johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ukweli lazima usemwe,Yericko Nyerere ni tapeli tu.Yeriko Nyerere asipokuwa mwangalifu biashara yake ya majarida itakufa na Chadema
Sasa Msomi nguli anashangaa watu kununua Makaratasi ya Yeriko Nyerere eti ni Vitabu
Ila Wahaya Wana dharau sana duh ππππ
Mlale unono
Yenyewe ni copy and paste. Siwezi nunua trash zake. Never. Uongo sana kwa hzo karatasiYeriko Nyerere asipokuwa mwangalifu biashara yake ya majarida itakufa na Chadema
Sasa Msomi nguli anashangaa watu kununua Makaratasi ya Yeriko Nyerere eti ni Vitabu
Ila Wahaya Wana dharau sana duh ππππ
Mlale unono
Anaandika Vitabu vya mambo ya Ujasusi kama Elvis Musiba enzi za Willy Gamba ππYeriko ana elimu kiwango gani na anaandika juu ya nini au ni Eric Shigongo mpya?
Kumbe unaongelea hii takataka!Anaandika Vitabu vya mambo ya Ujasusi kama Elvis Musiba enzi za Willy Gamba ππ
eti kuna watu wanaamini Lwaitama ni Dr.πYeriko Nyerere asipokuwa mwangalifu biashara yake ya majarida itakufa na Chadema
Sasa Msomi nguli anashangaa watu kununua Makaratasi ya Yeriko Nyerere eti ni Vitabu
Ila Wahaya Wana dharau sana duh ππππ
Mlale unono
Acha kufananisha Elvis Musiba na vitu vya kijinga..Atleast Habib B Hanga kidogo anamfukuzia MusibaAnaandika Vitabu vya mambo ya Ujasusi kama Elvis Musiba enzi za Willy Gamba ππ
Yeriko ana elimu kiwango gani na anaandika juu ya nini au ni Eric Shigongo mpya?
Ni daktari kuliko hata akina Mwigulu na Jafo na Samiaeti kuna watu wanaamini Lwaitama ni Dr.π
Nasikia alicheza mduara wa Bwan'Chuchu...Yeriko ana elimu kiwango gani na anaandika juu ya nini au ni Eric Shigongo mpya?
Anacopy love stories za akina min -me na mshamba_mwingine humu wanavyojibebisha kwa cocastic na Lamomy na pia huchukua ubuyu wa Nifah Humu JF na kuuza huko dunia ya 3Yeriko ana elimu kiwango gani na anaandika juu ya nini au ni Eric Shigongo mpya?
Hahaaaaaa ngoja nimuangalie huyo jamaa ni nani?Ana block watu huko Facebook
Hizo takataka za Yericko Nyerere hazina tofauti na hizi takataka za Lucas Mwashambwa anazojaza humu.Yeriko Nyerere asipokuwa mwangalifu biashara yake ya majarida itakufa na Chadema
Sasa Msomi nguli anashangaa watu kununua Makaratasi ya Yeriko Nyerere eti ni Vitabu
Ila Wahaya Wana dharau sana duh ππππ
Mlale unono
Yaani hii Yericko Nyerere ni mafi kabsaaKumbe unaongelea hii takataka!