Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Wapi bht?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyani Ngabu,
..nilivyoona jina la Philip Emeagwali almanusra nianguke kwenye kiti. nikakumbuka jinsi alivyochambualiwa na Raj Patel.
..kama ni kusoma mbona wako madogo kibao wana PhD nzito-nzito, wengine wana ma-patent na mazagazaga kibao?
Right here Ngabu...Wapi bht?
Right here Ngabu...
Jana ulinikatili nilikuwa na shauku ya kumuulizia 'mgombea wako' maana niliona Billy tu anachambuliwa ...lol
Shukran sana mkuu kwa hii taarifa maana nilikuwa na shaukuHuyu nae alikuwa anagombea ubunge wa Afrika Mashariki lakini amepigwa chini.
Haya poa... EMT naona kakomaa na wabunge wa EAC!Oooh vizuri. Sasa hebu rudi nyuma hadi ukurasa namba 8 usome madudu yake
Haya poa... EMT naona kakomaa na wabunge wa EAC!
Hata bwa'mdogo Makamba naye keshawahi kukamatwa na article za watu....
Ziweke tuzione, maana anakaza kupata uwaziri wa Nishati na madini.
duuuh hii kubwa kuliko...sasa nimepata picha halisi ya kwanini ulitikisa kichwa alipoingia kwenye kinyang'anyiro cha ubunge wa EACHata bwa'mdogo Makamba naye keshawahi kukamatwa na article za watu....
duuuh hii kubwa kuliko...sasa nimepata picha halisi ya kwanini ulitikisa kichwa alipoingia kwenye kinyang'anyiro cha ubunge wa EAC
Hehheee bwan'makamba naye nimeona kashfa huku...daah nyie watu mlikuwa wabaya aisee...
I am more curious now...
Si umeona hiyo ya article ya Valentine's day? Hiyo aliibandikaga kwa Michuzi watu wakamkamata. Kwa jinsi alivyo serial plagiarist..mwaka jana au juzi kama sijakosea...akabandika tena makala ingine huko huko kwa Michuzi...kumbe bana hiyo makala hakuiandika yeye....aliitoa kwenye gazeti moja huko Egypt na kujifanya kama yeye ndo kaiandika.
Neno likaenea na mhariri wa hilo gazeti akamuandikia Michuzi na kumchimbia biti kuhusu kubandika makala za wizi zisizo acknowledge waandishi original. Michuzi akaja kuiondoa hiyo makala.
Sasa huyo ati naye ni "Dr.".
habari za kuaminika za hivi punde zinasema kwamba, Dr. shayo (US blogger) a.k.a Kawawa ndiye yule aliyemvamia mashaka kwa michuzi. Habari hizi zimepatikana baada ya Daktari kutuma barua pepe kwa bahati mbaya au nzuri kwa mtu ambaye hakuwa mlengwa
Habari hizo zimeendelea kusema kwamba, shayo amejigamba kwamba mdahalo kati yake na mashaka lazima ufanyike kwa sababu tayari wanahabari wake wameanza kumfatili mashaka ili kumshawishi kushiriki.
Mzee mzima dakta, pia ameonyesha shauku ya kugombea ubunge katika bunge lijalo
Kama hizi habari ni za kweli, basi jamaa takuwa amejidhalilisha sana.
Chuo alichopta PhD full waNaigeria labda ndio alikojifunziaHivi mtu anakuwa anafikiria nini hasa ku plagirize tena si mara moja?
no wonde kila mtu 'DR'...
Tunakimbizana na wanaigeria kwenye 'elimu za kisanii'
Chuo alichopta PhD full waNaigeria labda ndio alikojifunzia