jobe ayoub
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 203
- 100
[h=5]Kitila Mkumbo
[/h]Bado tuna safari ndefu sana ya kuwaelewa CCM. Yaani kuna mtu alitarajia kwamba Sitta angetenda tofauti na wanavyotenda CCM? Yaani kuna watu walijifanya kusahau kwamba Sitta ni member wa cabinet au ndio kusema hawajui jinsi cabinet inavyofanya kazi? Yaani Waziri mwandamizi katika serikali ya CCM ambao imeshaweka msimamo wazi kuhusu katiba hii mlitegemea atende haki? Yaani hamkujui kwamba Sitta angelitumia bunge hili kujisimika na kujijengea uhalali ndani ya CCM? Hamkujua kabisa hili?
Tulipowaambia ni makosa wapinzani kumpa imani kubwa kiasi hicho Sitta mkasema wewe sio mzalendao. Sasa habari ya kutaka kususia bunge inatoka wapi? Kaeni humo humo 'mpaka kieleweke' pengine mkitoka mtakuwa mmeshawajua CCM!
[h=5]Mimi Mwanakijiji
[/h]Ninachowaza: Sijui nimefyatuka tu au nini; nimeamka na kutaka kuona kuwa CCM kwenye Bunge lao la Katiba wanasimamia kanuni zao na maslahi yao... nataka nione wakitumia wingi wao kupitisha Katiba wanayoitaka kwanza kwa sababu wao ni wengi zaidi kwenye Bunge hilo na vile vile wao ndio watawala wa nchi hii wakiwa na wingi mkubwa tu. Wapitishe kanuni na hatimaye rasimu waitakayo wao ili iwe Katiba itakayopendekezwa; watumie wingi wao kuzima hoja za wapinzani.
Ninachotaka kuona ni wapinzani watafanya nini... maana kama walikubali mchakato huku wakijua kabisa kuwa ni mchakato uliotengenezwa na CCM ili kuinufaisha CCM iweje sasa waanze kung'aka; iweje waitake CCM isitumie nafasi hii ya pekee ya kujikita zaidi madarakani? Hivi kweli kuna mtu anafikiria kuna mpinzani atasusa na kujitoa kwenye bunge la Katiba? labda dakika za mwisho.. lakini siyo SASA...
[/h]Bado tuna safari ndefu sana ya kuwaelewa CCM. Yaani kuna mtu alitarajia kwamba Sitta angetenda tofauti na wanavyotenda CCM? Yaani kuna watu walijifanya kusahau kwamba Sitta ni member wa cabinet au ndio kusema hawajui jinsi cabinet inavyofanya kazi? Yaani Waziri mwandamizi katika serikali ya CCM ambao imeshaweka msimamo wazi kuhusu katiba hii mlitegemea atende haki? Yaani hamkujui kwamba Sitta angelitumia bunge hili kujisimika na kujijengea uhalali ndani ya CCM? Hamkujua kabisa hili?
Tulipowaambia ni makosa wapinzani kumpa imani kubwa kiasi hicho Sitta mkasema wewe sio mzalendao. Sasa habari ya kutaka kususia bunge inatoka wapi? Kaeni humo humo 'mpaka kieleweke' pengine mkitoka mtakuwa mmeshawajua CCM!
[h=5]Mimi Mwanakijiji
[/h]Ninachowaza: Sijui nimefyatuka tu au nini; nimeamka na kutaka kuona kuwa CCM kwenye Bunge lao la Katiba wanasimamia kanuni zao na maslahi yao... nataka nione wakitumia wingi wao kupitisha Katiba wanayoitaka kwanza kwa sababu wao ni wengi zaidi kwenye Bunge hilo na vile vile wao ndio watawala wa nchi hii wakiwa na wingi mkubwa tu. Wapitishe kanuni na hatimaye rasimu waitakayo wao ili iwe Katiba itakayopendekezwa; watumie wingi wao kuzima hoja za wapinzani.
Ninachotaka kuona ni wapinzani watafanya nini... maana kama walikubali mchakato huku wakijua kabisa kuwa ni mchakato uliotengenezwa na CCM ili kuinufaisha CCM iweje sasa waanze kung'aka; iweje waitake CCM isitumie nafasi hii ya pekee ya kujikita zaidi madarakani? Hivi kweli kuna mtu anafikiria kuna mpinzani atasusa na kujitoa kwenye bunge la Katiba? labda dakika za mwisho.. lakini siyo SASA...