James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Umenikumbusha mbaaali sana kwa hili swali. Siku moja pale Chuo kikuu alikuja ISACK NDODI na kwa vile anajiita Dr aliulizwa the same question ila tofauti ni eleze alisomea chuo gani. Mzee palikuwa hapatoshi [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tuanzie hapa Dr.wa PhD au doctor of medicine....?
Ohooooo!!!Huyo Ni icon ya mwanaume Wa dar!!?
[emoji106]Mwanaume wa ukweli unaanzaje kuchamba/kusuta tena mambo ya kikevhuku umejipaka mkorogo??? Hayo mambo ni ya wanawake....Napata ukakasi kidogo hapo...shabaaaash
[emoji106]Si kila mwenye jinsia ya kiume ni Mwanaume, hili unapaswa ulitambuwe vyema.
Kwa kifupi hakuna mwanaume anayeweza kutumia hayo maneno "Kuchamba"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dar ikuzalie tu, isikulelee Mtoto.
Ngosha huku ni kazi tu.Wanaume wa dar hao, huku kwetu usukumani hatuna hayo mambo ya kuchambana.
Ohooooo!!!Nimemsikia juzi niliishia kuduwaa
hahahahahahahahahahahaha uwiiiView attachment 597824
Dr Kumbuka mwanaume anayechamba kama mwanamke, mwanaume huyu ni
Presenter wa Times Fm, anamaneno kuliko wanawake wa uswahilini, usoni kajipiga kitaulo (Mkorogo).
Michambo yake inafundisha zaidi wanawake na wanaume tabia zao na jamii kwa ujumla. Zaidi pia michambo hiyo hufurahisha sana.
Hufurahisha zaidi pale anapokuwa akiongea maana huweka kionjo cha 'mama' kwakweli ukimsikiliza lazima ufurahi.
Na hii ni baadhi ya michambo yake kwa wanawake wanaoachana na waume zao na kusema wanaume vibamia hasa baada ya kuachana.
Anasema mwanamke anapokua na mwanaume humfurahisha na kumfikisha mwanamke tena mpaka anataja vituo vyote Chalinze, Ruvu mpaka Moro mjini ila akiachwa anaanza kusema 'kibamia'.
Anasema wanaume wanavumilia mengi hawasemi, ila wanawake wa siku hizi wana historia wana hila na tabia mbovu kama 'vijoka kobra' anasema wanaume hukutana na wanawake wengine mabwawa kama Mtera.
Anasema wanawake wengi wakilala wanalala kama wanasoma gazeti, wengine kila siku vifo vya mende.
Kutumikajeyupo na mwenzie ana kithembe naye ni mtu wa maskala kwa kioo sana.
kifupi hawa jamaa ni wazuri mno.sijui kama wanatumika.