Dr Kumbuka: Mwanaume anayechamba kama mwanamke

Sidhani kama ana marinda....ana viashiria vyote vya KISHOGA..100%
 
Wanaume wa dar hao, huku kwetu usukumani hatuna hayo mambo ya kuchambana.
 
hahahahahahahahahahahaha uwiii
 
Mods hebu futeni huu uzi maana haukidhi haja na mategemeo ya msomaji,
Mimi nilivyofungua video ya huu uzi nilitegemea kuona dume "likichamba" kama mwanamke badala yake nimemaliza bando bure kumsikiliza mwanaume mwenye kithembe anaeongea kama mwanamke.
Tena nilikua mvumilivu kweli nikiangalia video hadi mwisho nikitegemea labda atavua mwishoni, kumbe wapi hamna kitu
 
Niliacha kusikiliza radio asbh naweka mp3 safari na muziki...vfm siku hizi utumbo tupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…