Elections 2015 Dr. John Pombe Magufuli achaguliwa kuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM 2015

Elections 2015 Dr. John Pombe Magufuli achaguliwa kuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM 2015

Magufuli asipoingiliwa katika utendaji na waliomtuma, basi tutashuhudia rais muwajibikaji katika historia ya Tanzania...

Ni wakati wa Tanzania mpya kuamka sasa na kusonga mbele kuyaelekea maendeleo...

Shime Watanzania

Is this a concession that he is a shoo-in for state house?

Which in essence, it means that Tanzania is still a one/ single party state.
 
Hatimaye ccm imekua moja nyuma ya mgombea mmoja. Sasa ukawa kazi ipo...
Shkamoo ccm!!! Imebidi niwaamkie maana hamna namna nyingine sasa
 
Huyu anahusika Na uuzaji wa Nyumba za serikali wakati wa awamu ya tatu kule Arusha na kwingineko Tanzania
 
Hongera sana John Pombe Magufuli. Hakuna aliyekutegemea kufika hapo. Ila siasa za makundi zimefanya chama kutafakari upya na kukuamini. Naamini kuwa hutatuangusha
Hongera na wewe mkuu. Chaguo lako hilo
 
Magufuli ni mtiifu sana kwa JK.....hapo kashinda JK....tano bora yote ilikuwa yake......
 
Point of correction..this is not twitter, this is JF, there is no 'following' here..

Camouflaging..nothing is wrong..we still have an election though..

you are following whatever i post connecting to what i said before.., unajichosha bure tu.., nilichokiandika mwezi uliopita sikumbuki chote, na sina tabia ya kufukunyu nyuma.

Usinipangie lugha ya kuongea ndugu, vipi?i say whatever i want, and i mean whatever i want, vipi yakhe?
 
Umofia kwenu wana JF,

Mh Pombe alitumia madaraka yake vibaya na kujimilikisha viwanja nane vya Mbweni Beach JKT na kujenga ghorofa katika kila kiwanja na ghorofa jingine amemuweka nyumba ndogo. Huyu Pombe amepata wapi fedha za kujenga maghorofa nane (kila ghorofa kwenye kiwanja kimoja) simultaneously kuanzia mwanzo mpaka mwisho?

Tumekabidhi wizara kafanya haya ,Je akipewa urais si itakuwa balaa? Huyu mtu sio muadilifu kabisa, hafai kuongoza nchi hii.

Hasira za kupigwa chini hizi. Weka ushahidi.
 
Umofia kwenu wana JF,

Mh Pombe alitumia madaraka yake vibaya na kujimilikisha viwanja nane vya Mbweni Beach JKT na kujenga ghorofa katika kila kiwanja na ghorofa jingine amemuweka nyumba ndogo. Huyu Pombe amepata wapi fedha za kujenga maghorofa nane (kila ghorofa kwenye kiwanja kimoja) simultaneously kuanzia mwanzo mpaka mwisho?

Tumekabidhi wizara kafanya haya ,Je akipewa urais si itakuwa balaa? Huyu mtu sio muadilifu kabisa, hafai kuongoza nchi hii.

Kwa maoni yako nani anafaa??
 
Huyu anahusika Na uuzaji wa Nyumba za serikali wakati wa awamu ya tatu kule Arusha na kwingineko Tanzania

Nakumbuka Lipumba ameshawahi kulivalia sana njuga hili suala kwa muda mrefu sana, je wananchi watatuelewa?
 
Magufuli ni walewale tu hakuna msafi ndani ya ccm sema huyo amepewa kama kumkomoa mkuu wa kaya
 
Magufuli ni mtiifu sana kwa JK.....hapo kashinda JK....tano bora yote ilikuwa yake......
Mkuu,

JK kamuweka mtu wake, aliyemuongezea ulinzi na kumpa right hand man mwezi mzima. wagombea wote wa-5 wa CCM jana walikuwa watumwa JK hand picked.

Unadhani vile vikao vya CC vilivyokuwa vinafanyika Ikulu vilikuwa vinafanya kazi gani.
 
Pamoja na kwamba siipendi CCM ila kupitishwa kwa maghufuli ni kwamba sio jambo rahisi sana kwa UKAWa kuwaaminisha watanzania wa hali ya kawaida wasiofuatilia mambo kuwa huyu jamaaa ni mchafu.
Nawabeni ukawa msichukulie poa na msikae tu na kujifariji kuwa njia ni nyeupe., hakuna kitu kama hicho,
Pamoja na kuungana kuna uwezekano mkubwa ccm wakashibnda kwa kishindo pia .
Tusidanganyane hapa JF
ukweli ni kwamba mchakato wa kumpata mgombea CCM umeacha ufa mkubwa ambao hauzibiki watu wanaweza kupiga kura za maluhani.
 
Watanzania tusidandie gari la waliovurugwa! Lengo ni kufumua ukoo wa panya kwa mwendo wa DELETE CCM 2015
 
JK chali.......

Anatupimia kwa kijiko? Ataumia!

Hureeeeeee TeamLowassa!

Mkuu unajipa moyo , hehehehe mzee wenu jana alikuwa anatia huruma sana ... Sidhani hata kama uwaziri atapewa
 
Back
Top Bottom