Elections 2015 Dr. John Magufuli halisi usiyemjua na yule unayemjua kupitia CCM! Ni HATARI kwa Taifa!

Elections 2015 Dr. John Magufuli halisi usiyemjua na yule unayemjua kupitia CCM! Ni HATARI kwa Taifa!

Pamoja na kuwa mimi sifungamani sana na masuala ya kisiasa ila ...tumseme makuful kwa mabaya na mazuri pia...ili tuwe fair

BARABARA: Ukweli ni kuwa Barabara zetu ni nzuri na zinabeba uzito kuliko barabara za jirani yetu Kenya ambao wengi hupenda kumtolea mfano.

TATIZO:
Tunatakiwa tufufue reli ili mizigo mizito ipitie huko... hicho tu ndio kitaokoa barabara.

Sina hakika kama umepata bahati ya ketembelea jirani zetu Kenya na kuvinjari mikoa ya huko; tofauti na hapo Nairobi huko kwingine barabara zimekwisha..Ila tatizo la msingi ni kama la kwetu. Mizigo mizito inapitishwa barabarani badala ya relini. Kwao tatizo ni kubwa zaidi kuliko sisi kwani stanani ya barabara zao za highway zinajengwa kwa uzito wa chini kidogo kuliko kwetu...sio kwa uzembe ila ni utaratibu wao.

HOJA YA VIWANJA VYA NDEGE NA MADAWA YA KULEVYA?????
Hivi watu wa migration na airport security si wapo chini ya wizara ya mambo ya ndani? Waziri wa ujenzi anatoka wapi huko?

KUHUSU KUBORESHA VIWANJA VYA NDEGE
Sisi watu wa uchumi tuna sema kinachofanyika kwenye ujenzi wa viwanja vya ndege ni Opportunity cost;
kwa sababu bajeti haitoshi, ni suala tu la kuamua ujenge kiwanja mbeya ...kule kusini nao wawe na kiwanja au ukarabati hivi vilivyopo kule kusini wasubirie neema ya mungu ..bajeti itakapo tosha.

UFANISI KATIKA VIZARA ALIZOPITA:
Binafsi nahisi tofauti na wizara ya Ujenzi Makufuli amekuwa akihamishwa hamishwa sana hivyo hakupata nafasi ya kuonesha kipaji chake vya kutosha...project zote ambazo ni long term katika hizo wizara alizopita hakuweza kuzitekeleza/kuzimaliza...

Ni kwa mfano kiongozi atumie hela nyingi kufeka shamba...na kabla haja anza kuotesha ahamishwe...anayekuja kuchukua nafasi yake asioteshe kama ilivyo kusudiwa...kwa kila mmoja kuangalia vipaumbele vyake kwenye wizara husika. Watu wataishia kufikiri kiongozi wa kwanza amechezea hela nyingi kwa kufweka shamba ... kitu ambacho sio sawa

RELI NA SHIRIKA LA NDEGE
Nikiangalia kwa sura ya kiuchumi, suala la reli na Ndege sio la kuachia wizara moja...hizo ni project kubwa zinatakiwa budget itoke kwanza ya kumaliza matatizo yote yalioko ambayo ni makubwa karibia kuliko capital investiment .. ndio wizara iachiwe ianzie hapo kufanya kibiashara. Kwa hizi bajeti za wizara tegemea miujiza kutoka kwa mungu...reli na Ndege havita fufuka na hata ukitafuta shirika la kuprivataize hutapata au litamshinda. Nani atapokea matatizo na madeni yenye dhamani kuliko capita investiment????

Sijachangia hoja za kisiasa kwa miezi sasa ila...nimeshangazwa na mawazo yako unayo yawakilisha kwa hisia na hivyo kukosa mtiririko....nafikir tukiwa fair kidogo na sio ushabiki usio kuwa na maana tunavutia watu na kutuunga mkono.


Peoples!!!!!!!!
 
