Dr. Janabi hujaliona hili? chuo chetu kikuu hakiruhusu wanachuo kuingia na maji ya kunywa maktaba

Dr. Janabi hujaliona hili? chuo chetu kikuu hakiruhusu wanachuo kuingia na maji ya kunywa maktaba

Pantosha

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
640
Reaction score
958
Kuna taratibu zingine ukizikuta unaanza kujiuliza hawa waliwaza nini?

Kwa aina ya viongozi waliopo pale chuoni kwetu sina shaka wote wanajua umuhimu wa kunywa maji kila wakati ili Ubongo ufanye kazi vizuri.

Sasa inakuaje mwanafunzi anaingia maktaba anakatazwa kubeba maji ya kunywa na kule ndani pia uongozi aujaweka maji ya kunywa?

Dr. Janabi hujaliona hili? Tututetee. Uafrika ni mwingi sana.
 
Kuna taratibu zingine ukizikuta unaanza kujiuliza hawa waliwaza nini?

Kwa aina ya viongozi waliopo pale chuoni kwetu sina shaka wote wanajua umuhimu wa kunywa maji kila wakati ili Ubongo ufanye kazi vizuri.

Sasa inakuaje mwanafunzi anaingia maktaba anakatazwa kubeba maji ya kunywa na kule ndani pia uongozi aujaweka maji ya kunywa?

Dr. Janabi hujaliona hili? Tututetee. Uafrika ni mwingi sana.
Janabi afanye nini
 
Hata Air Tanzania Wana tatizo kama hilo!
Airlines almost zote haziruhusu abiria kuingia ndani ya ndege na any kind of kimiminika, umesema maji? Hata mafuta ya kupakaa, perfume nk hasa kama vina volume zaidi ya 500ml, haviruhusiwi; unaweza kutengenezea vilipuzi so you need water, utayapata ndani ya ndege, yapo. Ugaidi umebadiri mambo mengi duniani
 
Kuna taratibu zingine ukizikuta unaanza kujiuliza hawa waliwaza nini?

Kwa aina ya viongozi waliopo pale chuoni kwetu sina shaka wote wanajua umuhimu wa kunywa maji kila wakati ili Ubongo ufanye kazi vizuri.

Sasa inakuaje mwanafunzi anaingia maktaba anakatazwa kubeba maji ya kunywa na kule ndani pia uongozi aujaweka maji ya kunywa?

Dr. Janabi hujaliona hili? Tututetee. Uafrika ni mwingi sana.
Trust me, no harm intended! Masharti ya kutoruhusu chupa za maji binafsi ndani ya maktaba hayalengwi kuwa kero kwa wanafunzi, bali ni njia ya kulinda usafi na kudumisha ubora wa maeneo ya kusomea. Uzoefu umeonyesha kuwa kumwagika kwa maji—iwe ni maji, kahawa, au vinywaji vingine—kunaweza kuharibu vitabu, vifaa vya umeme, na samani, jambo ambalo linasababisha gharama kubwa za ukarabati na uingizaji wa vifaa vipya. Aidha, kumwagika kwa vinywaji kunaweza kusababisha madhara kwa wanafunzi na wafanyakazi hasa kwenye maeneo yenye msongamano mkubwa.

Zaidi ya hayo, baadhi ya wanafunzi hutumia chupa za vinywaji kuingiza aina nyingine za vinywaji visivyoruhusiwa, ambavyo vinaweza kuchafua maeneo ya kusomea na kuvutia wadudu, hivyo kuifanya maktaba isiwe mahali pazuri kwa kila mtu. Kutekeleza sera madhubuti ya kutoruhusu chupa za maji kunarahisisha ufuatiliaji na kuhakikisha usawa katika utekelezaji wa sheria ndogo za maktaba.

Hata hivyo, vyuo vinatambua umuhimu wa maji kwa afya ya ubongo na uwezo wa kufikiri kwa makini. Mara nyingi, kama sehemu ya juhudi za hivyo vyuo za kuhakikisha ustawi wa wanafunzi, huangalia uwezekano wa kufungua sehemu maalum za kunywa maji karibu na au ndani ya maktaba, ambapo wanafunzi wataweza kuchukua muda mfupi kujihidratia bila kuhatarisha usalama wa vifaa vya kusomea!
 
Kuna taratibu zingine ukizikuta unaanza kujiuliza hawa waliwaza nini?

Kwa aina ya viongozi waliopo pale chuoni kwetu sina shaka wote wanajua umuhimu wa kunywa maji kila wakati ili Ubongo ufanye kazi vizuri.

Sasa inakuaje mwanafunzi anaingia maktaba anakatazwa kubeba maji ya kunywa na kule ndani pia uongozi aujaweka maji ya kunywa?

Dr. Janabi hujaliona hili? Tututetee. Uafrika ni mwingi sana.
Mkuu nadhani hili ungelipeleka kwa Uongozi wa Wanafunzi! Au siku hizi hakuna Rais wa Chuo na cabinate yake wanaowakilisha matatizo ya Wanafunzi kwa Utawala?
 
