Freema Agyeman
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 3,666
- 3,532
kwa ufupi nadhani wengi hawafahamu kuwa mtihani hautungwi NECTA. Waalimu hawa wanaofundisha mashuleni ndio wanatunga maswali halafu maswali yanapelekwa NECTA kwenye question bank.
Baada ya hapo jopo la kila somo wanachagua maswali na kutunga paper 4 kwa kila somo.
Baada ya hapo jopo lingine linakaa kuangalia hayo maswali kama yanaendana na syllabus na mengineyo.
Basi baada ya hapo linabaki jopo la siri la kuchagua paper ipi ifanywe na wanafunzi.
Sasa mkimlaumu Ndalichako mtakuwa mnakosea maana utungaji mtihani una taratibu zake.
Je kuna jopo linakokaa kuangalia Kama sylabus (inayoendana na huo mtihani) imekuwa appropriately covered kwa shule zote zinazotakiwa kufanya mtihani husika?