Dr. Kigwangala : VX V8 iliyomgonga swala mdori ijisalimishe

Dr. Kigwangala : VX V8 iliyomgonga swala mdori ijisalimishe

Mbona yeye aligonga pundamilia akapinduka hakuchuliwa hatua? Hahahhaa, kigwangala tuliza wenge ngosha mwichane!

Kujifanya uko serious Ni unafiki!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hamis Mapikipiki usituchoshe,hiyo V8 haina namba?

Unakumbuka hapo Mdori na wewe ulinusulika kifo kwa akili ya sipidi ya gari yako,ilisababisha kukitokeza kwa wanyama ,mkawagonga na gali yako kupoteza mwelekeo na kupinduka?
Wewe ulijisalimisha wapi baada ya kutoka Hospital?
 
...yeye si aligonga twiga pia sababu ya speed akiwa na dem akitokea ulevini. Alijisalimisha ??

QUOTE="Gamaha, post: 37114066, member: 11349"]
Huyu kwa sasa sio Waziri, labda kwa sababu kipindi hiki hatufuati katiba..
[/QUOTE]
 
Kasome mkuu bado mda unao
BAADA YA BUNGE KUVUNJWA, MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI HUENDELEA NA MAJUKUMU YAO?

Kujibu hili Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeeleza kama ifuatavyo katika ibara ya 57 ibara ndogo ya pili kifungu (b) kwamba:

(b) ikiwa mwenye madaraka hayo (ya Uwaziri au Unaibu Waziri) atakoma kuwa Mbunge kwa sababu yoyote isiyohusika na kuvunjwa kwa Bunge;

Hivyo basi kwa mujibu wa Katiba Mawaziri na Manaibu Waziri wataendelea kuwa katika viti vyao licha ya kuvunjwa kwa Bunge na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania isipokuwa kama kuna sababu nyingine tofauti na sababu ya kuvunjwa kwa Bunge.

Wataendelea kushika nafasi hizi mpaka pale Rais Mteule atakapopatikana kufuatia uchaguzi mkuu, hili limeainishwa katika Ibara hiyo ya 57 ibara ndogo ya pili kufungu (f):

(f) ukiwadia wakati wa Rais mteule kushika madaraka ya Rais basi mara tu

hayo; Swali ni je kwa nini Mawaziri na kabla Rais mteule hajashika madaraka Manaibu Waziri waendelee kuwepo kwenye viti vyao ikiwa nao ni wabunge kama wabunge wengine

Jibu ni kwamba, Mawaziri ambao kimsingi ni sehemu Mawaziri kwa nafasi wa Rais katika mas ya kiungozi.Tukumb husaidiwa na manabu wana umuhimu kuend wawasaidie mawaziri h

Ibara ya 54.-(3) ya K ya Muungano wa Tan kama ifuatavyo:

Bila ya kuathiri ma katika ibara ya 37(1) Baraza la Mawaziri l chombo kikuu cha juu ya mambo yote y utekelezaji wa madar mujibu wa masharti y litamsaidia na kums ya jambo lolote lit kwenye Baraza hilo k maagizo maalum au m yatakayotolewa na Rais

Ifahamike pia kuwa kufuata ushauri at mtu yeyote isipokuw inapomtaka kufanya ilivyofafanua ibara ya imegusiwa ndani ya ib ndogo ya tatu.

37.-(1) Mbali na kuz yaliyomo katika Katiba Jamhuri ya Muungano wa kazi na shughuli zak huru na hatalazimika atakaopewa na mtu ye tu pale anapotakiwa na sheria nyingine yoyote lolote kulingana na us na mtu au mamlaka yo

Labda tujiulize, ita labda Rais akatengua u au Naibu Waziri au w katika kipindi ambach limeshavunjwa na w majimboni kutafuta kur

Hili limefafanuliw ya 55.-(5) ya Katiba Muungano wa Tan inasomeka kama ifuata

“Bila ya kujali ma ndogo ya (1) ikitokea anahitajiwa kumteua Waziri baada ya Bunge aweza kumteua mtu alikiwa Mbunge ka kuvunjwa.”

