue ya grammer ambayo baadhi yenu wamefanya kama ni kigezo ni kitu cha kawaida katika uandishi, kwani lugha ya kiingereza siyo yetu. Hata waingereza ukiwaambia waandike kiswahili sanifu watakosea tu.
Ila utafiti wangu umegundua haya yafuatayo:
Shule: Huyu jamaa alisoma shule moja huko kilimajaro inaitwa Kisuluni pr. Sch.
Secondary O level Shule ilikuwa kilimajaro na alipata Div. 1 ya point 9
secondary A level Shule morogoro alipata Div 1 point 5
Jeshini alikuwa Oljoro Programme ya chama na alikuwa F coy
Chuo kikuu cha dar es salaam alisoma uchumi
Chuo kikuu MA dar es salaam alisoma Dev. Studies
PhD Kule UK chuo kinachoitwa LSBU
Adv. Diploma GIS geographyical information system/planning pale
Canterbury University UK
Diploma Dilomancy and bilateral negotiation The Netherlands
Kazi: Aliwahi kufanya kazi ofisi ya waziri mkuu pale magogoni
Aliwahi kufanya kazi PCB uhakika muulizeni Hosea director wa PCB
Aliwahi kufanya kazi nyerere foundation kumsaidia Mwal. Nyerere
wakati wa kuwapatanisha waburudi kule arusha
Aliwahi kufundisha pale chuo kikuu IDS
chuo cha ardhi
Muhimbili
Chuo cha maofisa wa jeshi pale Kurasini
Kairuki University
Kwa sasa ni mwalimu huko UK
Chama: huyu jamaa ni mwana UVCCM card number 351008 ilitolewa Moshi 1982
CCM card number 803546 ilitolea Oljoro Arusha
KWA KIFUPI NI MWANA CCM!
Kutoka Bank niligundua anaccount CRDB
NMB tawi la mlimani chuo kikuu
Huyu jamaa ni resource person wa UN organisations, WB, SECO na mashirika mengine ya kimataifa kama BBC UK, Radio ya kiswahili Ujerumani nk.
Dini ni Mkristu na ni mseminaryna ni mtu wa familia!
Kutoka mambo ya ndani Tanzania, utafiti unaonyesha aliwahi kupata pasi ya kusafiria number A01291!! PASI IMEJAA, ALIPEWA PASI NYINGINE A00276!! NA record za hivi majuzi mwezi wa 9/2008 pale dar airport inaonyesha kuwa alipita akiwa na hii pasi mpya AB 0!64!!
mchango wake kwa jamii unaonyesha kuwa ameitembelea mikoa yote ya Tanzania katika nyakati tofauti kati ya 1997-1999. Niliwahi kukutana naye Mbekenyela na Likombe katika shughuli zake za utafiti! Ukitaka kujua ni utafiti wa namna gani basi niwaelezeni next time!!!!
NDUGU WANA JAMII FORUM, siyo kuwa ni kazi yangu kutumia gharama, muda, na kupiga simu huku na kule kutafuta data kama hizi, ila nilitaka tu kwajulisheni huyu jamaa yuko mbali na achaneni naye kabisha??????????????????
Ningewashauri nyie ambao hamna topic za maana muache hizo tabia zenu za kumlinganisha mtu kama huyu na yule mwizi wa magari Mponjoli!
ninafull biography ya huyu jamaa kwani tukiwa oljoro mimi nilikatwa bogi nikapelekwa Makuyuni na yeye akabakia Oljoro. I know him very well.
kama kuna mwana jamii forum ambaye anataka kupingana na detail hizi basi huyu atakuwa mwendawazimu.
Mimi nindahani kama angekuwa ni mtoto wa "kigogo" basi ungekuta sasa hivi ni mtu mwnye .........
huyu ni mtoto wa mkulima na amefika hapo alipo kwa JITIHADA ZAKE
Ndugu wanajamii naomba kuwakilisha HOJA!
