Elections 2015 Dr. John Pombe Magufuli achaguliwa kuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM 2015

Elections 2015 Dr. John Pombe Magufuli achaguliwa kuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM 2015

Mimi Binafsi Limeridhika Na Uteuzi Wa Dk.Magufuli Kama Mgombea Uraisi Kwa Tiketi Ya Chama Cha Mapinduzi.Hakuna Ubishi Wowote Kuhusu Utendaji Kazi Wake Na Uchapakazi Wake Na Uadilifu Wake.Hana Skendo Za Ufisadi Na Ubadhilifu Wa Pesa Za Umma.Ccm Wana Akili Sana Na Natumia Nafasi Hii Kuwapongeza Kwa Kulisimamisha Jembe.Ukawa Wanatakiwa Wajipange Upya Kwasababu Hili Jembe Litawatoa Kamasi Na Litawasumbua Sana Kwasababu Linakubalika Na Watanzania Walio Wengi.Mimi Binafsi Ni Ukawa Damu Lakini Kwa Nafasi Ya Uraisi Kura Yangu Naiweka Kwa Hili Bulldoza Bingwa Wa Kukariri Liende Likatifuetifue Na Kungoa Magugu Pale Ikulu.Ninaimani Kubwa Sana Na Dk.Magufuli Kwa Uzalendo Wake.He Is An Asset And Not A Liability.Kwa Wale Wote Mnaoendelea Kumponda Ongereni Kwa Juhudi Zenu Za Kupaka Rangi Upepo.Ila Ukweli Utabaki Palepale Kua "DK.JOHN POMBE MAGUFULI(THE PRESiDENT OF UNITED REPUBLIC OF TANZANIA)"
And Good News Ni Kwamba Hili Jembe Limeshaanza Kupewa Presidential Escort Inapendeza Sana!
 
habar wakuu, baada ya ccm kumpata mgombea atakayepeperusha bendera ya kijani na njano ambay ni dr.Magufuli katibu mkuu wa CDM dr.Slaa ameibuka na kusema kamwe Magufuli hawez kufua dafu UKAWA.
source:gazeti la nipashe

Namshauri Slaa ajiepushe na matamshi yasiyopimwa kwa kipindi hiki. Ni bora kunyamaza kuonyesha busara. Huwezi kupima uchaguzi wa Rais kwakutumia uchaguzi wa mitaa! These are two diverse dimensions. Awe macho na matamshi wake kipindi hiki in order to keep his credibility
 
Mimi Binafsi Limeridhika Na Uteuzi Wa Dk.Magufuli Kama Mgombea Uraisi Kwa Tiketi Ya Chama Cha Mapinduzi.Hakuna Ubishi Wowote Kuhusu Utendaji Kazi Wake Na Uchapakazi Wake Na Uadilifu Wake.Hana Skendo Za Ufisadi Na Ubadhilifu Wa Pesa Za Umma.Ccm Wana Akili Sana Na Natumia Nafasi Hii Kuwapongeza Kwa Kulisimamisha Jembe.Ukawa Wanatakiwa Wajipange Upya Kwasababu Hili Jembe Litawatoa Kamasi Na Litawasumbua Sana Kwasababu Linakubalika Na Watanzania Walio Wengi.Mimi Binafsi Ni Ukawa Damu Lakini Kwa Nafasi Ya Uraisi Kura Yangu Naiweka Kwa Hili Bulldoza Bingwa Wa Kukariri Liende Likatifuetifue Na Kungoa Magugu Pale Ikulu.Ninaimani Kubwa Sana Na Dk.Magufuli Kwa Uzalendo Wake.He Is An Asset And Not A Liability.Kwa Wale Wote Mnaoendelea Kumponda Ongereni Kwa Juhudi Zenu Za Kupaka Rangi Upepo.Ila Ukweli Utabaki Palepale Kua "DK.JOHN POMBE MAGUFULI(THE PRESiDENT OF UNITED REPUBLIC OF TANZANIA)"
And Good News Ni Kwamba Hili Jembe Limeshaanza Kupewa Presidential Escort Inapendeza Sana!

Ni kweli utendaji wake ni mzuri sana maana mvua moja tu BARABARA zote hoi!!!!!!!!!!!!!!!Kisa ten percent,huyu aliyempa nyumba ndogo nyumba ya serikali,duh kweli ndani ya CCM hakuna wasafi bali kuna wenye nafuu tu.Na bei ya huyu hao anaowasema watamkoma wameshaijua,subiri matokeo...................
 
Et Ukawa Dam Ukawa Hatuna Wenye Akili Ndogo Kama Wewe, Yani Katika Watu Wepes Bas Magufuli Ni Mwepesi Tena Tutachukua Nchi Mchana Kweupe
 
Muuza nyumba zetu za serikali na mabarabara yanaharibika kabla hajaisha
 
Obviously Magufuli selection was a carefully controlled manipulation of an illusion of democracy and openness.In african Elections, everything can be done openly, but if vote counting is done in secret then you know what's up.

CCM knowing that their entire performance had to be carefully orchestrated without need for any deviation from the script shamefully decided to conduct counting away from prying eyes. Even more so, announce results overnight. What more proof of a setup and rigging would you need apart from that?

Two thing's do not add up. If Migiro got 280 votes in the previous round,how come she got 59 votes in a round that included even more voters?After she actually pleaded for votes?

