Dr Lwaitama: Halafu Kuna Watu wananunua Makaratasi ya Yericko eti ni Vitabu. Kama anadanganya mambo mnayoyajua itakuwaje hayo ya Ukraine msiyoyajua!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Yeriko Nyerere asipokuwa mwangalifu biashara yake ya majarida itakufa na Chadema

Sasa Msomi nguli anashangaa watu kununua Makaratasi ya Yeriko Nyerere eti ni Vitabu

Ila Wahaya Wana dharau sana duh πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mlale unono
 
Yeriko Nyerere asipokuwa mwangalifu biashara yake ya majarida itakufa na Chadema

Sasa Msomi nguli anashangaa watu kununua Makaratasi ya Yeriko Nyerere eti ni Vitabu

Ila Wahaya Wana dharau sana duh πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mlale unono
Ukweli lazima usemwe,Yericko Nyerere ni tapeli tu.
 
Yeriko Nyerere asipokuwa mwangalifu biashara yake ya majarida itakufa na Chadema

Sasa Msomi nguli anashangaa watu kununua Makaratasi ya Yeriko Nyerere eti ni Vitabu

Ila Wahaya Wana dharau sana duh πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mlale unono
Yenyewe ni copy and paste. Siwezi nunua trash zake. Never. Uongo sana kwa hzo karatasi
 
Yeriko Nyerere asipokuwa mwangalifu biashara yake ya majarida itakufa na Chadema

Sasa Msomi nguli anashangaa watu kununua Makaratasi ya Yeriko Nyerere eti ni Vitabu

Ila Wahaya Wana dharau sana duh πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mlale unono
eti kuna watu wanaamini Lwaitama ni Dr.πŸ’
 
Yeriko ana elimu kiwango gani na anaandika juu ya nini au ni Eric Shigongo mpya?


Yericko hana elimu yoyote, hana credentials zozote, hana CV, ni Chawa wa Mbowe aliyekomaa, hadi kawa house boy kabisa..!! Ni kati ya vijana wapuuzi wa Chadema, sasa katikati ya wopuuzi kuna mpuuzi anakuwa kama anajiona anajua sana na mjanja mjanja kuliko wapuuzi wenzake, sasa huyo ndio Yericko.
 
Yeriko Nyerere asipokuwa mwangalifu biashara yake ya majarida itakufa na Chadema

Sasa Msomi nguli anashangaa watu kununua Makaratasi ya Yeriko Nyerere eti ni Vitabu

Ila Wahaya Wana dharau sana duh πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mlale unono
Hizo takataka za Yericko Nyerere hazina tofauti na hizi takataka za Lucas Mwashambwa anazojaza humu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…