Tamaa ya fisi siku moja alizama ziwani kufuatilia mwezi akidhani ni mfupa!!!! Sasa wew kwa watu wa kukusanywa na kuletwa uwanjani na matangazo kila kona ndo yanakufanya uone kuwa mgombea wa Ukawa ameshapata uraisi!!! Hizo ni mbio za sakafuni!! Mwanadamu huwezi msemea moyo wake unawaza nin? Laiti kama mngekuwa mnakusanya kadi za kupigia kura kila mkutano mnaoufanya na kisha siku ya uchaguzi mkachagua mgombea wa Ukawa na kisha kumrudishia mwenye kadi kweli mngekuwa tayari mmeshinda lakini kama hamchukui kadi ya mpiga kura na siku ya kupiga kura mpiga kura yuko peke yake na anafikra zake basi tathmini yako ya kuangalia wingi wa watu ni ya kitoto kuwa kila ampaye pipi au bigijii mtoto basi anampenda mtoto huyo ambapo si kweli maana wapo wahalifu katika kundi la watenda hisani! Maana panaweza kuwa na mawingu na ishara ya mvua kunyesha na mvua isinyeshe kabisa hata wiki mbele maana mungu humnyanyua amtakaye na kumshusha asiyemtaka! Ushauri acha kujipendekeza utakuja kuaibika mbeleni safari bado mbichi sana! Maana hujui ya kesho bali subiri matokeo ndo useme neno maana sidhani kama umeshakuwa mtabiri
 
Daktari wa falsafa John Pombe Magufuli Mnyatuzu halisi kutoka Biharamuro Geita Kaskazini mwa Tanzania ni mmoja ya wasomi wa chache wenye kutokeza mbele ya uso wa binadamu kwa kigere na tashwishwi la ushomire kwa upinde wa magharibi ya Biharamuro.
Daktari huyu ni nguli wa kemia na uhandisi wa majengo na barabara akidumia katika unakili wa takwimu kwa vibwebwe vya mwafrika wa ubwa. Magufuli anatajwa kuwa ni miongoni mwa waswahili wa chache wacha-Mungu na wachapakazi machoni pa walimwengu lakini nyuma yake akilaza uhalisia wa Magufuli.
Magufuli amepitia vilima na vilindi mpaka madaraka kamili aliyonayo sasa huku historia yake ikigusa ubedui na shababi wake halisi toka vilindi vya karagwe. Kisa kikuu kinachomtambulisha kwetu Magufuli ni kutoka viunga vya Katoke, mwaka 1977 alifukuzwa shule Katoke seminari Biharamuro akiwa kidato cha 3 na alikuwa anasomea upadri alipofukuzwa akaenda Mwanza Lake Sekondari, wajua alifukuzwa kwa kosa gani? Atajibu yeye!

KWA NINI MAGUFULI SIYO JEMBE

1.MAGUFULI HAWEZI KAZI (UNDERPERFOMANCE)
Magufuli amewahi kufanya kazi wizara tatu za JMT ambazo ni UJENZI, ARDHI na MIFUGO
Amekuwa Waziri wa wizara ya ujenzi haijagawanywa kipindi cha Mh. Mkapa na Kipindi cha Mh. Kikwete ambapo chini yake kulikuwa na taasisi zifuatazo:-
1. Barabara - TANROADS ( Tanzania National Roads Agency)
· Anasifika kwa quantity and not quality
2. MAJENGO/NYUMBA - TBA ( Tanzania Buildings Agency)
· Kauza nyumba za serikali
· Kashindwa kujenga mpya kama alivoahidi
3. Vivuko /Taa za barabarani- TEMESA ( Tanzania Electrical, Mechanical and Electronics services Agency
4. Bandari - TPA ( Tanzania Ports Authority)

· Mapungufu yameeleza hapo chini
5. Viwanja vya ndege - TAA ( Tanzania Airports Authority)
· Madawa ya kulevya yanapita sana hapa na hakuwahi kusema chochote.
· Viwanja vingi vya ndege ni vibovu sana
6. Air Tanzania Corporation - ATC
( kuna mikataba mibovu sana ATC, uchunguzi unaonyesha ilifanyika wakati wake. Mikataba kama kukodisha ndege ambayo haikuleta manufaa, kulipia parking fee kwenye viwanja vya ndege nje ya nchi wakat ATC haina ndege hata ya maonyesho kwa vizazi vijavyo tu n.k).
Katika idara zote hizo Magufuli anasifika idara moja tu ambayo ni Barabara - TANROADS ambayo hata katika hiyo anasifika kwa wingi (quantity) na siyo ubora (quality).
Je ukimpa nchi yote ataweza kama ameshindwa wizara moja tu?



