Elections 2015 Dr. John Pombe Magufuli achaguliwa kuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM 2015

Elections 2015 Dr. John Pombe Magufuli achaguliwa kuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM 2015

Mgombea mteule wa urais kwa tiketi ya CCM amesema kuwa atalala mbele na wazembe serikalini ili kuleta maendeleo kwa wananchi kwani maendeleo hayana chama, swali je rushwa nayo maana ni kikwazo katika maendeleo zaidi ya uzembe ataiondoa? Tutafakari sana

Huyu ataiyumbisha nchi, maamuzi yake "kutimua timua" bila reasosing yataitesa nchi! By the way, amekwishaanza kampeni?
 
Ngoja tuone. Mtangulizi wake mwanzoni alikuwa anapita kila wizara lakini wapi!
 
Mgombea mteule wa urais kwa tiketi ya CCM amesema kuwa atalala mbele na wazembe serikalini ili kuleta maendeleo kwa wananchi kwani maendeleo hayana chama, swali je rushwa nayo maana ni kikwazo katika maendeleo zaidi ya uzembe ataiondoa? Tutafakari sana

cjawah kuona TV inajibadilisha yenyewe stations bila ya remote TV itakuwa magogoni remote itakuwa msoga
 
Huyu ataiyumbisha nchi, maamuzi yake "kutimua timua" bila reasosing yataitesa nchi! By the way, amekwishaanza kampeni?
Kinyonga hao pomoja na kutamka kuwa si kampeni mbona amedai achaguliwe yeye pamoja na wabunge na madiwani kwa mfano wa tochi ya betrii tatu lazima ipate betrii tatu ndipo imulike
 
Mgombea mteule wa urais kwa tiketi ya CCM amesema kuwa atalala mbele na wazembe serikalini ili kuleta maendeleo kwa wananchi kwani maendeleo hayana chama, swali je rushwa nayo maana ni kikwazo katika maendeleo zaidi ya uzembe ataiondoa? Tutafakari sana

Yeye Uzembe alioufanya wa kuuza nyumba za serikali nani alimuonyesha?Ataenda kuwaonea sisimizi Tembo hatawagusa kamwe..........
 
Kama kashindwa ktk wizara anayoingoza,atawezaje kwa nchi yote.ccm out
 
hata JK alisema hivyo hivyo ktk kampenzi zake za kutafuta uraisi mwaka 2005 na 2010.
 
Mgombea mteule wa urais kwa tiketi ya CCM amesema kuwa atalala mbele na wazembe serikalini ili kuleta maendeleo kwa wananchi kwani maendeleo hayana chama, swali je rushwa nayo maana ni kikwazo katika maendeleo zaidi ya uzembe ataiondoa? Tutafakari sana

juzi alisikika akiwaambia wana ccm kwamba atasikiliza ushauri wao juu ya yale watakayo mwagiza. kwa hiyo akiambiwa kuna hela BOT lazima ataruhusu ziibwe.magufuli will never become a president of this country
 
Mgombea mteule wa urais kwa tiketi ya CCM amesema kuwa atalala mbele na wazembe serikalini ili kuleta maendeleo kwa wananchi kwani maendeleo hayana chama, swali je rushwa nayo maana ni kikwazo katika maendeleo zaidi ya uzembe ataiondoa? Tutafakari sana

Kipaumbele kwa Rais yeyote Tanzania lazima iwe kupambana na RUSHWA.

Next kukusanya kodi bila kukupesa macho. Hili liendane na kupanua wigo wa kodi (property tax etc). Wanasiasa (Waziri) waondolewa kutoa misamaha. Kama ni lazima, kazi hiyo ifanywe na TRA bila kuingiliwa.

Kusimamia matumizi sahihi ya kodi za wananchi (inahusiana na rushwa). Kupunguza matumizi ya serikali (Wizara, Idara, vitengo).
 
Mgombea mteule wa urais kwa tiketi ya CCM amesema kuwa atalala mbele na wazembe serikalini ili kuleta maendeleo kwa wananchi kwani maendeleo hayana chama, swali je rushwa nayo maana ni kikwazo katika maendeleo zaidi ya uzembe ataiondoa?

Tutafakari sana.


Kama amesema hivyo, basi bado hajafahamu MAJUKUMU YA RAIS.

Mimi ningemuelewa kama angesema kwamba Mawaziri na Makatibu Wakuu wazembe kukiona. Maana hao ndiyo wasaidizi wake wa karibu lakini pia ndio hand picked wake.

Lakini kama atataka kumwajibisha messenger mzembe wa Sangamwalugeshi kwasababu ya uzembe hiyo itakuwa ni kupoteza time and space ya Rais.
 
Yeye Uzembe alioufanya wa kuuza nyumba za serikali nani alimuonyesha?Ataenda kuwaonea sisimizi Tembo hatawagusa kamwe..........
Hivi hatuna cha kuzungumzia kuhusu Magufuli zaidi za uuzwaji wa nyumba za Serikali!!!

Mbona suala hili limekwisha fafanuliwa na Waziri mkuu mstaafu Mh.Sumaye kwamba uuzaji wa nyumba za Serikali ulifanywa na baraza la Mawaziri chini ya Rais, sasa kwa nini mnakazania kumkandia Mh.Magufuli as if ulikuwa ni uhamuzi wake binafsi!

