Dr Kigwangala: Sekta ya utalii hatutafikia malengo ya mapato, itabidi tujipange upya virusi vya korona huko China vimetuangusha

Dr Kigwangala: Sekta ya utalii hatutafikia malengo ya mapato, itabidi tujipange upya virusi vya korona huko China vimetuangusha

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Waziri wa mali asili na utalii Dr Kigwangalla amesema wizara yake na wadau wote wa utalii ni lazima wajipange upya kimkakati kwani ugonjwa wa Corona huko China umewafanya washindwe kufikia malengo.

Naye mtendaji mkuu wa Tanapa Dr Kijaxi amesema mapato ya utalii yameshuka baada ya watalii kupungua kutokana na madhira hayo ya Uchina.

Mwenyekiti wa bodi ya Tanapa Jenerali mstaafu Waitara amewataka wadau wasikate tamaa bali wajikite zaidi kwenye masoko mengine pia kama ya Ulaya na Marekani.

Source ITV!
 
Katika hilo Kigwa ameidhihirisha PhD yake na inaonesha dogo bado sana
Yaani virus vya Corona vya China viathiri soko zima la utalii la Tanzania?
Ingeweza kuathirika lakini sio kwa kiwango cha kutolewa ufafanuzi na Waziri
Huyo Jenerali ametoa way foward kwan watalii ni lazima wafike kutoka Uchina pekee???
 
Back
Top Bottom