Dr. Kikwete na Katiba


Hivi kweli alishavisoma vitabu hivyo jamaa akiwa shuleni? Mbona walimu wake wanasema alikuwa average student mwenye matanuzi kwa sana tu? Hakuwa na muda huo bana msimwonee bure. Muulize mitaa ya New York atakueleza yote. Manhattan, .....sijui nini vile. labda na Oman. Shule inawasaidia wale wanaopenda kuthubutu application of Theories, sio wanaosoma kupata cheti.
 
kwann unasema hivo? Kwani hakuna watanzania tunao ihitaji katiba pendekezwa?

The point is, a great portion of the society is not happy with the writings and vise versa. We need to strike the balance. Maridhiano!
 
nyie inawauma sana kuona katiba hii inayopendekezwa kwamba inaelekea kushinda, jamani tanzania ni yetu sote kuweni wazalendo acheni maneno maneno tena kumtajataja rais kikwete. Kuweni wazelndo kwa nchi yenu.

Suala hapa siyo katiba kupita, ni zaidi ya hapo. Ni suala la kuimarisha umoja na mshikamano wa taifa. Utapata faida gani katiba ikipita huku ikiacha mgawanyiko katika taifa??? Grow up kid! Uzalendo siyo kulazimisha katiba inayowagawa watanzania bali ni kuchukuwa hatua zozote zinazofaa ili kulinda umoja wa taifa.

Rais ni wetu sote hivyo kumtaja sio kosa wala dhambi, muhimu ni kutokumvunjia heshima. Kwenye mambo muhimu usiendekeze ushabiki.
 

wewe ndo kid usiyejua kuweka hoja zenye akili, sasa nani kakwambia uzalendo ni kuipinga hiyo katiba? We wa wapi wewe? Namashaka na uraia wako.

Hata kama rais wetu sote sasa iweje unamtaja kwa madharau as if ni mjomba ako? We vp wewe? Khaaaaa aibuuu!!
 
Umejiunga jamii forum leo ni siku ya tano , kwa minajiri kutetea maafa mnayotaka kuyaleta. Laana ya m/mungu iwaangukie ninyi na vizazi vyenu
nyie inawauma sana kuona katiba hii inayopendekezwa kwamba inaelekea kushinda, jamani tanzania ni yetu sote kuweni wazalendo acheni maneno maneno tena kumtajataja rais kikwete. Kuweni wazelndo kwa nchi yenu.
 
Eti anataka akumbukwe kwa kuandika katiba mpya. Hamna lolote.Atakumbukwa tu kwa Richmund, Epa, Meremeta, Escrow na ile ya Wachina walivyouziwa Mtwara kumuokoa kijana wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…