Mnapenda sana kutoa an impression kwamba Mh.Magufuli ana act like unguiged missile!!!

Tunacho sahau ni kwamba yeye alikuwa ni mtekelezaji mahamuzi ya Serikali. Nyumba hizo ziliuziwa Watanzania wenzetu,kwani tatizo liko wapi, je mlitaka wauziwe wageni? Mh.Sumaye alisema kama Serikali ingeuza nyumba hizo kwenye open market basi wanunuzi wangekuwa Wazungu na Wahindi, je nyinyi mlitaka wauziwe wageni na si waswahili wenzenu au!!! Huu kama sio wivu ni nini?

Tafuteni hoja nyingine zenye mshiko,mkijitia kug'ang'ania hoja ya uuzwaji wa nyumbani za Serikali kama ndio hoja ya kumu corner Mh.Magufuli basi nasikitika kuwambieni hoja hiyo inekwisha tupwa kwenye trashcan.
 
Kama amesema hivyo, basi bado hajafahamu MAJUKUMU YA RAIS.

Mimi ningemuelewa kama angesema kwamba Mawaziri na Makatibu Wakuu wazembe kukiona. Maana hao ndiyo wasaidizi wake wa karibu lakini pia ndio hand picked wake.

Lakini kama atataka kumwajibisha messenger mzembe wa Sangamwalugeshi kwasababu ya uzembe hiyo itakuwa ni kupoteza time and space ya Rais.
Ushauri wa bure kabisa umempa je atauelewa hapo ndipo kuna kazi
 
Hivi hatuna cha kuzungumzia kuhusu Magufuli zaidi za uuzwaji wa nyumba za Serikali!!!

Mbona suala hili limekwisha fafanuliwa na Waziri mkuu mstaafu Mh.Sumaye kwamba uuzaji wa nyumba za Serikali ulifanywa na baraza la Mawaziri chini ya Rais, sasa kwa nini mnakazania kumkandia Mh.Magufuli as if ulikuwa ni uhamuzi wake binafsi!

Mnapenda sana kutoa an impression kwamba Mh.Magufuli ana act like unguiged missile!!!

Tunacho sahau ni kwamba yeye alikuwa ni mtekelezaji mahamuzi ya Serikali. Nyumba hizo ziliuziwa Watanzania wenzetu,kwani tatizo liko wapi, je mlitaka wauziwe wageni? Mh.Sumaye alisema kama Serikali ingeuza nyumba hizo kwenye open market basi wanunuzi wangekuwa Wazungu na Wahindi, je nyinyi mlitaka wauziwe wageni na si waswahili wenzenu au!!! Huu kama sio wivu ni nini?

Tafuteni hoja nyingine zenye mshiko,mkijitia kug'ang'ania hoja ya uuzwaji wa nyumbani za Serikali kama ndio hoja ya kumu corner Mh.Magufuli basi nasikitika kuwambieni hoja hiyo inekwisha tupwa kwenye trashcan.

Angekuwa msafi pamoja na kwamba alikuwa chini ya Rais mwingine na anajua kinachofanywa si sahihi alitakiwa kujiuzulu na kutuambia sababu zake za kujiuzulu.

Lakini alikuwa wa kwanza kujichukukia nyumba na kumpa nyumba yake ndogo aka hawara hake.Pili wizara yake ndiyo rushwa imekithiri ameshindwa kuiondoa Wizarani kwake ataweza Tanzania yote?Kimoja sipendi kujidanganya na sipendi kudanganywa na maneno matamu ya wataka ulaji wa CCM.Ameshasema atayalinda yale yote yaliyofanywa na wenzake na atakioinda chama chake na si TAIFA lake sasa huyu ndiyo unataka nimpigie kura.

Duh!Ngoja nifikirie kwanza,yawezekana ndiyo maana Mkullu aliwaasa akisema ..."Hata huko upinzani kuna watu wazuri zaidi kuliko CCM"Tujifunze toka kwa mwenyekiti wetu wa Chama Cha Majambazi...
 
Ushauri wa bure kabisa umempa je atauelewa hapo ndipo kuna kazi

Na leo amesema tena.Sasa sijui yeye nani alimkomesha.Ila nina uhakika wadogo huko wanitayarishe kama huyo mzee ataingia madarakani.Na Mafisadi watapeta kama kazi maana wanajua BEI ya mgombea wao.Ndiyo maana pande ile ya MAFISADI wamesheherekea mwenzao.
 
MAgufuli anaweza kuwa alikuwa na ndoto binafsi nzuri ila kilichotokea ni bahati mbaya sana.Sio Siri tena kwamba CC ya CCM km ilivyo CCM kwa watanzania kila wakigusancho kinanajisika,ndivyo magufuli naye ndoto zake zimenajisiwa.Kilicho baki km ilivyo ktk jadi nyingi watoto haramu,watoto waliozaliwa na ndugu wa karibu pia nao kuna mila za kuwahalalisha.Magufui anahitajai waambia wana CCM na watz nini kilitokea,halafu wao wamwambie nini cha kufanya na kusafisha hiyo najisi.Hio ndio nia njema..na itafungua milango yako.
 
Mgufuli ni mhanga km alivyo lowasa, pinda na wengine walipigwa panga na kamati ya maadili isiyo n amaadili.
 
Back
Top Bottom