Ndugu wana Jamiiforum
Baada ya kuombwa na wanajamii kutafuta wasifu wa Dr. hildebrand Shayo niligundua kuwa huyu jamaa amekwenda shule kweli kweli na siyo mchezo. ninaweza kuwahakikishieni kuwa hiyo issue ya grammer ambayo baadhi yenu wamefanya kama ni kigezo ni kitu cha kawaida katika uandishi, kwani lugha ya kiingereza siyo yetu. Hata waingereza ukiwaambia waandike kiswahili sanifu watakosea tu.
Ila utafiti wangu umegundua haya yafuatayo:
Shule: Huyu jamaa alisoma shule moja huko kilimajaro inaitwa Kisuluni pr. Sch.
Secondary O level Shule ilikuwa kilimajaro na alipata Div. 1 ya point 9
secondary A level Shule morogoro alipata Div 1 point 5
Jeshini alikuwa Oljoro Programme ya chama na alikuwa F coy
Chuo kikuu cha dar es salaam alisoma uchumi
Chuo kikuu MA dar es salaam alisoma Dev. Studies
PhD Kule UK chuo kinachoitwa LSBU
Adv. Diploma GIS geographyical information system/planning pale
Canterbury University UK
Diploma Dilomancy and bilateral negotiation The Netherlands
Kazi: Aliwahi kufanya kazi ofisi ya waziri mkuu pale magogoni
Aliwahi kufanya kazi PCB uhakika muulizeni Hosea director wa PCB
Aliwahi kufanya kazi nyerere foundation kumsaidia Mwal. Nyerere
wakati wa kuwapatanisha waburudi kule arusha
Aliwahi kufundisha pale chuo kikuu IDS
chuo cha ardhi
Muhimbili
Chuo cha maofisa wa jeshi pale Kurasini
Kairuki University
Kwa sasa ni mwalimu huko UK
Chama: huyu jamaa ni mwana UVCCM card number 351008 ilitolewa Moshi 1982
CCM card number 803546 ilitolea Oljoro Arusha
KWA KIFUPI NI MWANA CCM!
Kutoka Bank niligundua anaccount CRDB
NMB tawi la mlimani chuo kikuu
Huyu jamaa ni resource person wa UN organisations, WB, SECO na mashirika mengine ya kimataifa kama BBC UK, Radio ya kiswahili Ujerumani nk.
Dini ni Mkristu na ni mseminaryna ni mtu wa familia!
Kutoka mambo ya ndani Tanzania, utafiti unaonyesha aliwahi kupata pasi ya kusafiria number A01291!! PASI IMEJAA, ALIPEWA PASI NYINGINE A00276!! NA record za hivi majuzi mwezi wa 9/2008 pale dar airport inaonyesha kuwa alipita akiwa na hii pasi mpya AB 0!64!!
mchango wake kwa jamii unaonyesha kuwa ameitembelea mikoa yote ya Tanzania katika nyakati tofauti kati ya 1997-1999. Niliwahi kukutana naye Mbekenyela na Likombe katika shughuli zake za utafiti! Ukitaka kujua ni utafiti wa namna gani basi niwaelezeni next time!!!!
NDUGU WANA JAMII FORUM, siyo kuwa ni kazi yangu kutumia gharama, muda, na kupiga simu huku na kule kutafuta data kama hizi, ila nilitaka tu kwajulisheni huyu jamaa yuko mbali na achaneni naye kabisha??????????????????
Ningewashauri nyie ambao hamna topic za maana muache hizo tabia zenu za kumlinganisha mtu kama huyu na yule mwizi wa magari Mponjoli!
ninafull biography ya huyu jamaa kwani tukiwa oljoro mimi nilikatwa bogi nikapelekwa Makuyuni na yeye akabakia Oljoro. I know him very well.
kama kuna mwana jamii forum ambaye anataka kupingana na detail hizi basi huyu atakuwa mwendawazimu.
Mimi nindahani kama angekuwa ni mtoto wa "kigogo" basi ungekuta sasa hivi ni mtu mwnye .........
huyu ni mtoto wa mkulima na amefika hapo alipo kwa JITIHADA ZAKE
Ndugu wanajamii naomba kuwakilisha HOJA!
