Lakini Kimweri, sawa, nakubali kwamba wapinzani nao wana mapungufu yao. Lakini pia let's cut them some slack. They are not competing on a level-playing field. The odds are overwhelmingly stacked against them.
I mean, it's joke that the members of the election committee [at least the top brass as far as I know] are selected by the president who is a chairman of the ruling party. Who do you think they will be beholden to? No-brainer! They will beholden to whoever hooked them up. It's a big 'ol joke that ain't even funny.
This i agree, wapinzani hawako kwenye level playing field,which means they should work ten times harder. I work around privileged white chaps, and as a colored person, i usually have to work 3 times harder to get half the recognition, i don't blame them, i simply just work harder.
Hapo kwenye Tume ndio hasa nia ya mie kusema, waoneshe mfano. Maana huwezi kusema CCM wanapendelewa, wananchi wakakuelewa ,akama upinzani kwenyewe kuna manung'uniko. Inabidi wajitoe uchizi, na kuachana na hii michujo ya ki-ccm ccm, wamejitokeza watu 50, wote wapewe nafasi sawa, wasikilizwe sawa, wapigiwe kura kwa uwazi. Kama mtu anatuhumiwa kama njia ya kumuengua tuhuma zithibitishwe mara moja kwa ushahidi ulio public ili wananchi wajue.
In my opinion, this could have been a powerfull stratergy to teach watanzania vichwa vizito ni jinsi gani uwazi unatakiwa kuwa.
Sasa nikisikiaga kuwa UKAWA wanajadiliana nani sijui awe mgombea behind closed doors hapo ndio nachoka kabisa.
Upinzani have a dear task to fight CCM, but waache kujiongezea kazi.
Halafu, kabla hata ya hao tatu bora....wale wengine 35 walikatwa katwaje? Walipigiwa kura? Huo mchakato wa kuwaengua ulikuwa huru, wa haki, na uwazi kiasi gani?
Au walienguliwa tu at the whims of the powers that be? It still boggles my mind how J. Makamba and Amina Salum Ali made it to the top 5 and Mark Mwandosya and Augustine Mahiga didn't.
How did that happen?
Ndio komedi zenyewe. Kinachonikera kuhusu CCM ni kuwa wote wanageuka kuwa a bunch of corrupt group as long as wakiahidiana vyeo.watch this space, asilimia 80 ya waliokatwa utawakuta kwenye serikali ijayo. hawa hawa tulioambiwa wachafu hawafai, wametoa rushwa, hawajakomaa etc etc. Vigezo vya CCM kesho unasikia wameteuliwa. Kina chenge CC nzima iliwaita magamba, kesho yake wakawaaamini waandike katiba. Lowassa katukanwa na kila mwana CCM kuwa naagawa rushwa apate uongozi, leo hii wanamuweka High table,halafu anaitwa mchapakazi wakati raisi akifunga bunge na anashukuriwa kwa kazi nzuri.
Uchaguzi wa CCM,yalikuwa maigizo,zile komedi za kutafuta wadhamini ni kampeni zilianza kwa kuwa wadhamini walitafutwa na makatibu wa CCM wa sehemu husika kwa kila mgombea, so inshort CCM ilituma makada wake 40 kuzunguka nchi nzima kupata publicity.
January hawezi kupitishwa mbele ya mtu kama jaji ramadhani au Mahiga sehemu yoyote ile duniani, unless kigezo kilikuwa kimoja tu, umri mdogo.Huwezi ukatengeneza list ya wanasayansi mahiri duniani, halafu list yako ukamuweka mwanafunzi wa chuo kikuu halafu ukamweka pembeni mtu kama Einstein au Newton, list inakosa maana,kama haijabadilishwa jina.
Huo ni ushauri mzuri ila huoni kwamba hata wakifanya hivyo kelele zao zita fall on deaf ears kutokana na ujinga wa masses?
True, but angalau mapungufu ya CCM na serikali yataendelea kubakia consistent baada ya kila uchaguzi.kwa mfano, kama CCM ina utaratibu wa hovyo wa kupata kiongozi, utaendelea kubakia hivyo, unless waubadilishe, which is going to be a win-win for all.
Tunataka Tanzania ili yo bora, sio hii make-believe ya CCM kila baada ya miaka 5 kuwa all is merry, halafu wakitoka hapo hotuba ya kwanza tu bungeni wanaanza kuorodhesha matatizo mengi kuliko ahadi zao.