Dr Levy: Ali Kiba ni dozi ya kutwa mara tatu

Dr Levy: Ali Kiba ni dozi ya kutwa mara tatu

Mtoto mzuri aliezaa na yule jamaa mwenye mahelaa akanacha na njaa kwenye mataa yeye akaniacha nalia na mola " Kiba ni motoo
 
tukiacha Unafki na kujitia ujinga na tukiamua kubishana kwa ushahidi kiba anasauti nzur sana yakuimbia.
Ila kiba sio muandishi mzur wa mashahili,kiba katika tunzi zake hana vina kama wenzie.kiba katika tenzi zake hawezi kuandika kitu kipya anaandika vitu tunavyovitarajia au vitu ambavyo tushavizoea na kama akijaribu kuweka kipya huwa anachemsha Mf wimbo wa CHEKECHA sijui ni nani alimpangia yale mashahili.
Tubishe tukatae kiba ni mzur akiandikiwa Mf Abdu kiba alivyomuandikia kiba zile beti mbili za kwenye kidela ni beti zangu nzuri kuwah kuziskia kutoka kwake.

Diamond anajua kuandika nyimbo.
Diamondi anajua kupangilia vina anajua hapa niweke hiki apa nisiweke hiki,Diamond anajibeba kwa vitu vingi sana na si kweli anabebwa na media No.ukiskiza nyimbo nyingi za diamond kila nyimbo inakuwa na kitu tofauti.


UKIONA CLOUDS WAMEANGAIKA KUMSHUSHA MSANII MPKA NA WAO WAKANYOOSHA MIKONO JUA HUYO MSANII SIO WA MCHEZO HATA THERUSI.
 
Mtoto mzuri aliezaa na yule jamaa mwenye mahelaa akanacha na njaa kwenye mataa yeye akaniacha nalia na mola " Kiba ni motoo

Zaidi ya motoooooo!
Kiba hana wa kufananishwa nae Tanzania nzima na Afrika Mashariki kiujumla.
 
Asa kama anafanya mziki burudani mbona unamfananisha na anafanya mziki biashara au sizitaki mbivu izi......mnalilia adi tunzo..!!

Wanavodai anafanya mziki for fun so nashangaa Sijui kinawauma nn domo anapofanya music as business
we Zari mbona uelewi.

Ali ashindani na mtu bali mashabiki wake ndio wanamshindanisha na watu wengine.

Ali alikuwa kishaamua kupuumzika kwenye Muziki....mashabiki wake ndio waliomlazimisha arudi.

alafu ile video yenu mbona aina Viewers za kutosha?!Au kule Vevo hakuna kununua?!
 
Sasa akili hapo in ipi ukiwa na kipaji tumia kikulipe co unasema unakipaji uku unakufaa njaa shituka brother we umeanza mziki mikaa sits b4 yy lakn anakizid akili za kutafta pesaa da wabongo bhana nyie mjazen maneno ivo ivo lkn show za diamond mnaenda za kina hamuendi huo ndo ushabiki ufala shabiki unatakiwa kuwa assert not liability nyambafuuuuu
Kwa hiyo Ali anakufa njaa?!
 
tukiacha Unafki na kujitia ujinga na tukiamua kubishana kwa ushahidi kiba anasauti nzur sana yakuimbia.
Ila kiba sio muandishi mzur wa mashahili,kiba katika tunzi zake hana vina kama wenzie.kiba katika tenzi zake hawezi kuandika kitu kipya anaandika vitu tunavyovitarajia au vitu ambavyo tushavizoea na kama akijaribu kuweka kipya huwa anachemsha Mf wimbo wa CHEKECHA sijui ni nani alimpangia yale mashahili.
Tubishe tukatae kiba ni mzur akiandikiwa Mf Abdu kiba alivyomuandikia kiba zile beti mbili za kwenye kidela ni beti zangu nzuri kuwah kuziskia kutoka kwake.

