Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natamani kusikia kauli ya MWENYEKITI wa CCM mkoa wa shinyanga Musukuma
Punguza jazba ili usipotoshe...msukuma yupo geita, shy town ni mgeja
But ujumbe umefika
Mie nadhani msijipe matumaini makubwa kupitiliza. Ni watu wachache tu waliokuwa wafuasi wake watakaokuwa tayari kumeguka hata kama naye atameguka. Kumbuka ccm nayo ni taasisi, ila Lowasa ni mtu tu. Ningetamani ivunjike, ila sio rahisi kihivyo!Natamani kusikia kauli ya MWENYEKITI wa CCM mkoa wa shinyanga Musukuma
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Geita, Joseph Musukuma akiwasalimu wakazi wa Chato kabla ya kumkaribisha mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli kuwasalimu,kujitambulisha na kuwashukuru wananchi kwa kipindi cha miaka ya 20 aliyoitumikia kama Mbunge.
Na hakika mafuriko ya Mamvi nayo yatamsomba kwenda chadema haya mafuriko si ya kuchezea.
Hayo mafuriko ya mamvi hatuyaoni coz wanaomfuata wote ni vibaraka na kama Dc Makonda alivyosema ni pamoja na huyo mngeja,msindai,hstutawashangaa coz walikuwa ccm kimaslahi na usaliti,tupa kulee!!!
Hayo mafuriko ya mamvi hatuyaoni coz wanaomfuata wote ni vibaraka na kama Dc Makonda alivyosema ni pamoja na huyo mngeja,msindai,hstutawashangaa coz walikuwa ccm kimaslahi na usaliti,tupa kulee!!!
Natamani kusikia kauli ya MWENYEKITI wa CCM mkoa wa shinyanga Musukuma