Kama nilivyotangulia kusema hapo juu, ni katika maadhimisho ya siku ya wanawake ambayo katika mkoa wa dodoma yamefanyika kwny ukumbi wa Mwl NYERERE(chuo cha mipango), Dr LWAITAMA amesisitiza muundo wa serikali 3 wakati akijibu swali kutoka kwa mwanafunzi wa UDOM aliyetaka kujua "ufafanuzi juu ya serikali 3 na madhara yatakayotokea endapo bunge litakubali au kukataa muundo huo uliopendekezwa na TUME ya jiji WARIOBA, amekunusha usemi wa wanaodai serikali tatu ni gharama na akatoa mfano: sasa tuko kwny serikali 2 lkn tuna mawaziri zaid ya 30 na ukjumlisha na naibu mawaziri ni takribani mawaziri 56 na wabunge 357, wakati tukiwa na serikali 3 mawaziri hawatazidi 15 na wabunge 75 tu, sasa ebu linganisha gharama ya kulipa wabunge 357 na mawaziri 56(serikali 2) vs gharama ya kulipa wabunge 75 na waziri 15(serikali 3), hayo ni maneno ya Dr lwaitama, amezungumza mengi kama, migogoro ya muungano, kufichwa kwa TANGANYIKA, lakini kwa ujumla amesema serikali 2 ng'o twende serikali 3..!