Dr. Kitila na Mwanakijiji wawavaa wapinzani na wahafidhina...

Dr. Kitila na Mwanakijiji wawavaa wapinzani na wahafidhina...

Nyie hadi sasa hamumjui Mwanakijiji? hamkumbuki 2010 kuhusu CCJ aliyokuwa akiipigia debe na kuiponda Chadema?

Mara hii mmeshasahau kweli? Kwamba lengo ni kuvunja nguvu ya CDM? Huyu bado ni shushushu tu wa TISS. Ingawa mara nyingine hujifanya ni mtetezi wa upinzani na hoja zao, lakini wapinzani wakionekana tu kutaka kufunga goli, basi Mwanakijiji bila aibu huwa tayari kuhamisha nguzo ya goli!

Hii ndiyo kazi ya Mwanakijiji siku zote! Ni mnafiki wa kutupa! Pu!

si kweli,si kweli hata kidogo
tukubali kukosolewa wapinzani walikosea hasa baada ya kwenda ikulu mara mbili
wakatukanwa wakajidai wazalendo mara maridhiano mara tz mbele!!!hivi maridhiano unafanya na mtu ambaye hataki maridhiano??????
biblia husema "kama ndg yko akikukosea nenda ukamwone,akikataa chukua wawili au watatu,akikataa achana naye damu yke itakuwa juu yke," hapa ndipo wapinzani walipokesea coz walienda mara ya kwanza hawakusikilizwa wakavumilia tena hawakusikilizwa, hawakuwa na haja ya kuendelea na mchakato tena kwani kosa lingekuwa juu yao ccm!!!!!
lakini wanachokifanya kwa ss ni usanii na kuhadaa wtz wajinga kuwa ni wazalendo zaidi ya ccm kumbe hamna lolote!!
waache kwanza.posho then mengine yafuate unless siwezi kuwaamini tena
 
I for one sijawashambulia wahafidhina kwani mimi najitambua kama mhafidhina...

Uone wapinzani watafanya nini? Kuna misconception hapa. Wapinzani ni kina nani? Kumbuka hii Katiba ni kwa ajili yangu, wewe, na kila Mtanzania. Unafikiri ikitungwa Katiba mbovu atakayeathirika ni Mbowe, Slaa, Lipumba, na Mbatia peke yao?
 
Uone wapinzani watafanya nini? Kuna misconception hapa. Wapinzani ni kina nani? Kumbuka hii Katiba ni kwa ajili yangu, wewe, na kila Mtanzania. Unafikiri ikitungwa Katiba mbovu atakayeathirika ni Mbowe, Slaa, Lipumba, na Mbatia peke yao?

mimi sioni kosa la mzee mwanakijiji,,ninachikiona ni unafiki tu uliowajaa watz wakidhani kuwa wanaimarisha kumbe wanaharibu
ni lzma tukiri,wapinzani wamebugi kuanzia mwanzo hadi mwisho
mimi nilimfuatilia sana mwanakijiji tangu mchakato ulivyoanza aliwatadharisha sana viongozi wa upinzani kuwa wanaingizwa kingi na ccm lkn hakuna aliyesikia hata mmoja ss kete zinaliwa ndo wanaomba wapange kete upya,haiwezekani wabaki humo na wakijaribu kuandamana ss hivi na nasema wapigwe tu kwa sababu waliambiwa hawakusikia na wapigwe tu kama mtu unapewa ushauri hauzungitii unajifanya mwanamaridhiano halafu ukishindwa ujanja unataka kugoma na wapigwe tu
 
Huko nyuma niliwahi kulisema hili, wakati wapinzani wakimshadidia Sitta apate kiti, yeye binafsi alikuwa akiumiza kichwa ni namna gani atapata kujenda imani Kwa wanaCCM wenzake ambayo kimsingi aliipoteza tayari huko nyuma, vile wakati wapinzani wakishadidia juu ya Sitta kupata kiti, yeye alikuwa katika mapambano makali dhidi ya wapinzani wake katika zile mbio zake(zao) kuelekea magogoni hapo mwakani, lakini ingawa haya yote yalivuliwa ukungu na wasomi na wachambuzi wasiasa kwa kuyaweka wazi kwa falsafa rahisi, wajumbe ambao nao pia ni wasomi wasiosoma walishadidia na kukubali kwa urahis sana ,ingawa ilikuwa ngumu kupinga kwa upande wa pili lakini mapokeo yao kwa Sitta yalikuwa yakivivu sana. Kwa maneno rahisi hapa wapinzani ni sawa walibebeshwa bomu kutoka mwanzo wa safari na kuambiwa walipeleke mwisho na wao warudi, mapema lakini wao wakalibeba na kwenda nalo kwa mwendo wa harusi na kujikuta likiwalipukia njiani...wamejiua wenyewe kwa ujinga je? hawa si wagaratia

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Some of all stupidities.Fools and cowards find it easier to defend the stronger than the weaker
 
Back
Top Bottom