Inna Lillah Wa Inna Ilayhi Raji'oun.
Oh! My uncle Dr. Chief Lawrence Mtazama Gama,
(Baba wa Familia, Former Director usalama wa taifa, Former Songea urban MP na former Mwenyekiti wa kamati ya bunge ya ulinzi na usalama).
Ndugu zangu walioko uko Dar (Brother John, Willy & Steven, Noela, Flora, Lawrence, May, Anna, Mussa, Pendo na Untie yangu Siwa), mtaniwakilisha kwenye msiba huu mzito wa Baba yetu my uncle Dr. Chief Lawrence Mtazama Gama.
May Allah give you the strength and patience to get through this.
Haya ndiyo matatizo ukiwa mbali na nyumbani.
__________________________________________