Hivyo basi, mawa waziri wataendelea k vyao licha ya Bunge kuzingatia umuhimu kama washauri wa Ra la Mawaziri ambalo Rais akisaidiwa na Mak Waziri Mkuu. Rejea ib Katiba ambayo inasom

54.-(1) Kutakuwa Mawaziri ambalo w watakuwa ni Makamu Mkuu, Rais wa Zanzib wote.
 
Kawaida Bunge likishavunjwa mawaziri hawako. Na Wizara inabaki chini ya Karibu Mkuu. Mbona haitekelezwi hii?
 
Huyu kwa sasa sio Waziri, labda kwa sababu kipindi hiki hatufuati katiba..
Ukomo wa uwaziri wake unakoma pale tu raisi mpya atakapochaguliwa au wa zamani kuchaguliwa tena kwa mujibu wa katiba.

BAADA YA BUNGE KUVUNJWA, MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI HUENDELEA NA MAJUKUMU YAO?

Kujibu hili Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeeleza kama ifuatavyo katika ibara ya 57 ibara ndogo ya pili kifungu (b) kwamba:

(b) ikiwa mwenye madaraka hayo (ya Uwaziri au Unaibu Waziri) atakoma kuwa Mbunge kwa sababu yoyote isiyohusika na kuvunjwa kwa Bunge;

Hivyo basi kwa mujibu wa Katiba Mawaziri na Manaibu Waziri wataendelea kuwa katika viti vyao licha ya kuvunjwa kwa Bunge na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania isipokuwa kama kuna sababu nyingine tofauti na sababu ya kuvunjwa kwa Bunge.

Wataendelea kushika nafasi hizi mpaka pale Rais Mteule atakapopatikana kufuatia uchaguzi mkuu, hili limeainishwa katika Ibara hiyo ya 57 ibara ndogo ya pili kufungu (f):

(f) ukiwadia wakati wa Rais mteule kushika madaraka ya Rais basi mara tu

hayo; Swali ni je kwa nini Mawaziri na kabla Rais mteule hajashika madaraka Manaibu Waziri waendelee kuwepo kwenye viti vyao ikiwa nao ni wabunge kama wabunge wengine

Jibu ni kwamba, Mawaziri ambao kimsingi ni sehemu Mawaziri kwa nafasi wa Rais katika mas ya kiungozi.Tukumb husaidiwa na manabu wana umuhimu kuend wawasaidie mawaziri h

Ibara ya 54.-(3) ya K ya Muungano wa Tan kama ifuatavyo:

Bila ya kuathiri ma katika ibara ya 37(1) Baraza la Mawaziri l chombo kikuu cha juu ya mambo yote y utekelezaji wa madar mujibu wa masharti y litamsaidia na kums ya jambo lolote lit kwenye Baraza hilo k maagizo maalum au m yatakayotolewa na Rais

Ifahamike pia kuwa kufuata ushauri at mtu yeyote isipokuw inapomtaka kufanya ilivyofafanua ibara ya imegusiwa ndani ya ib ndogo ya tatu.

37.-(1) Mbali na kuz yaliyomo katika Katiba Jamhuri ya Muungano wa kazi na shughuli zak huru na hatalazimika atakaopewa na mtu ye tu pale anapotakiwa na sheria nyingine yoyote lolote kulingana na us na mtu au mamlaka yo

Labda tujiulize, ita labda Rais akatengua u au Naibu Waziri au w katika kipindi ambach limeshavunjwa na w majimboni kutafuta kur

Hili limefafanuliw ya 55.-(5) ya Katiba Muungano wa Tan inasomeka kama ifuata

“Bila ya kujali ma ndogo ya (1) ikitokea anahitajiwa kumteua Waziri baada ya Bunge aweza kumteua mtu alikiwa Mbunge ka kuvunjwa.”

Hivyo basi, mawa waziri wataendelea k vyao licha ya Bunge kuzingatia umuhimu kama washauri wa Ra la Mawaziri ambalo Rais akisaidiwa na Mak Waziri Mkuu. Rejea ib Katiba ambayo inasom

54.-(1) Kutakuwa Mawaziri ambalo w watakuwa ni Makamu Mkuu, Rais wa Zanzib wote.
 
Kawaida Bunge likishavunjwa mawaziri hawako. Na Wizara inabaki chini ya Karibu Mkuu. Mbona haitekelezwi hii?
Siyo kweli.

