makoko jumanne
JF-Expert Member
- Apr 20, 2015
- 584
- 164
You cant compare Magufuli with Lowasa. Magufuli is good in administration, so he is president elect.
Inapendeza.ukisema yeye ndiyo rais wako ajaye. kwa kuwa kila mmoja wetu ana itikadi tofauti na yupo huru kwa mujibu wa katiba. inakuwaje unawazungumzia watu????
Hahahahahahah,huyu ndo amiri jeshi mkuu sasa,so yule jamaa anaetaka uamiri jeshi hata kutembea hawezi
Hakika wewe ndio unaejua watanzania wanahitaji nini,sifa zako za uchapakaz hodari,ufuatiliaji,umakini,usikivu zinakupa asilimia 100 kuingia ikulu!WEWE NDIO RAIS YETU UJAYE
weka tiki yako isiyozidi kibox kwa magufuli, kulikomboa taifa lako
Hakika wewe ndio unaejua watanzania wanahitaji nini,sifa zako za uchapakaz hodari,ufuatiliaji,umakini,usikivu zinakupa asilimia 100 kuingia ikulu!WEWE NDIO RAIS YETU UJAYE