Timothy walter
Member
- Jul 11, 2015
- 55
- 7
Me nawaambia wa Tanzania amin bado xana kwa mfumo wa ccm akuna rais mpya labda wangemuacha tu lowasa maana yeye kaiba mpka bas ila huyu magufuli kuwa rais ni haeri mkolon angerud mcbweteke na lami na madaraja feki jiulizen wap aliwai kemea ubadhilifu wa Mali za umma utaona apo mwenyewe kwamba ni lazma akae kimya ndo xababu kachaguliwa ila me c mchukii tuamke kma Kenya ndo kilichobaki kma ni Ukawa nao ni wakati wa kuwapima je wanayosema ni kweli bhasiii.