Dr Kimei Vs Nsekela: CRDB

Azania ni Benk nzuri sema wakubwa hawajaamua
 
Kimei ni mtu na nusu. Huyu wa sasa ni kama Vasco kakuta kila.kitu kiko kwenye pipeline jiwe alishaanza kuitekeleza yeye anamalizia.

Sidhani kama kimei alimpendekeza Ustaadh ila ustaadh alipendekezwa na jiwe sababu ambazi jiwe anazijua. Jiwe alikuwa anapenda watu wa system wakamate vitengo ili awe na full control na ukiangalia hama hama ya ya ustaadh mabenki lazima ni mtu wa kitengo huko nyuma.

Sema naona hana uwezo kama wa Phd Charles Kimei mzee wa bata. Tatizo la kimei alishindwa kuwazuia wachaga wasijazane crdb.
 
Jiwe alipenda kuweka watu wa system sehemu nyeti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…