If Amina got 284 votes, how come her votes went down in the next session?especially after she publicly pleaded for Lowassa people's votes?
My belief is that Magufuli votes were inflated to create a certain image. to blur off certain divisions,to fool people.

In a normal election The votes at the final session for the two ladies should not have been lower than the totals they got in the previous sessions. they should also have gotten a larger percentage of women votes.

What happened in Dodoma, is simple continuation of theatrics, well played by JK and CCM

Great analysis mkuu. As far as I can recall, upigaji kura NEC ulikuwa one person 3 votes, ama? Yawezekana katika hii stage wajumbe wa NEC waliwapa kura Asha Rose na Amina as 2nd or 3rd choices, ili mradi kuwatupilia mbali Membe na Makamba. (The Lowassas and camp). Ila kura za mkutano mkuu ilikuwa, one person one vote! Kwahiyo uwezekano wa kura zao 'kupungua' idadi maybe due to the above reason.
 
kwanza ww nina mashaka na uwanaukawa wako, Refer to the speech of Barack Obama in Accra Ghana he said "Africa doesn't need strongmen but strong insititutions" also he ended to say "The future of Africa is on Africans" naongezea hili "The future of Tanzania is on Tanzanians" chuku uongoz kama taasisi ulete ungoz wa ccm na fumo wake juu hili Taifa,nakuhakikishia hilo jembe lako litapita tuu litaiacha hiyo taasis ya ccm mbovu hivyo na haiwez chochote,kwa hilo jembe ni imara lakin taasis mbovu na imeoza kabisa!!! kwa hiyo ni yale yale tu hakuna kipya hapo ni kiini macho kwa Tanzania tu.
 
Kutokuukubali ukweli haimaanishi kuwa ukweli huo haupo. Tatizo la tanzania si MTU gani akae kwenye uongozi ili alete maendeleo, tatizo ni MFUMO. tuna tatizo la kimfumo ambalo hata ukiweka malaika atajikuta mwisho wa siku mfumo umemmeza na matarajio ambayo wengi walitarajia ayafanye hayatokei.
 
SLAA anajua Maghufuli ni jembe na ndiyo maana ameomba asitangazwe kuwa mgombea wa UKAWA kwenye kkkao cha juzi na kuomba apewe muda atafakari kwanza.
 
habar wakuu, baada ya ccm kumpata mgombea atakayepeperusha bendera ya kijani na njano ambay ni dr.Magufuli katibu mkuu wa CDM dr.Slaa ameibuka na kusema kamwe Magufuli hawez kufua dafu UKAWA.
source:gazeti la nipashe
Awache kuandika kwa kutumia mate wakati wino ubwerere
 
SLAA anajua Maghufuli ni jembe na ndiyo maana ameomba asitangazwe kuwa mgombea wa UKAWA kwenye kkkao cha juzi na kuomba apewe muda atafakari kwanza.

Umeona mbali, mbona kweli inasemekana walishampitisha kwanini hawakumtangaza? Amerudisha nyuma majeshi baada ya kusikia ni Maghufuli.
 
Matokeo ya kura za wagombea kutokana na Mkutano Mkuu ni :

Mhe. John Magufulu 87%,

Balozi Amina Ali 10% na

Dk. Asha Migiro 3%

attachment.php

attachment.php


Update: 14:00

John Magufuli, amemtangaza mgombea mwenza wake kuwa ni Samiah S. Hassan

I EAT MY WORDS, CCM HAS DONE IT AGAIN. COME OCTOBER 2015, JPM will surely be sworn as the new president of TZ
 
Namshauri Slaa ajiepushe na matamshi yasiyopimwa kwa kipindi hiki. Ni bora kunyamaza kuonyesha busara. Huwezi kupima uchaguzi wa Rais kwakutumia uchaguzi wa mitaa! These are two diverse dimensions. Awe macho na matamshi wake kipindi hiki in order to keep his credibility

sio kweli mkuu kipimo wanacho kipia ccm kiwe halali kwao na haramu kwa cdm??
uchaguzi wa serikali za mitaa hutoa picha ya nini kinakwenda kufanyika kwenye uchaguzi mkuu??

upinzani huanzia kwenye ngazi za chini.
kama ilivyo hapo kwenye serikali za mitaa baada ya hapo kwenye majimbo na mwishowe ni kwa raisi.

ukisha ona kwenye serikali za mitaa chama kimeshinda sana tegemea hayohayo hata kwenye majimbo.
na chama kikiwa na wabunge wengi basi tegemea na raisi kwa asilimia kubwa atatoka huko huko pia
 
Bahati nzuri ni sisi Wananchi ndio tunamchagua Rais. Na tuna imani na magufuli. Slaa anadhani mamlaka ya Rais ni mepesi kama kupora wake za watu?
 
Et Ukawa Dam Ukawa Hatuna Wenye Akili Ndogo Kama Wewe, Yani Katika Watu Wepes Bas Magufuli Ni Mwepesi Tena Tutachukua Nchi Mchana Kweupe

Hakuna Mtu Mpumbavu Duniani Kama Yule Anaejaribu Kupambana Na Ukweli.Na Nadhani Hata Wewe Utakua Unawawakilisha Wapumbavu Wenzio Mnaotembea Na Miwani Ya Giza Usiku.Kubali Ukweli Hata Kama Unauma Ndio Uungwana.Magufuli Ni Kisiki Na Atatusumbua Sana Sisi Ukawa
 
Back
Top Bottom