BANDARINI
· Hajawahi kuzungumzia matatizo na kukosa ufanisi kwa bandari yetu, kumbukeni wateja walikuwa wanaaza kukimbia. Bandari ni lango kuu la uchumi lakini Magufuli alifeli.
· Mwakyembe kwa kubadirisha tu utaratibu wa malipo kutoka CASH kwenda kulipia bank, mapato yaliongezeka maradufu.
· Aliuza nyumba za serikali na hivyo kuipatia serikali gharama za kuwapangishia maafisa wa serikali. Pia Magufuli aliliahidi bunge kuwa atajenga nyumba mpya 5,000 lakini hadi leo hata nyumba 500 hazijafika!
· Alipokuwa wizara ya ardhi alishindwa kutatua migogoro ya ardhi na utendaji wa wizara ulikuwa hauna ufanisi. Leo hii Mh. Lukuvi amefanya kazi kubwa sana kwa miezi michache tangu ateuliwe. Leo hii unaweza kupata hati ya ardhi ndani ya wiki mbili tu!

· Alipokuwa wizara ya Mifugo bado alishindwa kufikia malengo ya maendeleo ya mifugo, ikumbukwe Tanzania ni ya tatu kwa mifugo afrika. Lengo ilikuwa kuongeza mapato kwa kuuza nyama nje ya nchi. Mtakumbuka JK alisema kuwa ng'ombe na wafugaji wote wamekonda,

· Magufuli huyuhuyu kwa ubabe ameingilia mchakato wa ujenzi kiwanda cha kusindika nyama mkoani pwani kwakushinikiza zabuni ya ubunifu na ukadiriaji majenzi wapewe SUMA JKT ambao kitaalamu na kisheria hawana sifa hiyo kwakuwa wao wamesajiriwa kama makandarasi wa ujenzi tu, kibaya zaidi wakalipwa malipo ya awali zaidi ya nusu kinyume na utaratibu wa PPRA unaoweka ukomo wa malipo ya awali uwe chini ya 30% ya gharama za mradi.

Matokeo yake mradi huo haujaishi kwa miaka yote tangu uanze.

Je huyu mtu tukimpa nchi ataweza?

2. Magufuli anatenda kazi kwa hasara.
i. Magufuli kwa maamuzi ya kukurupuka na ubabe alibomoa nyumba/majengo akidai yako barabarani na wamiliki walikwenda mahakamani na kushinda kesi na serikali imelipa mamillionii ya fidia. Pesa hizi zingetumika kutengeneza madawati mengi sana.
ii. Akiwa Mifugo alikamata meli ya wavuvi na samaki (maarufu kama Samaki wa Magufuli) kwa kukurupuka na hatimaye serikali ikashindwa kesi na kulipa TZS…………… Pesa hizi zingeweza kulipa madeni ya waalimu na kuongeza maendeleo ya elimu nchini.
iii. Pia kwa maamuzi ya kukurupuka na kibabe amesababisha kukwama kwa mradi machinjio ya kisasa ya RUVU. Magufuli aliilazimisha NARCO (National Ranch Corporation) kuwapa tenda ya kujenga JKT. JKT hawakuweza kukamilisha huu mradi na serikali imekosa fedha nyingi za kigeni ambazo zingetookana na kusafirisha nyama nje ya nchi.
Magufuli amenunua kivuko kikuu (chakavu) cha MV DAR kwa mabilioni ya pesa za kitanzania, Meli ya bakharesa mv Kilimanjaro inabeba abira 500, imetengenezwa mwaka 2015 bei ni billion 6, safari ya kwenda unguja inachukua saa moja na robo tu,
Wakati Meli hiyo chakavu ya Magufuli maarufu kama Mv Dar safari ya kwenda bagamoyo hapo tu inatumia saa tatu, imetengenezwa mwaka 1978, inabeba abiria 350 na imenunuliwa kwa billion 8, Meli hizi zote zinalingana ukubwa!


