Dr. Kasheku Msukuma kushiriki kwenye Kongamano la Biashara na Uchumi

Dr. Kasheku Msukuma kushiriki kwenye Kongamano la Biashara na Uchumi

Kuelewa = Hali ya mtu kuwa na ufahamu wa jambo.

Ukitaka kupata uhalisia wa biashara inavyokwenda Tanzania ni mara mia umsikilize Kasheku aliyefanikiwa katika biashara na anayendelea kufanya biashara kuliko hawa academicians wetu ambao wengi wao wameonekana kuwa ni "opportunists"...

Mfano tu kwenye hiyo panel ni Prof. Mgaya alituambia chanjo ya COVID haina ubora tusiikimbilie kwa sababu ya msimamo wa aliyemteua, halafu alipoondoka akasema ni salama kwa asilimia 99.9%
Sikatai kuwa Musukuma ana cha maana cha kusema. Ila bado theory ya darasani ina-apply big part sana kwenye business functioning. What makes you successfuly in business are your intrinsic skills and capabilities, your aspiration together with drive, na vitu hivi mtu anaweza kuvipata bila kwenda shule eg kutokana na mazingira aliyokulia. Ila bado kuna umuhimu mkubwa wa kwenda shule ili kupata knowledge na kupanua mawazo zaidi. Unajua watu wengine wanaangalia upande mmoja tu. Fikiria hivi: mtu asiye na shule lakini amefanikiwa pengine angeweza kufanikiwa mara dufu kama angekuwa amesoma.
 
Dah! nahisi kizunguzungu,au wame edit hapo kwenye picha wakamuweka?
Sasa ukikutana na Mbunge wa Kahama mjini na mfanyabiashara Jummane Kishimba si utakufa kabisa. Maana yule jamaa ni zaidi ya Professor.

Kwa mfano fuatilia miradi yake tu pale Dodoma utajua huyu ana akili kubwa mno. Pia ana bustani yake pale Dodoma ya mboga, nyanya n.k alichofanya kasomba udongo unaofaa kustawisha mazao hayo kisha akalima. Maprofesa wenu wa nadharia wanaishia kupima udongo tu na kukuambia haufai kwa nyanya. Sasa kama haufai tufanyeje au nini suluhisho maana ni lazima tulime hapo. Yeye kafuata udongo unaofaa kaweka juu ya usiofaa na uzalishaji ukaendelea.

Sasa hawa watu wapo mbele ya watu wa nadharia na huenda kujifunza kwao kuthibitisha nadharia zao.
 
Sasa ukikutana na Mbunge wa Kahama mjini na mfanyabiashara Jummane Kishimba si utakufa kabisa. Maana yule jamaa ni zaidi ya Professor.

Kwa mfano fuatilia miradi yake tu pale Dodoma utajua huyu ana akili kubwa mno. Pia ana bustani yake pale Dodoma ya mboga, nyanya n.k alichofanya kasomba udongo unaofaa kustawisha mazao hayo kisha akalima. Maprofesa wenu wa nadharia wanaishia kupima udongo tu na kukuambia haufai kwa nyanya. Sasa kama haufai tufanyeje au nini suluhisho maana ni lazima tulime hapo. Yeye kafuata udongo unaofaa kaweka juu ya usiofaa na uzalishaji ukaendelea.

Sasa hawa watu wapo mbele ya watu wa nadharia na huenda kujifunza kwao kuthibitisha nadharia zao.
Kishimba ni zaidi ya musukuma
Ana IQ kubwa sana kwenye maisha ya kawaida anafaa kuwa waziri wa kilimo au biashara
 
Back
Top Bottom