Ukawa tunamsubiri.
Hivi bado mna ndoto za kufanya kampeni?bora hiyo hela ya kampeni mkajengee office
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukawa tunamsubiri.
hapa tunaandaliwa siku moja tutakuwa na rais mwanamke tu na tunakaribia sana
Jamani nauliza Magufuli ni kabila gani?
Ehhh, ni kabila tena? Mie nilisikia ni Pombe. Yaani Pombe Magufuli.
Umofia kwenu wana JF,
Mh Pombe alitumia madaraka yake vibaya na kujimilikisha viwanja nane vya Mbweni Beach JKT na kujenga ghorofa katika kila kiwanja na ghorofa jingine amemuweka nyumba ndogo. Huyu Pombe amepata wapi fedha za kujenga maghorofa nane (kila ghorofa kwenye kiwanja kimoja) simultaneously kuanzia mwanzo mpaka mwisho?
Tumekabidhi wizara kafanya haya ,Je akipewa urais si itakuwa balaa? Huyu mtu sio muadilifu kabisa, hafai kuongoza nchi hii.
Nani anabisha kuwa deal ya kupata candidate aliye mtaka mkulu imekufa bila kutegemewa? Mkulu hakutegemea kuwa baadhi ya wanakamati wa CC watatoka nje na kueleza kutofuatwa kwa taratibu za kuwapata 5 bora. Ilikuwa ni kama imetoka kwa Mwenyezi Mungu yaani hao (DR. Nchimbi, Mhs Sofia Simba na Mhs Adam ..) walikua malaika wake!
Wana JF, hatuna budi kuwashukuru hawa jamaa hata kama walikuwa wako kwenye kambi ya EL. Maana bila hivyo huyo jamaa wa kusini alishatayarishwa! Imekula kote, yaani kwa Mkulu pamaoja na kwa EL.
Tatizo la mgombea wao ni UTULIVU.
Naingiwa na wasiwasi wakipiga bao la mkono maamuzi yake ya haraka haraka.
Ila aelewe kuwa leo kashangiliwa ila kuna 'SHIDA YA UKAWA' mbele.
Wengi wanaosema Ukawa ni hawa hawa wa mitandao ya kijamii..wale mababu zetu kule viijini ambao ni wengi kuliko akina sisi na hawana account hata moja kwenye hizi vitu mnafkiri wanasema nani labda?
Obviously Magufuli selection was a carefully controlled manipulation of an illusion of democracy and openness.In african Elections, everything can be done openly, but if vote counting is done in secret then you know what's up.
CCM knowing that their entire performance had to be carefully orchestrated without need for any deviation from the script shamefully decided to conduct counting away from prying eyes. Even more so, announce results overnight. What more proof of a setup and rigging would you need apart from that?
Two thing's do not add up. If Migiro got 280 votes in the previous round,how come she got 59 votes in a round that included even more voters?After she actually pleaded for votes?
If Amina got 284 votes, how come her votes went down in the next session?especially after she publicly pleaded for Lowassa people's votes?
My belief is that Magufuli votes were inflated to create a certain image. to blur off certain divisions,to fool people.
In a normal election The votes at the final session for the two ladies should not have been lower than the totals they got in the previous sessions. they should also have gotten a larger percentage of women votes.
What happened in Dodoma, is simple continuation of theatrics, well played by JK and CCM
JK chali.......
Anatupimia kwa kijiko? Ataumia!
Hureeeeeee TeamLowassa!
- kwa nini watanzania wameendelea kuuchagua Mvinyo Uleule wa CCM, kila unapowekwa kwenye chupa mpya?
- kwa nini wapinzani wa CCM wameendelea kuleta mvinyo wao kwa chupa zilizokataliwa ama kwa kutokuwa na mvuto au kuhisiwa kukosa ubora kama chupa za CCM?
- Kwa nini watanzania wanaendelea kukubali kunywa mvinyo wanaoulalamikia kwa miaka zaidi ya 30?na kuushangilia kila ukiwekwa kwenye chupa mpya, na kurudi tena kuulalamikia kila wakgundua mvinyo ni ule ule?
- Kwa nini wapinzani wanashindwa kuwaonesha watanzania Tatizo ni Mvinyo na sio CHUPA?