Dr LWAITAMA asisitiza muundo wa serikali 3...!

Dr LWAITAMA asisitiza muundo wa serikali 3...!

Somo la uraia darasa la sita tulifundishwa kura ni siri.hao wanaweweseka tu.
 
R.I.P Dr. Sengondo Mvungi Tanzanians will miss you forever as far as C.A is concerned.
 
Kama nilivyotangulia kusema hapo juu, ni katika maadhimisho ya siku ya wanawake ambayo katika mkoa wa dodoma yamefanyika kwny ukumbi wa Mwl NYERERE(chuo cha mipango), Dr LWAITAMA amesisitiza muundo wa serikali 3 wakati akijibu swali kutoka kwa mwanafunzi wa UDOM aliyetaka kujua "ufafanuzi juu ya serikali 3 na madhara yatakayotokea endapo bunge litakubali au kukataa muundo huo uliopendekezwa na TUME ya jiji WARIOBA, amekunusha usemi wa wanaodai serikali tatu ni gharama na akatoa mfano: sasa tuko kwny serikali 2 lkn tuna mawaziri zaid ya 30 na ukjumlisha na naibu mawaziri ni takribani mawaziri 56 na wabunge 357, wakati tukiwa na serikali 3 mawaziri hawatazidi 15 na wabunge 75 tu, sasa ebu linganisha gharama ya kulipa wabunge 357 na mawaziri 56(serikali 2) vs gharama ya kulipa wabunge 75 na waziri 15(serikali 3), hayo ni maneno ya Dr lwaitama, amezungumza mengi kama, migogoro ya muungano, kufichwa kwa TANGANYIKA, lakini kwa ujumla amesema serikali 2 ng'o twende serikali 3..!
Akaunde serikali tatu kwao bukoba, hatutakubali serikali tatu, hiyo itakua mwisho wa muungano.
 
Safi sana Dr Lwaitama, swali ni kwamba kwa nini CCm wanang'ang'ania serikali mbili? napata mashaka kama kweli ni wazalendo! Tanganyika nakupenda kwa moyo moja! japo kuwa sikukuta.
 
Akaunde serikali tatu kwao bukoba, hatutakubali serikali tatu, hiyo itakua mwisho wa muungano.

miungano huanzishwa na miungano huvunjika
iko wapi USSR. kapime usikute unaumwa ugonjwa hatari wa ccm.

ugonjwa wa ccm huharibu ubongo kwa kasi ya ajabu, usipopata tiba mapema unaweza ku run mental, chukua hatua.
 
Back
Top Bottom