Dr Levy: Ali Kiba ni dozi ya kutwa mara tatu

Ningekuona genius kama ungemuelezea Ali Kiba bila kumtaja Diamond
itu vingine vinakuja automatically.

Huwezi kumkwepa Diamond halipo Ali.
Huwezi kumkwepa Ronaldo alipo Messi.
Huwezi kuikwepa Yanga ilipo Simba.

hii ni kwa mashabiki wa Ali wanaotaka awe kama Diamond.

We ni muelewa...naamini umenielewa.
 
[emoji134] [emoji125] [emoji23] [emoji23]
 
Ali alikuwepo miaka 6 kabla ya ujio wa Diamond....sasa sijui nani anaetumia boost ya mwenzie
Iyo miaka 6 kabla ya diamond aliufikisha wapi mziki wetu,?
Wakati hata kutoa video kulikuwa kunamshinda
 
na sijasema anashindana na mtu ebu soma vzur bandiko langu au uelewa mdogo
 
Iyo miaka 6 kabla ya diamond aliufikisha wapi mziki wetu,?
Wakati hata kutoa video kulikuwa kunamshinda
Ndio hapo mnapojichanganya kutaka Ali awe kama Diamond.

Huyo Ndio Ali na muziki kwake ni burudani kama anavyoburudika kucheza soka kule Jangwani.

Angeweza kufika mpaka ligi kuu kama angetaka ila achezi football kibiashara.
 
Baba levi kitambo sana nipm ndg kuna jambo nikushirikishe
 
ALIKIBA nikama CRISTIANO RONALDO kila siku anapambanishwa na watu mbali mbali but still yuko juu
 
Kweli we ni mzaramo nilikua nasikia tu
 
itu vingine vinakuja automatically.

Huwezi kumkwepa Diamond halipo Ali.
Huwezi kumkwepa Ronaldo alipo Messi.
Huwezi kuikwepa Yanga ilipo Simba.

hii ni kwa mashabiki wa Ali wanaotaka awe kama Diamond.

We ni muelewa...naamini umenielewa.
Wazaramo siwawezi....
 

Diamond alichomzidi Kiba ni ubunifu na akili ya biashara, full stop. Diamond has made himself a multi milion brand. He has worked so hard to spread his music to the rest of Africa. He has opened a record label, he has signed 4 artists. His brand has seen him become a brand ambassador for lucrative brands such as Vodacom. Automatically his woman and his children have also become brands (angalia 40 ya Tiffa na angalia makampuni yaliyo sponsor 40 ya Nillan). All this came through his hard work and creativity. He is becoming wealthier every year. His children and his family have a secured life and future.

Kaeni hapo mkimuongelea Ali Kiba na sauti yake. Yes ana sauti nzuri kushinda Diamond. Haya hiyo sauti inatamfikisha wapi kama hana ubunifu? Hana akili ya biashara...muziki ni talent na bila kufanya biashara utabaki unaimba for nothing. Kuweni na akili na mshaurini Ali vizuri. Mnafikir mki mponda Dai ndio Ali Kiba anafanikiwa? Diamond ameshapita yuko mbali mnoo.
Halafu mlivyo hamna akili mnamuita Dai mpenda kiki. Yes ana penda kiki, maana kiki zinampa fans wengi, zina fanya watu hata kama sio mashabiki wake wamuangalie wamfollow. Vodacom na makampuni makubwa wakiangalia wanamuona Dai anafuatwa na watu zaidi ya milion 2 kutoka kila pembe ya Africa. Who is a better person to carry their brand more than Dai?
Ndio maana nasemaga, Dai hajasoma mpaka chuo kikuu but ana akili sana za maisha. Na Mungu ana msimamia.
Kaeni hapo mkiandika mapost ya kumponda Dai na kumpaka Ali mafuta.... hata Dai aache mziki leo, Ali Kiba hamfikii mafanikio yake ng'oo. That's just how Ali Kiba is.
 
moja ya gari yake ni BMW X5
Kuna mtu kapost rolls royce ikiwa na plate number special et "timu ya msimbaz" na gari ipo abroad sio tz... Nkajiongeza kumbe hawa dabliu sii bii wanasafiri nje na plate number
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…