BAADA YA BUNGE KUVUNJWA, MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI HUENDELEA NA MAJUKUMU YAO?

Kujibu hili Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeeleza kama ifuatavyo katika ibara ya 57 ibara ndogo ya pili kifungu (b) kwamba:

(b) ikiwa mwenye madaraka hayo (ya Uwaziri au Unaibu Waziri) atakoma kuwa Mbunge kwa sababu yoyote isiyohusika na kuvunjwa kwa Bunge;

Hivyo basi kwa mujibu wa Katiba Mawaziri na Manaibu Waziri wataendelea kuwa katika viti vyao licha ya kuvunjwa kwa Bunge na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania isipokuwa kama kuna sababu nyingine tofauti na sababu ya kuvunjwa kwa Bunge.

Wataendelea kushika nafasi hizi mpaka pale Rais Mteule atakapopatikana kufuatia uchaguzi mkuu, hili limeainishwa katika Ibara hiyo ya 57 ibara ndogo ya pili kufungu (f):

(f) ukiwadia wakati wa Rais mteule kushika madaraka ya Rais basi mara tu

hayo; Swali ni je kwa nini Mawaziri na kabla Rais mteule hajashika madaraka Manaibu Waziri waendelee kuwepo kwenye viti vyao ikiwa nao ni wabunge kama wabunge wengine

Jibu ni kwamba, Mawaziri ambao kimsingi ni sehemu Mawaziri kwa nafasi wa Rais katika mas ya kiungozi.Tukumb husaidiwa na manabu wana umuhimu kuend wawasaidie mawaziri h

Ibara ya 54.-(3) ya K ya Muungano wa Tan kama ifuatavyo:

Bila ya kuathiri ma katika ibara ya 37(1) Baraza la Mawaziri l chombo kikuu cha juu ya mambo yote y utekelezaji wa madar mujibu wa masharti y litamsaidia na kums ya jambo lolote lit kwenye Baraza hilo k maagizo maalum au m yatakayotolewa na Rais

Ifahamike pia kuwa kufuata ushauri at mtu yeyote isipokuw inapomtaka kufanya ilivyofafanua ibara ya imegusiwa ndani ya ib ndogo ya tatu.

37.-(1) Mbali na kuz yaliyomo katika Katiba Jamhuri ya Muungano wa kazi na shughuli zak huru na hatalazimika atakaopewa na mtu ye tu pale anapotakiwa na sheria nyingine yoyote lolote kulingana na us na mtu au mamlaka yo

Labda tujiulize, ita labda Rais akatengua u au Naibu Waziri au w katika kipindi ambach limeshavunjwa na w majimboni kutafuta kur

Hili limefafanuliw ya 55.-(5) ya Katiba Muungano wa Tan inasomeka kama ifuata

“Bila ya kujali ma ndogo ya (1) ikitokea anahitajiwa kumteua Waziri baada ya Bunge aweza kumteua mtu alikiwa Mbunge ka kuvunjwa.”

Hivyo basi, mawa waziri wataendelea k vyao licha ya Bunge kuzingatia umuhimu kama washauri wa Ra la Mawaziri ambalo Rais akisaidiwa na Mak Waziri Mkuu. Rejea ib Katiba ambayo inasom

54.-(1) Kutakuwa Mawaziri ambalo w watakuwa ni Makamu Mkuu, Rais wa Zanzib wote.
 
Ni jambo jema kulinda na kutunza Wanyama lkn kwa nini hao tu? Kwa nini siyo Mbwa wetu, Paka, Nyoka ambao hata yeye Kigwangala mwenyewe siajabu hajali kama wakiuliwa au kuumizwa?
Uliowataja hawako chini ya wizara ya maliasili but wizara ya mifugo
 
Kigwa anazingua tu
Barabara ya mikumi watu walishalalamika ipite kilosa lakini hilo mpaka leo halifanyiki ni danadana tu.

Na sasa wanaenda kujenga barabara ya kutoka saadani kwenda pangani itakayopita hifadhini kwahiyo haya ya wanyama kugongwa sio yatapungua bali yataongezeka zaidi.
Hii serekali.sikivu haitaki kusikia.
 
Back
Top Bottom