Diamond anajua kuandika nyimbo.
Diamondi anajua kupangilia vina anajua hapa niweke hiki apa nisiweke hiki,Diamond anajibeba kwa vitu vingi sana na si kweli anabebwa na media No.ukiskiza nyimbo nyingi za diamond kila nyimbo inakuwa na kitu tofauti.


UKIONA CLOUDS WAMEANGAIKA KUMSHUSHA MSANII MPKA NA WAO WAKANYOOSHA MIKONO JUA HUYO MSANII SIO WA MCHEZO HATA THERUSI.
Umemaliza kila kitu
 
Yataandikwa mengi lakini hawezi kuitwa AFCON!...2017 ndio mwisho wa kiba kutumia nyota ya diamond
Ahaaa Ahaaa mwaka 2018 utarudi hapa kusema tena hivi hivi.

Ali ndio kiboko ya Fella na Tale....kama angekuwa msanii mwingine mwepesi washamshusha siku nyingi tu.
 
tukiacha Unafki na kujitia ujinga na tukiamua kubishana kwa ushahidi kiba anasauti nzur sana yakuimbia.
Ila kiba sio muandishi mzur wa mashahili,kiba katika tunzi zake hana vina kama wenzie.kiba katika tenzi zake hawezi kuandika kitu kipya anaandika vitu tunavyovitarajia au vitu ambavyo tushavizoea na kama akijaribu kuweka kipya huwa anachemsha Mf wimbo wa CHEKECHA sijui ni nani alimpangia yale mashahili.
Tubishe tukatae kiba ni mzur akiandikiwa Mf Abdu kiba alivyomuandikia kiba zile beti mbili za kwenye kidela ni beti zangu nzuri kuwah kuziskia kutoka kwake.

Diamond anajua kuandika nyimbo.
Diamondi anajua kupangilia vina anajua hapa niweke hiki apa nisiweke hiki,Diamond anajibeba kwa vitu vingi sana na si kweli anabebwa na media No.ukiskiza nyimbo nyingi za diamond kila nyimbo inakuwa na kitu tofauti.


UKIONA CLOUDS WAMEANGAIKA KUMSHUSHA MSANII MPKA NA WAO WAKANYOOSHA MIKONO JUA HUYO MSANII SIO WA MCHEZO HATA THERUSI.
Clouds was hushed Dimond?!

Mkuu hujui kuwa Ruge ni mmoja Kati ya mameneja wa Diamond?!
 
