Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,264
- 678
Baadaya ya mkoa ya pwani, morogoro, kilimanjaro, musoma, sumbawanga na mingine mingi kumzibitishia kuwa wanampa kura asilimia 90, sasa Dr Kikwete ana raha anapumzika kwa raha zake,
wakati huo huo Dr SLaa anaagaika mikoa mingine najua kura zake bado hazijatosha mkapa sa ana kama asilimia 7
Mungu msadia rais wetu JK
wakati huo huo Dr SLaa anaagaika mikoa mingine najua kura zake bado hazijatosha mkapa sa ana kama asilimia 7
Mungu msadia rais wetu JK