Trust me, no harm intended! Masharti ya kutoruhusu chupa za maji binafsi ndani ya maktaba hayalengwi kuwa kero kwa wanafunzi, bali ni njia ya kulinda usafi na kudumisha ubora wa maeneo ya kusomea. Uzoefu umeonyesha kuwa kumwagika kwa maji—iwe ni maji, kahawa, au vinywaji vingine—kunaweza kuharibu vitabu, vifaa vya umeme, na samani, jambo ambalo linasababisha gharama kubwa za ukarabati na uingizaji wa vifaa vipya. Aidha, kumwagika kwa vinywaji kunaweza kusababisha madhara kwa wanafunzi na wafanyakazi hasa kwenye maeneo yenye msongamano mkubwa.

Zaidi ya hayo, baadhi ya wanafunzi hutumia chupa za vinywaji kuingiza aina nyingine za vinywaji visivyoruhusiwa, ambavyo vinaweza kuchafua maeneo ya kusomea na kuvutia wadudu, hivyo kuifanya maktaba isiwe mahali pazuri kwa kila mtu. Kutekeleza sera madhubuti ya kutoruhusu chupa za maji kunarahisisha ufuatiliaji na kuhakikisha usawa katika utekelezaji wa sheria ndogo za maktaba.

Hata hivyo, vyuo vinatambua umuhimu wa maji kwa afya ya ubongo na uwezo wa kufikiri kwa makini. Mara nyingi, kama sehemu ya juhudi za hivyo vyuo za kuhakikisha ustawi wa wanafunzi, huangalia uwezekano wa kufungua sehemu maalum za kunywa maji karibu na au ndani ya maktaba, ambapo wanafunzi wataweza kuchukua muda mfupi kujihidratia bila kuhatarisha usalama wa vifaa vya kusomea!
Umeandika vizuri na sababu ulizoweka Zina manikin, ila conclusion imekaa ki siasa. Wewe shauri tu vyuo vihakikishe maji yanapatikana library.
 
Kuna taratibu zingine ukizikuta unaanza kujiuliza hawa waliwaza nini?

Kwa aina ya viongozi waliopo pale chuoni kwetu sina shaka wote wanajua umuhimu wa kunywa maji kila wakati ili Ubongo ufanye kazi vizuri.

Sasa inakuaje mwanafunzi anaingia maktaba anakatazwa kubeba maji ya kunywa na kule ndani pia uongozi aujaweka maji ya kunywa?

Dr. Janabi hujaliona hili? Tututetee. Uafrika ni mwingi sana.
Udom wana mambo ya qjabu sana. Sasa maji yatalowesha vitabu au? Mi walinikera japo nilikuwa naenda nayo napanda floor ya juu na maji yangu kwenye bag
 
Trust me, no harm intended! Masharti ya kutoruhusu chupa za maji binafsi ndani ya maktaba hayalengwi kuwa kero kwa wanafunzi, bali ni njia ya kulinda usafi na kudumisha ubora wa maeneo ya kusomea. Uzoefu umeonyesha kuwa kumwagika kwa maji—iwe ni maji, kahawa, au vinywaji vingine—kunaweza kuharibu vitabu, vifaa vya umeme, na samani, jambo ambalo linasababisha gharama kubwa za ukarabati na uingizaji wa vifaa vipya. Aidha, kumwagika kwa vinywaji kunaweza kusababisha madhara kwa wanafunzi na wafanyakazi hasa kwenye maeneo yenye msongamano mkubwa.

Zaidi ya hayo, baadhi ya wanafunzi hutumia chupa za vinywaji kuingiza aina nyingine za vinywaji visivyoruhusiwa, ambavyo vinaweza kuchafua maeneo ya kusomea na kuvutia wadudu, hivyo kuifanya maktaba isiwe mahali pazuri kwa kila mtu. Kutekeleza sera madhubuti ya kutoruhusu chupa za maji kunarahisisha ufuatiliaji na kuhakikisha usawa katika utekelezaji wa sheria ndogo za maktaba.

Hata hivyo, vyuo vinatambua umuhimu wa maji kwa afya ya ubongo na uwezo wa kufikiri kwa makini. Mara nyingi, kama sehemu ya juhudi za hivyo vyuo za kuhakikisha ustawi wa wanafunzi, huangalia uwezekano wa kufungua sehemu maalum za kunywa maji karibu na au ndani ya maktaba, ambapo wanafunzi wataweza kuchukua muda mfupi kujihidratia bila kuhatarisha usalama wa vifaa vya kusomea!
Credit kwa AI
 
Kuna taratibu zingine ukizikuta unaanza kujiuliza hawa waliwaza nini?

Kwa aina ya viongozi waliopo pale chuoni kwetu sina shaka wote wanajua umuhimu wa kunywa maji kila wakati ili Ubongo ufanye kazi vizuri.

Sasa inakuaje mwanafunzi anaingia maktaba anakatazwa kubeba maji ya kunywa na kule ndani pia uongozi aujaweka maji ya kunywa?

Dr. Janabi hujaliona hili? Tututetee. Uafrika ni mwingi sana.
Afu ukilowesha vitabu utasemaje
 
Udom wana mambo ya qjabu sana. Sasa maji yatalowesha vitabu au? Mi walinikera japo nilikuwa naenda nayo napanda floor ya juu na maji yangu kwenye bag
It’s normal practice. Nimepita vyuo vingi, lakini sijawahi kuona library (au hata computer lab) yenye policy inayoruhusu kuingia na maji au chakula!
 
Janabi atusaidie kuwakumbusha viongozi kuwa maji ni muhimu hivyo yawepo library. Impact ya maji kwenye afya ya mwili ni kubwa sana.
Do you need janabi for this?

Vijana akili zenu zimekuaje?
 
Back
Top Bottom