iv.
v. Kwa kuuza nyumba za serikali, Serikali inatumia gharama kubwa kuwapangishia nyumba maafisa wake ikiwa ni pamoja na kuwaweka hoteli kubwa maafisa ambao hawajapata nyumba.
vi. Kwa ujenzi wa barabara mbovu, serikali inatumia gharama kubwa sana kukarabati barabara. Pesa hizi zingetosha kujenga barabara kilomita 3600 mpya za barabara
vii. Pia kwa barabara mbovu anawatia hasara kubwa watumiaji wa barabara (wenye magari) kwani inawalazimu kutengeneza magari yao mara kwa mara
viii. Barabara nyingi zisizo na viwango na zenye mashimo zimekuwa chanzo kikubwa cha ajari za barabarani.
ix. Kwa kushindwa kusimamia vyema bandari na ATC, uchumi wa nchi unazidi kudumaa na tunazidi kuwategemea wafadhiri. Mh. Kagame aliwahi kusema yeye akipewa bandari ataweza kuendesha nchi!




Watanzania hebu tujiuulize,
Magufuli aliyefeli wizara zote alizopitia na aliyetia hasara kubwa taifa hili anafaa kuwa raisi?
Magufuli mwenye maamuzi ya kibabe akiwa waziri, akipewa uraisi si ndo atafanya ubabe mkubwa zaidi?

Sio kazi yangu kukuchagulia rais, ila ni wajibu wangu kuliponya taifa kwakuzuia wahujumu taifa hili wasiiguse Ikulu ya Tanzania.

IN LOWASA WE TRUST!
Cjawahi kukutana na mtanzania wa aina yako,cwez hata kuargue na wewe maana ulichoandika ni utoto mtupu.
 
a cha ubabaishaji soma ripoti ya Richmond mwakiembe alivyomaliza ujue hapo ndipo ccm walivuana nguo nanukuu "mheshimiwa spika na binge zima hii Ni nusu tu ya ripoti kwani tukimaliza yote serikali nzima itaanguka"

Jaribu kujenga utamaduni wa kusoma vitu vizuri pasipo kukurupuka na kujibu pointless. Swala la kubabaisha ungewaambia CHADEMA na SIASA ZAO ZA KINAFKI waliozunguka TZ nzima wakisema LOWASSA ni fisadi amehusika na RICHMOND na leo wanasema ni mtu safi na muadilifu.
 
Jaribu kujenga utamaduni wa kusoma vitu vizuri pasipo kukurupuka na kujibu pointless. Swala la kubabaisha ungewaambia CHADEMA na SIASA ZAO ZA KINAFKI waliozunguka TZ nzima wakisema LOWASSA ni fisadi amehusika na RICHMOND na leo wanasema ni mtu safi na muadilifu.

usiendelee kuuaminisha umma kwa kutoa taarifa potofu juu ya ripoti ya mwakiembe, hivi unajua lowasa hakuojiwa na hiyo kamati unawza justified vipi uhusika wa lowasa bila kumuhoji?,lowasa amesema mkuu wa nchi ndio aliye idhinisha mkataba undelee,atoke ajibu hayo .lowasa alikaa kimya kumlinda rais na chama chao,ufisadi UPI mbaya kuliko wa kuuza nyumba na kuwapangishia maafisa wa serikali?
 
Pamoja na kuwa mimi sifungamani sana na masuala ya kisiasa ila ...tumseme makuful kwa mabaya na mazuri pia...ili tuwe fair

BARABARA: Ukweli ni kuwa Barabara zetu ni nzuri na zinabeba uzito kuliko barabara za jirani yetu Kenya ambao wengi hupenda kumtolea mfano.

TATIZO:
Tunatakiwa tufufue reli ili mizigo mizito ipitie huko... hicho tu ndio kitaokoa barabara.

Sina hakika kama umepata bahati ya ketembelea jirani zetu Kenya na kuvinjari mikoa ya huko; tofauti na hapo Nairobi huko kwingine barabara zimekwisha..Ila tatizo la msingi ni kama la kwetu. Mizigo mizito inapitishwa barabarani badala ya relini. Kwao tatizo ni kubwa zaidi kuliko sisi kwani stanani ya barabara zao za highway zinajengwa kwa uzito wa chini kidogo kuliko kwetu...sio kwa uzembe ila ni utaratibu wao.

