GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 309
Mkurugenzi mkuu wa CRDB Bank Dr. Charles Kimei , ameorodheshwa tena kwenye tuzo ya African Banker of the year award kwa mwaka 2014.
Tuzo hii hutolewa na Benki ya Africa (ADB) kwa viongozi wa mabenki Afrika ambao wameonyesha weledi wa uongozi na utendaji mzuri wa taasisi zao na sekta nzima ya fedha.
Dr. Kimei anakuwa Mtanzania wa kwanza kuwania tuzo hiyo kwa miaka miwili mfululizo (2013 & 2014). Mshindi wa tuzo hii atatangazwa mjini kingali -Rwanda mnamo tarehe 21 Mei 2014.
My take : Tunakutakia mafanikio mema Dr. Kimei kwenye tuzo hizo, na hii yaonyesha watanzania tuna viongozi ambao wanaweza na uwezo mkubwa wa kuongoza.
Source : The Guradian news paper 29.04.2014 (Business and Foreign).
Tuzo hii hutolewa na Benki ya Africa (ADB) kwa viongozi wa mabenki Afrika ambao wameonyesha weledi wa uongozi na utendaji mzuri wa taasisi zao na sekta nzima ya fedha.
Dr. Kimei anakuwa Mtanzania wa kwanza kuwania tuzo hiyo kwa miaka miwili mfululizo (2013 & 2014). Mshindi wa tuzo hii atatangazwa mjini kingali -Rwanda mnamo tarehe 21 Mei 2014.
My take : Tunakutakia mafanikio mema Dr. Kimei kwenye tuzo hizo, na hii yaonyesha watanzania tuna viongozi ambao wanaweza na uwezo mkubwa wa kuongoza.
Source : The Guradian news paper 29.04.2014 (Business and Foreign).