Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Ujumbe kuntu huu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe utakuwa mmojawapo kati ya hawa wafuatao:- (a) Team Lowassa (b)Una malori (c) Umejenga barabarani. Pole
Tatizo lingine hata husemi we uliona nani anafaa halafu tuwalinganishe. Nani alikuwa hana mapungufu? Mtaje. Au ulikuwa unasubir atajwe yeyote uanze kumshanbulia? Kumbuka, hakukuwa na malaika kati yao. Lakin magufuli was the best.
Rais mzur ni yule anayeweza kuaddress challenges za nchi kwa wakati huo. Kwasasa ni yeye
Watanzania wengi wana umasikini wa fikra na kipato ambayo ndio silaha ya mazingaombwe ya ccm