Dr Kigwangalla amponda Mbowe, asema ni Heri angeteua Jina la Makamu Mwenyekiti na kulipeleka Mkutano mkuu badala ya " Kamtu Kamoja Kugombea"

Dr Kigwangalla amponda Mbowe, asema ni Heri angeteua Jina la Makamu Mwenyekiti na kulipeleka Mkutano mkuu badala ya " Kamtu Kamoja Kugombea"

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Hizo dharau za Dr Kigwangalla huko X dhidi ya Mbowe na Chadema zimenisikitisha

Yaaani kumwita mgombea umakamu Mwenyekiti wa Chadema ni " Kamtu Kamoja"

Hii siyo Sawa

Mlale Unono 🐼
 
Hizo dharau za Dr Kigwangalla huko X dhidi ya Mbowe na Chadema zimenisikitisha

Yaaani kumwita mgombea umakamu Mwenyekiti wa Chadema ni " Kamtu Kamoja"

Hii siyo Sawa

Mlale Unono 🐼
Kigwangalla ana laana ya kumtelekeza Baba yake usichukulie maneno serious.Tayari laana imeanza kumtafuna.
 
Back
Top Bottom