Mtoto wa Mama Samia
JF-Expert Member
- Apr 3, 2013
- 772
- 392
Real? Haya mkuu karibu
leta na ule UZI iliomchambua LOWASA!! tubalance Unafiki wako!! Yericko huna tofauti na LIPUMBA!!
Magufuli sio mnyantuzu halisi. Wanyantuzi ni wasukuma katoka baadhi ya maeneo ya Bariadi. Wanajipambanua kwa kuongea lahaja ya kinyantuzu, mojawapo ya lahaja kuu nne za lugha ya kisukuma. Nitaandika kwa kirefu siku moja.
......... Viwanja vya ndege - TAA ( Tanzania Airports Authority)[/B]
· Madawa ya kulevya yanapita sana hapa na hakuwahi kusema chochote.
Mkuu Yericko Nyerere hivi tatizo la Airport zetu kupitisha madawa ya kulevya ni tatizo la kimiundombinu au ni kiusalama? au ulimaanisha nini hapo nilipo- bold kwa rangi ya bluu?
Kulisemea hakuhitaji waziri mhusika,
@yericko nyerere huna tofauti na " toilet paper " kwa uvumilivu wako. huu ushahidi wa hii tweet yako hapo juu ningekuwa ni wewe ningejifungia chumbani au kujificha chini ya uvungu. umeaibishwa kulikotukuka.
Twiti ya 20/8/2013 kipindi Lowasa hajatwambia Richmond ni nani na alikuwa hajamrudia Bwana Mungu.
Sasa Lowasa ni mtakatifu, ametakaswa kama mwezi na kama nyota!
bw Yericko,
ingekuwa vizuri zaid ukitumia nafasi yako kutuleza kwanini tuiamini chadema wakati mlituaminisha kwamba LOWASSA ni fisadi na alihusika na RICHMOND alafu leo hii mnatuambia ni msafi na muadilifu??
Kama mmeyakana maneno yenu mchana kweupe, Je mkiingia ikulu SI MTATUSALITI ALFAJIRI NA MAPEMA??
Mwisho naomba niulize LIST OF SHAME NI ILE ILE AU IMEKUWA EDITED???
Kwahiyo hata hao mnaowaita mafisadi(kama kuambiwa tu kunatosha) wakiwaambia kuwa tuhuma zinazoelekezwa kwao si za kweli mtawakubalia? kama ndio, nani atakuwa fisadi wa nchi hii?
Waje Wajisafishe
Kinachonishangaza is that wote wanaoponda alichoandika huyu jamaa hawaoneshi uongo aliousema au kuandika!......tunajua huyu yupo upande wa pili ila nyinyi wa Magufuli tuelezeni mambo haya sawasawa sio kuanza kumjadili mleta mada....kanusha kilichoandikwa.najua nafsi inakusuta tu kwa kuwa mnafiki hata mbele za mungu kama kweli wewe ni mkritu kweli unatumia karama aliyokupa mungu kumtukana mtu ambaye kwa miaka 10 amefanya kazi ya heshima katika nchi hii?
Fany siasa ya hki ambyo inabaraka hata kwa mungu achana na majitaka yako mungu aliyempaga atakuawa maana hakuna ambaye anaweza kupinga mpango wa mungu,
chukua ushauri huu utakusaidi,
Ambaye ni fisadi ndiye atakayekuwa ni fisadi....upo hapo?Kwahiyo hata hao mnaowaita mafisadi(kama kuambiwa tu kunatosha) wakiwaambia kuwa tuhuma zinazoelekezwa kwao si za kweli mtawakubalia? kama ndio, nani atakuwa fisadi wa nchi hii?
Ambaye ni fisadi ndiye atakayekuwa ni fisadi....upo hapo?
Upinzani ulikuwa unapiga kelele ili serikali ichukue hatua ya kuwapeleka mahakamani na mpaka sasa tungekuwa tunajua,beyond reasonable doubt, nani haswaaa ndiye fisadi wa kweli....I repeat,beyond reasonable doubt (hii inatoka mahakamani tu)
No,probably not.Kwa sasa kwa kuwa serikali ya CCM haikutaka kuwapeleka mahakamani (labda kwa sababu 'wote' ni wahusika au kwa aliyosema lowassa kwamba muhusika mkuu alikuwa JK sasaaa majibu mengine waweza kuyapata hapo)Kwahiyo kwa kuwa hawakufikishwa mahakani maana yake hawakuiba?