HOJA YA VIWANJA VYA NDEGE NA MADAWA YA KULEVYA?????
Hivi watu wa migration na airport security si wapo chini ya wizara ya mambo ya ndani? Waziri wa ujenzi anatoka wapi huko?

KUHUSU KUBORESHA VIWANJA VYA NDEGE
Sisi watu wa uchumi tuna sema kinachofanyika kwenye ujenzi wa viwanja vya ndege ni Opportunity cost;
kwa sababu bajeti haitoshi, ni suala tu la kuamua ujenge kiwanja mbeya ...kule kusini nao wawe na kiwanja au ukarabati hivi vilivyopo kule kusini wasubirie neema ya mungu ..bajeti itakapo tosha.

UFANISI KATIKA VIZARA ALIZOPITA:
Binafsi nahisi tofauti na wizara ya Ujenzi Makufuli amekuwa akihamishwa hamishwa sana hivyo hakupata nafasi ya kuonesha kipaji chake vya kutosha...project zote ambazo ni long term katika hizo wizara alizopita hakuweza kuzitekeleza/kuzimaliza...

Ni kwa mfano kiongozi atumie hela nyingi kufeka shamba...na kabla haja anza kuotesha ahamishwe...anayekuja kuchukua nafasi yake asioteshe kama ilivyo kusudiwa...kwa kila mmoja kuangalia vipaumbele vyake kwenye wizara husika. Watu wataishia kufikiri kiongozi wa kwanza amechezea hela nyingi kwa kufweka shamba ... kitu ambacho sio sawa

RELI NA SHIRIKA LA NDEGE
Nikiangalia kwa sura ya kiuchumi, suala la reli na Ndege sio la kuachia wizara moja...hizo ni project kubwa zinatakiwa budget itoke kwanza ya kumaliza matatizo yote yalioko ambayo ni makubwa karibia kuliko capital investiment .. ndio wizara iachiwe ianzie hapo kufanya kibiashara. Kwa hizi bajeti za wizara tegemea miujiza kutoka kwa mungu...reli na Ndege havita fufuka na hata ukitafuta shirika la kuprivataize hutapata au litamshinda. Nani atapokea matatizo na madeni yenye dhamani kuliko capita investiment????

Sijachangia hoja za kisiasa kwa miezi sasa ila...nimeshangazwa na mawazo yako unayo yawakilisha kwa hisia na hivyo kukosa mtiririko....nafikir tukiwa fair kidogo na sio ushabiki usio kuwa na maana tunavutia watu na kutuunga mkono.


Peoples!!!!!!!!

Ifike mahali sasa watanzania tuwe wazalendo kwa nchi yetu pia tusimamie kweli ya haki kuanzia ngazi ya mtu na tuendelee na jumuiya zetu.
Magufuli ni kama mawaziri wote tu wa wizara mbalimbali hana uchapakazi wa kutukuka kuzidi mawaziri wenzake wote ana mapungufu yake na mazuri pia, hivyo hivyo kwa Lowassa. Tatizo letu kama taifa ni kuzorota kwa kasi ya maendeleo na kufa kwa taasisi zetu .

Matumizi ya serikali yetu ni makubwa sana kuliko mapato tunayokusanya pia taasisi zetu nyingi hazifanyi kazi zao ipasavyo mfano:Takururu sioni hata umuhimu ,Polisi pia. Kama inafika mahali tunajadili na kusifu ujenzi wa barabara ni juhudi za waziri hapo kuna tatizo maana wapo pale kuktutumikia na tunalipa kodi ifike sasa tuweze kuwawajibisha viongozi tulio wapa dhamana ya uongozi.

Serikali inatakiwa kupembua vipaumbele vinavyogusa watanzania wote, kweli tuna sheria za mitandao ila hatuna sheria za kulinda vyanzo vya mapato yetu. Tunalalamika kuhusu tatizo la madawa ya kulevya rais anasema majina anayo ila anawapa muda kweli jamani tunajiita wazalendo?

Inatosha jamani tuache itikadi turudi kwenye uzalendo
 
Pamoja na kuwa mimi sifungamani sana na masuala ya kisiasa ila ...tumseme makuful kwa mabaya na mazuri pia...ili tuwe fair

BARABARA: Ukweli ni kuwa Barabara zetu ni nzuri na zinabeba uzito kuliko barabara za jirani yetu Kenya ambao wengi hupenda kumtolea mfano.

