Nyie hadi sasa hamumjui Mwanakijiji? hamkumbuki 2010 kuhusu CCJ aliyokuwa akiipigia debe na kuiponda Chadema?
Mara hii mmeshasahau kweli? Kwamba lengo ni kuvunja nguvu ya CDM? Huyu bado ni shushushu tu wa TISS. Ingawa mara nyingine hujifanya ni mtetezi wa upinzani na hoja zao, lakini wapinzani wakionekana tu kutaka kufunga goli, basi Mwanakijiji bila aibu huwa tayari kuhamisha nguzo ya goli!
Hii ndiyo kazi ya Mwanakijiji siku zote! Ni mnafiki wa kutupa! Pu!
si kweli,si kweli hata kidogo
tukubali kukosolewa wapinzani walikosea hasa baada ya kwenda ikulu mara mbili
wakatukanwa wakajidai wazalendo mara maridhiano mara tz mbele!!!hivi maridhiano unafanya na mtu ambaye hataki maridhiano??????
biblia husema "kama ndg yko akikukosea nenda ukamwone,akikataa chukua wawili au watatu,akikataa achana naye damu yke itakuwa juu yke," hapa ndipo wapinzani walipokesea coz walienda mara ya kwanza hawakusikilizwa wakavumilia tena hawakusikilizwa, hawakuwa na haja ya kuendelea na mchakato tena kwani kosa lingekuwa juu yao ccm!!!!!
lakini wanachokifanya kwa ss ni usanii na kuhadaa wtz wajinga kuwa ni wazalendo zaidi ya ccm kumbe hamna lolote!!
waache kwanza.posho then mengine yafuate unless siwezi kuwaamini tena