Ndugu wana Jamiiforum
Baada ya kuombwa na wanajamii kutafuta wasifu wa Dr. hildebrand Shayo niligundua kuwa huyu jamaa amekwenda shule kweli kweli na siyo mchezo. ninaweza kuwahakikishieni kuwa hiyo issue ya grammer ambayo baadhi yenu wamefanya kama ni kigezo ni kitu cha kawaida katika uandishi, kwani lugha ya kiingereza siyo yetu. Hata waingereza ukiwaambia waandike kiswahili sanifu watakosea tu.
Ila utafiti wangu umegundua haya yafuatayo:
Shule: Huyu jamaa alisoma shule moja huko kilimajaro inaitwa Kisuluni pr. Sch.
Secondary O level Shule ilikuwa kilimajaro na alipata Div. 1 ya point 9
secondary A level Shule morogoro alipata Div 1 point 5
Jeshini alikuwa Oljoro Programme ya chama na alikuwa F coy
Chuo kikuu cha dar es salaam alisoma uchumi
Chuo kikuu MA dar es salaam alisoma Dev. Studies
PhD Kule UK chuo kinachoitwa LSBU
Adv. Diploma GIS geographyical information system/planning pale
Canterbury University UK
Diploma Dilomancy and bilateral negotiation The Netherlands
Kazi: Aliwahi kufanya kazi ofisi ya waziri mkuu pale magogoni
Aliwahi kufanya kazi PCB uhakika muulizeni Hosea director wa PCB
Aliwahi kufanya kazi nyerere foundation kumsaidia Mwal. Nyerere
wakati wa kuwapatanisha waburudi kule arusha
Aliwahi kufundisha pale chuo kikuu IDS
chuo cha ardhi
Muhimbili
Chuo cha maofisa wa jeshi pale Kurasini
Kairuki University
Kwa sasa ni mwalimu huko UK
Chama: huyu jamaa ni mwana UVCCM card number 351008 ilitolewa Moshi 1982
CCM card number 803546 ilitolea Oljoro Arusha
KWA KIFUPI NI MWANA CCM!
Kutoka Bank niligundua anaccount CRDB
NMB tawi la mlimani chuo kikuu
Huyu jamaa ni resource person wa UN organisations, WB, SECO na mashirika mengine ya kimataifa kama BBC UK, Radio ya kiswahili Ujerumani nk.
Dini ni Mkristu na ni mseminaryna ni mtu wa familia!
Kutoka mambo ya ndani Tanzania, utafiti unaonyesha aliwahi kupata pasi ya kusafiria number A01291!! PASI IMEJAA, ALIPEWA PASI NYINGINE A00276!! NA record za hivi majuzi mwezi wa 9/2008 pale dar airport inaonyesha kuwa alipita akiwa na hii pasi mpya AB 0!64!!
mchango wake kwa jamii unaonyesha kuwa ameitembelea mikoa yote ya Tanzania katika nyakati tofauti kati ya 1997-1999. Niliwahi kukutana naye Mbekenyela na Likombe katika shughuli zake za utafiti! Ukitaka kujua ni utafiti wa namna gani basi niwaelezeni next time!!!!
NDUGU WANA JAMII FORUM, siyo kuwa ni kazi yangu kutumia gharama, muda, na kupiga simu huku na kule kutafuta data kama hizi, ila nilitaka tu kwajulisheni huyu jamaa yuko mbali na achaneni naye kabisha??????????????????
Ningewashauri nyie ambao hamna topic za maana muache hizo tabia zenu za kumlinganisha mtu kama huyu na yule mwizi wa magari Mponjoli!
ninafull biography ya huyu jamaa kwani tukiwa oljoro mimi nilikatwa bogi nikapelekwa Makuyuni na yeye akabakia Oljoro. I know him very well.
kama kuna mwana jamii forum ambaye anataka kupingana na detail hizi basi huyu atakuwa mwendawazimu.