Kutoka kwa Dr levy amendika hiv

ALI KIBA NI DOZI YA KUTWA MARA TATU...
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Ukimfunika kukata mauno atakushinda kutunga. Ukimfunika umaarufu atakutesa kwa sauti. Ukimsumbua kuhonga media yeye atakuumiza kwa kutojisumbua na hizo media.
Ni kama kumpenda mwanamke ambaye hajui kama unampenda. Na mbaya zaidi hata hisia juu yako hana. Utaumia sana.
Ndo Kiba. Hata mashabiki wake wanampenda kuliko yeye anavyowapenda. Anachofanya ni kuwapa kile alichopewa na Mungu. Sauti. Watu wanadata naye.
Wakati watu wengi sana wakimsifia kwa sauti ambayo anayo yeye tu ktk dunia hii. Kuna kitu wanakisahau. Ana tofauti sana katika tungo zake. Sikiliza Mapenzi yana Run Dunia.
Anamuimbia mapenzi mwanaume mwenzake. Ngumu sana mwenye akili ya kisoda kuelewa ule wimbo.
Mchizi anamuimbia mchizi wake ngoma la mapenzi afu lina bamba mbaya. Hata R Kelly na wenzake akili hii waliikosa.
Dem kaenda kwa Kiba kumshitakia ujinga wa bwanaake. Of coz watoto wa kike wanapenda faraja. Kiba akampa faraja.
Mchizi kugundua kaamua kumtosa mtoto. Mtoto kaamua kutangulia mbele ya haki. Alimpenda mchizi wake ila Kiba alimpa faraja tu baada ya ushauri. Hata mimi ningemfariji kwa namna hiyo mtoto mzuri.
Kasikilize hilo ngoma ukiwa na akili timamu usichanganye na mawazo ya hali ya Wema Sepetu kwa sasa. Hutaelewa alichoandika Kiba.
Kiba siyo wa nchi hii. Kinachofanywa na computer yeye anakitoa kwenye koromeo lake.
Kuna sauti kutoka kooni kwake ni ya pekee kuliko upekee wenyewe. Hawezi kusema ila Diamond na wenzake hicho kitu kinawaumiza sana.
Kiba hajui kujitangaza. Ndo maana hata gari anayotumia haijulikani. Kiba hajui kiki. Ndo maana huwezi kumsikia akiongelea issue zake na madem zake. Hajui kujiongeza ndo maana husikii ana nyumba au shilingi ngapi kwenye account. Na ni ngumu kumkuta news room za udaku. Vyote hivyo hana lakini bado anawaumiza kichwa kundi kubwa la watu. Katikati ya magwiji wa hizi kazi. Fella, Tale na wenzao. Sallam muweke kando hajui fitna za game hili.
Pamoja na lundo la hao watu Kiba bado anasimama nao katika mstari mmoja. Ogopa sana. Heshimu. Hana anachowaweza zaidi ya lile koo lake na akili ya kuandika kinachotakiwa kuandikwa.
Hapa siyo suala la team flan. Ukweli uko wazi kuwa kuna upinzani wa wazi na wa siri kati ya Kiba peke yake na Diamond na watu wake. Huwezi kusikia management ya Kiba ikimuongelea Diamond. Ila ni rahisi zaidi kusikia management ya Diamond ikiongea jambo la Kiba. Ndo ukweli.
Watu wanaomzunguka Diamond huwezi kushindana nao hata kwa nusu saa. Game la muziki liko vyumbani mwao. Linawatii kuliko askari wa Dar mbele ya Makonda. Lakini Kiba kaendelea kuwepo kwenye kilele bila kutumia nguvu. Alichonacho Kiba kwenye koo angekuwa nacho Diamond dunia ingesimama. Ni kama Ronaldo angekuwa na kile alichonacho Messi katika miguu yake.
Mashabiki wanatumia nguvu nyingi sana kupambana na Diamond mitandaoni, wakati Kiba anawauliza wadogo zake vilipo viatu vyake vya michezo akacheze bondeni pale Jangwani. Diamond anajituma sana na muziki wake. Kiba anatufanya tuamini kuwa muziki ni burudani na ufanywe kiburudani.
Wakati soko la muziki likilazimishwa liwe na muziki unaochezeka. Kiba alikuja na ngoma kama Mac Muga ambao hauchezeki na siyo wa mapenzi. ukakamata vibaya sana. Kasikilize Karim. Utagundua kuwa Kiba ni zaidi ya biti na promo.

Mwisho wa siku kiba atakula sauti yake na Diamond atakula pesa zake. Kuna tatizo kwani?
 
