Dr. Leaky Abdallah, Shafih Dauda, Edo kumwembe na Geofrey Leah nani mchambuzi bora wa soka?

Okhondima

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2013
Posts
1,249
Reaction score
1,102
Habari wadau!

Nahitaji mawazo yenu kati ya hawa watu wanne niliowataja hapo, ni nani ambaye anajua kuchambua soka kwa ufasaha zaidi?

Shafih kila siku tunamsikia pamoja na Geofrey Leah, Dr Leaky Abdallah wengi tunamfahamu na hata Edo Kumwembe tunazisoma sana makala zake katika gazeti la Mwanaspoti.

Napata wakati mgumu kutambua. Msaada (kura) zenu wadau!
 
Vipi kuhusu Ezekiel Kamwaga na Maulid Kitenge wadau?
 
Dr Leakey yuko sawa labda na Edo Kumwembe kidogo. Ila shaffih saleh ally Geoffrey Leah hakuna kitu. Ni maripota tu wale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…