Dr. John aliwahi 'kuwachana' UHAMIAJI

Heshima kwako!!

Wewe Ndio umehitimisha haswa,
Sijui hili hakuliona kupitia kwa wakongwe wengine wanaofanya harakati hizi au alikuwa anafahamu akamua kama mbwai na iwe mbwai.


Huwa si kitu kizuri sana kama msanii/mchezaji wa soka kuyaweka mahaba yako mbele ya Siasa(chama)na kuyaonyesha katika Jamii hii inakubidi uchague aidha ubaki katika kipaji chako au uingie katika siasa moja kwa moja.
 
Mpaka sasa manesi wananyodo kibao.Tehe tehe!!

Walikuwa wanapazaa sauti na kusaidiana na watu wanyonge wasio na uwezo wakuanika uozo na utendaji mbovu wa sekta hizi za bongo.
mmenikumbusha nilipokuwa na mgonjwa wangu MOI yaani wimbo wa manesi ulikuwa unaweka na wagonjwa hadi unaogopa! na manesi wanasikiliza vizuri bila wasiwasi!
 
mmenikumbusha nilipokuwa na mgonjwa wangu MOI yaani wimbo wa manesi ulikuwa unaweka na wagonjwa hadi unaogopa! na manesi wanasikiliza vizuri bila wasiwasi!
Mkuu,
Hii ndio Tanzania Taifa la bongo.
 
mmenikumbusha nilipokuwa na mgonjwa wangu MOI yaani wimbo wa manesi ulikuwa unaweka na wagonjwa hadi unaogopa! na manesi wanasikiliza vizuri bila wasiwasi!


Huo wimbo 'Wauguzi' huwa ni mwiba sana kwa manesi na madaktari, japo huwa wanajifanya makauzu wanapousikia.
Kuna kipindi back in days serikali iliufungia. Ni nadra sana kuusikia hewani.

-Kaveli-
 
Hawa jamaa wanajua, sema nyota tu imegoma!!


Nyota yao imegoma haswaaa, miaka na miaka bado media inawabania sana. Na wala hawachoki kutoa mawe... dizaini kama weshaamua to do for fun & fans, not fame!

Juzi wamepakua jiwe lingine 'UPEPO SIO'.

-Kaveli-
 
Mkuu mimi pia ni mmoja ya wapenzi wa wagosi wakaya since way back,kama utaweza kuatach nyimbo nyengine za wazee wa ndima itakuwa poa zaidi
 
The G code one of the best hiphop track of all time too bad scarface couldnt have the mainstream success he deserves just like wagosi although he is in the top three list of every rapper.Wagosi nadhani bifu lao na clouds ndilo lililowakosti pamoja na kutojipromote vzr wao na kazi zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…