Mimi nindahani kama angekuwa ni mtoto wa "kigogo" basi ungekuta sasa hivi ni mtu mwnye .........
huyu ni mtoto wa mkulima na amefika hapo alipo kwa JITIHADA ZAKE
Ndugu wanajamii naomba kuwakilisha HOJA!
kawawa,naona ndio kwanza umejiunga na jamii,well thats good,anyway one plus one is two.ingekuwa advisable ungeingia na grammar humu hili tu prove a point.trust me we would have skinned you alive
Game theory ninafuatilia detail zako. mpaka sasa ninataarifa kuwa wewe ni mtu wa namna gani. nikikamilisha uchunguzi nitakuambieni. Game theory unashindwa kutofautisha mwizi wa magari mponjoli na mtu aliyekwenda shule. Aibu kaka
was asking myself...at what time will my subject emerge...Thank God mwenyewe umeingi a na hakuna aliyekulazimisha]
sasa nadhani unajua kama weekend ndio imeanza leo...
Huyu jamaa anajiita DR sasa sijajua udokta wake na kama wa MPONJOLI au RWAKATARE
wajomba tunaomba wasifu wake
Kuna article yake mooja alindika kule Michuzi imejaa madudu kibao na nadhani kuna umuhimu wa kuumulika JF style
Nadhani hilo linajieleza.One of the problems identified by Careers London in early discussions with the Construction Knowledge Exchange, was the awareness with Universities to help Construction students, take London South Bank University for example, although there is some information on careers in this area there are also 20,000 students at the University hence making our sector difficult to give a full priority to on its own. In the summer of 2006, the LDA announced a new Opportunities fund for Undergraduate placements and it was decided that CL and CKE should bid for this money.
In addition the CKE had been working on a pilot project with members of the Recruitment and Employers Confederation (REC), these firms are recruitment agencies keen to get involved with Universities for three reasons 1) To improve their relationships with clients 2) To gain future prospects who will earn money for the agencies in the future, and 3) To add to the sustainability of the workers in construction e.g. to give experience so they stay in the industry.
In order to be successful in bidding for the LDA money, CL and CKE had to write a bid document, and gain letters of support from other Universities and employers; Universities of Greenwich and Westminster, along with firms such as Systech, Mace and DTZ etc helped us with this aspect. Money from the LDA was then used to employ Hildebrand Shayo to recruit students, with CL offering a service to help with CV and pr-interviews for students.
Tanzania businesses in forthcoming recession!
The warning, caution and confidence issued by Profesa Benno Ndulu, the Governor of the Bank of Tanzania that the Tanzania's economic remain strong and is likely not to be pretentious by the global financial downturn sent waves through my mind that triggered me to suggest steps that Professor Ndulu overlooked in his analysis, that could help the Tanzanian business recover from the financial gloom terrorising the world financial market.
Although the waters are still turbulent, this is now the time for renowned and professional individuals like Professor Ndulu not to undermine Tanzanian by not telling them the reality.
While the normal way of reducing risk in a portfolio during a slump is by diversifying, certain assets tend to do better than others at different parts of the economic cycle. What the world is experiencing is a de-leveraging, where all asset classes are falling in value and will continue to fall in the next two years. No doubt the world is going through a period where shares, property, fixed interest and even commodities will go down.
That said, despite slowing global economic activity and the impending recession that Professor Ndulu seem not to put into his equation, it is not all doom and gloom for business and especially for those with a long-term approach.
I would like to remind Professor Ndulu that what he needs to remember is that market volatility and the indiscriminate selling the world financial sector is witnessing or has witnessed in the past few weeks will create opportunities to pick up bargains.
I would have thought Professor Ndulu would have coded among others, things like the need for business to consider diversifying their portfolio.
While there's no escaping the fact that it's not going to be plain sailing from on-going global financial turmoils, and that all equity portfolios will get rocked by further short-term volatility, he should have assured business with well-insulated portfolios that those with long and proven track records will be able to overcome the slump. He should also have tried to advice the business to look to professional managers who could help them benefit through the cycle.
