Alisina
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 4,178
- 4,449
Poa tuma MkuuNakutumia PM
-Kaveli-
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa tuma MkuuNakutumia PM
-Kaveli-
Heshima kwako!!You nailed it. Yeah ROMA alikosea kuwa 'too vocal' na mbaya zaidi akajisahau akaexpose 'political alignment' yake. Katika hizi harakati ni vyema ukawa unaikosoa serikali WITHOUT revealing your political affiliation.
,Mfano hawa Wagosi, tangu waanze sanaa wametoa pini nyingi sana za kuikosoa serikali. Lakini katika mashairi yao yote hawaoneshi 'umahaba' wa kisiasa. Yani wanaichana sana serikali lakini huwezi kujua wanasapoti chama gani cha siasa. Huwezi hata sikia wakichana kwa kutaja real names/identity za viongozi wanaowachana. Huchana na kukosoa/kuponda kwa ujumla wa sekta husika.
Roma yeye kwenye hili alipitiwa.
-Kaveli-
Poa Mkuu,Mkuu naituma ila naona inasumbua ku-attach. Hebu isearch youtube utaipata.
-Kaveli-
Nitumie mkuuKama bado hujaipata sema nikutumie mkuu.
-Kaveli-
mmenikumbusha nilipokuwa na mgonjwa wangu MOI yaani wimbo wa manesi ulikuwa unaweka na wagonjwa hadi unaogopa! na manesi wanasikiliza vizuri bila wasiwasi!Mpaka sasa manesi wananyodo kibao.Tehe tehe!!
Walikuwa wanapazaa sauti na kusaidiana na watu wanyonge wasio na uwezo wakuanika uozo na utendaji mbovu wa sekta hizi za bongo.
Mkuu!!Mkuu naituma ila naona inasumbua ku-attach. Hebu isearch youtube utaipata.
-Kaveli-
Mkuu,mmenikumbusha nilipokuwa na mgonjwa wangu MOI yaani wimbo wa manesi ulikuwa unaweka na wagonjwa hadi unaogopa! na manesi wanasikiliza vizuri bila wasiwasi!
mmenikumbusha nilipokuwa na mgonjwa wangu MOI yaani wimbo wa manesi ulikuwa unaweka na wagonjwa hadi unaogopa! na manesi wanasikiliza vizuri bila wasiwasi!
Hawa jamaa wanajua, sema nyota tu imegoma!!
Yaaah ni kweli bao mkuu nimechanganyaWimbo wao mpya (the latest) ni 'UPEPO SIO'. Imetoka juzi tu week jana.
Wewe unamaanisha ule wimbo wao uitwao 'BAO'?
-Kaveli-
Mkuu mimi pia ni mmoja ya wapenzi wa wagosi wakaya since way back,kama utaweza kuatach nyimbo nyengine za wazee wa ndima itakuwa poa zaidiNakubaliana nawe mkuu. Wagosi ndo wasanii pekee waliobakia kuikosoa serikali kupitia sanaa. Na ni kama wapo 'makini' fulani hivi katika uwasilishaji wao wa sanaa. Huwa wapo 'non-alignment' kwenye mambo ya kisiasa, nadhani hii pia imewasaidia sana kwenye music mileage yao. Japo waliwahi kufungiwa ule wimbo wao uitwao 'Wauguzi'.
Ukisikiliza nyimbo zao kama: Lidandasi, Tanga Kunani, Umeme & Maji, Walimu, Wauguzi, Soka la Bongo, Traffic, Nyeti, n.k zinakumbusha mbali sana.
Roma yeye amekuwa 'too vocal' ... nadhani hii imechangia sana kuonekana 'anaizingua' serekali.
-Kaveli-
The G code one of the best hiphop track of all time too bad scarface couldnt have the mainstream success he deserves just like wagosi although he is in the top three list of every rapper.Wagosi nadhani bifu lao na clouds ndilo lililowakosti pamoja na kutojipromote vzr wao na kazi zaoNa hiyo ndiyo mojawapo ya 'essence' za uwepo wa HipHop. To voice out for the people. HipHop lives coz ni utamaduni ambao unazungumzia na ku-voice out juu ya maisha ya kila siku ya mwanadamu, hasa hasa kulisemea tabaka la oppressed community. HipHop ni platform ya kusema na kufichua matatizo mbali mbali yanayowagusa watu wanyonge/masikini. HipHop ni forum inayoelimisha na kuonya juu ya matatizo mbali mbali yanayoiathiri jamii yote kwa ujumla.
Mkuu, ili uelewe vyema ninachokisema, tafuta pini moja iitwayo 'MUDA WA VITENDO' by G-Solo. Ukiucheki/Ukiusikiliza huo wimbo, ndo utapata kuelewa vizuri dhima kuu ya hip-hop (conscious one) kwenye jamii. G-Solo alinyonga sana kwenye hiyo ngoma. Alitumia (sampling) beat kutoka kwenye track ya mtoni iitwayo 'THE G CODE' by Scarface.
-Kaveli-