TATIZO:
Tunatakiwa tufufue reli ili mizigo mizito ipitie huko... hicho tu ndio kitaokoa barabara.

Sina hakika kama umepata bahati ya ketembelea jirani zetu Kenya na kuvinjari mikoa ya huko; tofauti na hapo Nairobi huko kwingine barabara zimekwisha..Ila tatizo la msingi ni kama la kwetu. Mizigo mizito inapitishwa barabarani badala ya relini. Kwao tatizo ni kubwa zaidi kuliko sisi kwani stanani ya barabara zao za highway zinajengwa kwa uzito wa chini kidogo kuliko kwetu...sio kwa uzembe ila ni utaratibu wao.

HOJA YA VIWANJA VYA NDEGE NA MADAWA YA KULEVYA?????
Hivi watu wa migration na airport security si wapo chini ya wizara ya mambo ya ndani? Waziri wa ujenzi anatoka wapi huko?

KUHUSU KUBORESHA VIWANJA VYA NDEGE
Sisi watu wa uchumi tuna sema kinachofanyika kwenye ujenzi wa viwanja vya ndege ni Opportunity cost;
kwa sababu bajeti haitoshi, ni suala tu la kuamua ujenge kiwanja mbeya ...kule kusini nao wawe na kiwanja au ukarabati hivi vilivyopo kule kusini wasubirie neema ya mungu ..bajeti itakapo tosha.

UFANISI KATIKA VIZARA ALIZOPITA:
Binafsi nahisi tofauti na wizara ya Ujenzi Makufuli amekuwa akihamishwa hamishwa sana hivyo hakupata nafasi ya kuonesha kipaji chake vya kutosha...project zote ambazo ni long term katika hizo wizara alizopita hakuweza kuzitekeleza/kuzimaliza...

Ni kwa mfano kiongozi atumie hela nyingi kufeka shamba...na kabla haja anza kuotesha ahamishwe...anayekuja kuchukua nafasi yake asioteshe kama ilivyo kusudiwa...kwa kila mmoja kuangalia vipaumbele vyake kwenye wizara husika. Watu wataishia kufikiri kiongozi wa kwanza amechezea hela nyingi kwa kufweka shamba ... kitu ambacho sio sawa

RELI NA SHIRIKA LA NDEGE
Nikiangalia kwa sura ya kiuchumi, suala la reli na Ndege sio la kuachia wizara moja...hizo ni project kubwa zinatakiwa budget itoke kwanza ya kumaliza matatizo yote yalioko ambayo ni makubwa karibia kuliko capital investiment .. ndio wizara iachiwe ianzie hapo kufanya kibiashara. Kwa hizi bajeti za wizara tegemea miujiza kutoka kwa mungu...reli na Ndege havita fufuka na hata ukitafuta shirika la kuprivataize hutapata au litamshinda. Nani atapokea matatizo na madeni yenye dhamani kuliko capita investiment????

Sijachangia hoja za kisiasa kwa miezi sasa ila...nimeshangazwa na mawazo yako unayo yawakilisha kwa hisia na hivyo kukosa mtiririko....nafikir tukiwa fair kidogo na sio ushabiki usio kuwa na maana tunavutia watu na kutuunga mkono.


Peoples!!!!!!!!

Asante sana mkuu na karibu sana,
 
mzalendo aliyegawa nyumba ya serikali kwa mdogo wake???

mzalendo aliyenunua vivuko chakavu

mzalendo aliyeiacha kariakoo ikijengwa maghorofa yanayosemwa kila siku kuwa hayajakidhi viwango????

nionesheni uzalendo wa maghufuli ulipo au ni kulidanganya bunge mara mbili about 256 bl
 
