Elections 2015 Dr. John Pombe Magufuli achaguliwa kuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM 2015

Wewe mbona umemkomalia Lowasa,alikufanya nini? Kila baada ya sekunde unapost Lowasa
 
Ubarikiwe sana
 
Karibu mwalimu tunatarajia utainua taaluma iliyodolola mpaka kufikia devision five, japo tunajua huna desturi ya kuwajari wafanyakazi lakini tunaimani nawe.
Duuh kweli jamaa haajiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…