Dr. Lawrence Gama ameaga dunia

Habari zilipatikana sasa hivi zinaleza kwamba mwanasiasa na mtumishi wa zamani serikalini, Dr. Laurence Gama ameaga dunia katika Hospitali ya Agakhan, Dar es Salaam. Mungu aiweke Roho yake mahali pema peponi Ameen.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…