Jamani hizi siasa ni za humu humu ndani mm huku niliko huyo wanayemzungumzia Lowasa kwa huku kwetu hana jipya. Ila wanachosema tu nikwamba cku akija wataenda kumuangalia tu lkn kitu kinachoitwa kupata kura "puuuu". Kwahiyo hapa hata wamponde Magufuli cjui wamsafishe Lowasa itakuwa ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu. Wanachojua na ninachoamini mimi rais wa awamu ya tano ni mheshimiwa Dr.John Joseph Pombe Magufuli huyu jembe anakubalika c mchezo.
Mm huku naendelea kupiga kampeni za ana kwa ana nikihusisha vijana jinsia zote,akina mama na akina baba pamoja na wazee ili kuhakikisha ushindi wa tsunam kwa jembe letu. Nawaacha nyie muendelee kupiga kampeni mitandaoni facebook,twiter,instgram,2go,badoo, JF & WhapsApp nk. huku mkidhania mmemaliza kwani najua siyo watanzania wote wanaotumia hizi mitandao isipokuwa kwa wachache tu ndo wanaotumia. Watanzani wanahitaji viongozi waadilifu na wachapa kazi il taifa lisonge mbele. Na watanzania wanataka kuchagua viongozi walioonesha juhudi ktk kazi.
 
Barabara hazina viwango kabisa mnasema msiyoyajua
 
Jaribu kujenga utamaduni wa kusoma vitu vizuri pasipo kukurupuka na kujibu pointless. Swala la kubabaisha ungewaambia CHADEMA na SIASA ZAO ZA KINAFKI waliozunguka TZ nzima wakisema LOWASSA ni fisadi amehusika na RICHMOND na leo wanasema ni mtu safi na muadilifu.
Watanzania tulitaka kujua nani hasa alikuwa nyuma ya Richmond na sasa tumejua ni mkuu wa nchi alizuia Lowasa kuu-vunja ule mkataba. Sasa unachotaka nini kingine? Ukichukulia Mhusika mwenyewe hajakanusha.Tumia akili.
 
Jamani hizi siasa ni za humu humu ndani mm huku niliko huyo wanayemzungumzia Lowasa kwa huku kwetu hana jipya. Ila wanachosema tu nikwamba cku akija wataenda kumuangalia tu lkn kitu kinachoitwa kupata kura "puuuu". Kwahiyo hapa hata wamponde Magufuli cjui wamsafishe Lowasa itakuwa ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu. Wanachojua na ninachoamini mimi rais wa awamu ya tano ni mheshimiwa Dr.John Joseph Pombe Magufuli huyu jembe anakubalika c mchezo.
Mm huku naendelea kupiga kampeni za ana kwa ana nikihusisha vijana jinsia zote,akina mama na akina baba pamoja na wazee ili kuhakikisha ushindi wa tsunam kwa jembe letu. Nawaacha nyie muendelee kupiga kampeni mitandaoni facebook,twiter,instgram,2go,badoo, JF & WhapsApp nk. huku mkidhania mmemaliza kwani najua siyo watanzania wote wanaotumia hizi mitandao isipokuwa kwa wachache tu ndo wanaotumia. Watanzani wanahitaji viongozi waadilifu na wachapa kazi il taifa lisonge mbele. Na watanzania wanataka kuchagua viongozi walioonesha juhudi ktk kazi.

Juhudi zipi katika kazi

1) Miaka hamsini Taifa letu halina ndege hata moja??
2)Ufisadi umeshamiri kila kona
3)Madawa ya kulevya na vijana wanazidi kupotelea humo kwenye matumizi ya madawa ya kulevya
4)Barabara zilizojengwa hazina viwango hazina alama za barabarani, haziana waenda kwa miguu ( Hopeless kabisa)
5)Matumizi mabaya ya madaraka na kuishi kwa mazoea
6)Shilingi inaporomoka siku baada ya siku kila kona kuna soko la giza (black market)
7)Ujinga na ushabiki wa siasa yaani kila kitu upuuzi upuuzi mtupu
8)Hospitali hazina huduma bora , elimu iko chini sana

yote haya yanasababishwa na kukosa viongozi walioshindwa kusimamia matumizi ya railimzali tulizonazo

Dont waste your time on explanation about your party people want to hear what they want to hear and its only the word changes
 
huyu ni chiz kweli hamjifunz kwa mlichofanya kwa lowasa leo mnakaz ya kumsafisha alafu mnarudia kwa magufuri jaribun kujenga hoja sio vtu vya kipuuz kama hvo
 
leta na ule UZI iliomchambua LOWASA!! tubalance Unafiki wako!! Yericko huna tofauti na LIPUMBA!!
 
Back
Top Bottom