Stating that Tanzania financial position is fine wasnt enough, he should have reconsidered what happened to Iceland bank were UK government is struggling to recover its money invested by its business. To state that Tanzania banks are well-positioned for the slump and that Tanzania money in the foreign account is safe and is enough to allow business as usual isnt correct, because Tanzania is not an island! Is Professor Ndulu aware on what Kenya stock market is facing following global financial downturn?
Professor Ndulu should have seen the need for corporate debt that seems not to feature in his statement. To me, corporate debt is one of the first investments to recover in a slump, and many bond experts are beginning to call the bottom of the market for this sector. At the moment, yields are likely to be attractive, because interest rates and inflation will or are expected to fall which is a fantastic backdrop for any finance executive.
In any slump, there are traditional areas which are viewed as immune or defensive such as pharmaceuticals stocks and healthcare company; along with utility providers. People need medicine and power, irrespective of economic conditions. I do understand that tobacco and liquor companies that Tanzania has been using as a model of success following privatisation, also tend to flourish under the spectre of a protracted recession.
Nothing regarding our gold reserve was mentioned in his statement! Gold
at times of financial crisis, is looked upon as a safe haven for distressed investors rocked by faIling share prices. In the current extraordinary circumstances, Professor Ndulu should have told Tanzanians where this asset class is going or taking Tanzania?
My view is that gold is a long-term story underpinned with supply and demand drivers that he might deliberately omitted in his statement. Does Professor Ndulu recognize that gold price has been rocky in the current crisis? Last year the gold price was $667 an ounce and it rose to a peak of more than $1000 on March 17th 2008. As price now remains choppy, what is the position of Tanzania that is said to produce a lot of this precious metal among gold producer in the world?
While I am not sure if BOT, that Professor Ndulu is the Governor will bail out private owned banks in Tanzania or nationalise part of them, make me speculate what a business need to do in Tanzanian context ?
I think, business needs to be careful not to be too defensive in the current slump. In a way, looking at a cynical portfolio after values have already fallen is a bit like locking the stable door after the elephant has already bolted.
To the business I think, it's important not to lose sight of your long-term objective, try and have the asset mix which is most likely to give the return you are looking for. If as a business you are too defensive now, you will risk missing the upturn when it happens.
Professor Ndulu should have encouraged the business to seek additional sources of diversification, encourage them the focus on investments with high earning visibility and supportive valuations. Telling us that daily interbank cash market in Tanzania was doing well and BOT is watching exchange rate movement is not enough! We need measures on how to help business to cope with financial downturn.
Basi jama, dawa ya Dr. Shayo ni Mwanaharakati Mjomba J. Mashaka. Jamaa alimshushua Dr. Shayo vibaya sana katika ziku za hapo nyuma. Hii iliusiana na maswala ya kiuchumi.
Anyway, lakini hata hivyo Shayo pia ni kichwa, kama huyo mwanahrakati
Swali la GT lilikuwa hili
Nadhani majibu ya msingi yamepatikana.Kwamba
1.Jamaa ni PhD holder na lecturer wa South Bank University.Kwa wanaofahamu ugumu na reputations za PhD za Uingereza wanajua huyu jamaa yuko category gani.Kwahiyo jibu la part ya kwanza ya swali,huyu mtu HAJIITI DR bali alitunukiwa Doctorate of Philosophy,hence the title Dr.
2.That also answers the questions as to whether his doctorate is Mponjoli,et al -style.
3.Wasifu wake umeshaelezwa,lakini kuna kitu cha zaidi kilichoni-impress nacho ni hiki
Nadhani hilo linajieleza.
4.GT hakuweka makala inayodaiwa kuwa na madudu kibao.Sasa baada ya kupata majibu ya authenticity ya udaktari wake,labda tuanze kujadili post hii niliyoi-extract kwenye blog ya Michuzi.I hope GT utatusaidia sio tu kuonyesha madudu bali kuja na KILICHO BORA ZAIDI.Hii hapa
KAZI KWENU WAJUZI WA MAMBO
Hapo juu kuna violation of privacy na possible abuse of office.Huwezi kuweka nambari za pasi za mtu wazi kama hivi.