Kutoka kwa Dr levy amendika hiv

ALI KIBA NI DOZI YA KUTWA MARA TATU...
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Ukimfunika kukata mauno atakushinda kutunga. Ukimfunika umaarufu atakutesa kwa sauti. Ukimsumbua kuhonga media yeye atakuumiza kwa kutojisumbua na hizo media.
Ni kama kumpenda mwanamke ambaye hajui kama unampenda. Na mbaya zaidi hata hisia juu yako hana. Utaumia sana.
Ndo Kiba. Hata mashabiki wake wanampenda kuliko yeye anavyowapenda. Anachofanya ni kuwapa kile alichopewa na Mungu. Sauti. Watu wanadata naye.
Wakati watu wengi sana wakimsifia kwa sauti ambayo anayo yeye tu ktk dunia hii. Kuna kitu wanakisahau. Ana tofauti sana katika tungo zake. Sikiliza Mapenzi yana Run Dunia.
Anamuimbia mapenzi mwanaume mwenzake. Ngumu sana mwenye akili ya kisoda kuelewa ule wimbo.
Mchizi anamuimbia mchizi wake ngoma la mapenzi afu lina bamba mbaya. Hata R Kelly na wenzake akili hii waliikosa.
Dem kaenda kwa Kiba kumshitakia ujinga wa bwanaake. Of coz watoto wa kike wanapenda faraja. Kiba akampa faraja.
Mchizi kugundua kaamua kumtosa mtoto. Mtoto kaamua kutangulia mbele ya haki. Alimpenda mchizi wake ila Kiba alimpa faraja tu baada ya ushauri. Hata mimi ningemfariji kwa namna hiyo mtoto mzuri.
Kasikilize hilo ngoma ukiwa na akili timamu usichanganye na mawazo ya hali ya Wema Sepetu kwa sasa. Hutaelewa alichoandika Kiba.
Kiba siyo wa nchi hii. Kinachofanywa na computer yeye anakitoa kwenye koromeo lake.
Kuna sauti kutoka kooni kwake ni ya pekee kuliko upekee wenyewe. Hawezi kusema ila Diamond na wenzake hicho kitu kinawaumiza sana.
Kiba hajui kujitangaza. Ndo maana hata gari anayotumia haijulikani. Kiba hajui kiki. Ndo maana huwezi kumsikia akiongelea issue zake na madem zake. Hajui kujiongeza ndo maana husikii ana nyumba au shilingi ngapi kwenye account. Na ni ngumu kumkuta news room za udaku. Vyote hivyo hana lakini bado anawaumiza kichwa kundi kubwa la watu. Katikati ya magwiji wa hizi kazi. Fella, Tale na wenzao. Sallam muweke kando hajui fitna za game hili.
Pamoja na lundo la hao watu Kiba bado anasimama nao katika mstari mmoja. Ogopa sana. Heshimu. Hana anachowaweza zaidi ya lile koo lake na akili ya kuandika kinachotakiwa kuandikwa.
Hapa siyo suala la team flan. Ukweli uko wazi kuwa kuna upinzani wa wazi na wa siri kati ya Kiba peke yake na Diamond na watu wake. Huwezi kusikia management ya Kiba ikimuongelea Diamond. Ila ni rahisi zaidi kusikia management ya Diamond ikiongea jambo la Kiba. Ndo ukweli.
Watu wanaomzunguka Diamond huwezi kushindana nao hata kwa nusu saa. Game la muziki liko vyumbani mwao. Linawatii kuliko askari wa Dar mbele ya Makonda. Lakini Kiba kaendelea kuwepo kwenye kilele bila kutumia nguvu. Alichonacho Kiba kwenye koo angekuwa nacho Diamond dunia ingesimama. Ni kama Ronaldo angekuwa na kile alichonacho Messi katika miguu yake.
Mashabiki wanatumia nguvu nyingi sana kupambana na Diamond mitandaoni, wakati Kiba anawauliza wadogo zake vilipo viatu vyake vya michezo akacheze bondeni pale Jangwani. Diamond anajituma sana na muziki wake. Kiba anatufanya tuamini kuwa muziki ni burudani na ufanywe kiburudani.
Wakati soko la muziki likilazimishwa liwe na muziki unaochezeka. Kiba alikuja na ngoma kama Mac Muga ambao hauchezeki na siyo wa mapenzi. ukakamata vibaya sana. Kasikilize Karim. Utagundua kuwa Kiba ni zaidi ya biti na promo.
Kuwa makini usije mponza mwenzio tuko kwenye vita kwa sasa!
 
Ahaaa Ahaaa mwaka 2018 utarudi hapa kusema tena hivi hivi.

Ali ndio kiboko ya Fella na Tale....kama angekuwa msanii mwingine mwepesi washamshusha siku nyingi tu.
Bahati nzuri vitu vya jf havifutiki,hiyo 2018 isijekuwa ukahamia team hamorapa tu
 
Back
Top Bottom