TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Nilipokuwa naona watu wakiponda na kumsukasuka juu ya ile PhD yake kwamba alikabidhiwa na hakuisomea🎓.
Kwa sasa anajiandaa kwenda kama mnenaji kwenye kongamano la Biashara na Uchumi akiambatana na wasomi wenzake wengine mwishoni mwa mwaka huu kama mmoja wa watakaotoa elimu ya biashara na Uchumi.
đź’ Hii ndiyo Dunia aseee, angalia unavyotembea isije kuwa haupo na wenzako!.
Kwa sasa anajiandaa kwenda kama mnenaji kwenye kongamano la Biashara na Uchumi akiambatana na wasomi wenzake wengine mwishoni mwa mwaka huu kama mmoja wa watakaotoa elimu ya biashara na Uchumi.
đź’ Hii ndiyo Dunia aseee, angalia unavyotembea isije kuwa haupo na wenzako!.