Dr Levy: Ali Kiba ni dozi ya kutwa mara tatu

uu vitu vingine vinakuja automatically huwezi kuvipinga....

Huwezi kumzungumzia Messi bila kumtaja Ronaldo.
Huwezi kuizungumzia Simba bila kuiweka Yanga.

Kikubwa Diamond alichomzidi Ali ni kutafuta Kiki peke yake kwa sababu Ali anafanya Muziki na Diamond anafanya biashara kwenye Muziki.
 
Yale yale ya Ray na Kanumba, yule kajiita "the great" huyu akaja na "the greatest" , yule alivyoanza kutoboa kimataifa huyu nae akaamka usingizini nae akaanza mbio za kimataifa, yule amefariki huyu nae akakosa motivation sasa hivi yupo yupo hana cha kimataifa wala kitaifa. Halafu mkumbuke huyu alianza game kabla ya marehemu what a coincidence[emoji23]
 
Mie huwa nasikiliza nyimbo hizi habari za timu ngoja niwachie mzaramo,nifah na hans mtanashati
 
Ukisema Ali amegota na Marlaw utasemaje?!

Huyo mtu unaesema amegota last year kabeba tuzo 16+ za kimataifa sasa sijui umetumia vigezo gani kusema amegota.
naomba uzilist hapa tujue tuna mwanamziki mwingine wakimataifa
 
Is this an eulogy or something similar????????
 
naomba uzilist hapa tujue tuna mwanamziki mwingine wakimataifa
[HASHTAG]#Whatsup[/HASHTAG] Music Award ya Uganda #2
[HASHTAG]#BEFFTA[/HASHTAG] Awards za USA #2
[HASHTAG]#MTV[/HASHTAG] Europe music award #1
[HASHTAG]#Nafca[/HASHTAG] za Nigeria #2
[HASHTAG]#East[/HASHTAG] Africa Music Award #3
[HASHTAG]#Asfa[/HASHTAG] award Uganda #2
[HASHTAG]#Sound[/HASHTAG] City Award Nigeria #1
[HASHTAG]#Best[/HASHTAG] Celebrity Award Uganda #1
[HASHTAG]#WannaMusic[/HASHTAG] award France #1

Hizo hapo mkuu....unakaribishwa kukosoa pia.
 
Kiba ni sawa na mwanafunzi mwenye mwandiko mzuri lakini hana akili darasan so inabaki kusifiwa mwandiko huku mwenye mwandiko mbaya anazidi kupiga mabanda
Na nikweli mm uwa nashindwa kuwaelewa mashabiki wa kiba wanataka diamond afanye nn kwasababu kama umarufu anao pesa anazo maisha mazuri amefanikiwa kwa kila kitu
 
Ningekuona genius kama ungemuelezea Ali Kiba bila kumtaja Diamond
 
aisee haya ndio matatizo ya kudandia ligi za watoto wa mjini
 
Kiba ni sawa na mwanafunzi mwenye mwandiko mzuri lakini hana akili darasan so inabaki kusifiwa mwandiko huku mwenye mwandiko mbaya anazidi kupiga mabanda
Ali hashindani na mtu.

Mashabiki wake ndio wanamshindanisha na Diamond.
Kitu ambacho kipo ni ushindani kati ya Diamond na timu yake wakishindana na Mashabiki wa Ali.

Yeye Ali hana hata habari...anafanya muziki wake kama burudani na sio kama biashara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…