Dr Lwaitama: Halafu Kuna Watu wananunua Makaratasi ya Yericko eti ni Vitabu. Kama anadanganya mambo mnayoyajua itakuwaje hayo ya Ukraine msiyoyajua!

Dr Lwaitama: Halafu Kuna Watu wananunua Makaratasi ya Yericko eti ni Vitabu. Kama anadanganya mambo mnayoyajua itakuwaje hayo ya Ukraine msiyoyajua!

Lakini Chadema wenzake hawajawahi kuita vitabu vyake ni makaratasi ambayo mnunuzi anawashangaza wazee wa Chadema, kwa kuchezea hela zake.

Ova
Ni ukweli ambao ulikuwa hausemwi.
 
Elite 97.34% wana msuppor TAL.
Yeriko ni mpuuzi fulani hivi ambae upuuzi wake ameuficha kwa kutumia jina la Nyerere.
 
Yeriko Nyerere asipokuwa mwangalifu biashara yake ya majarida itakufa na Chadema

Sasa Msomi nguli anashangaa watu kununua Makaratasi ya Yeriko Nyerere eti ni Vitabu

Ila Wahaya Wana dharau sana duh 😂😂😂😂

Mlale unono
Huyu yericko siyo muoga kudanganya aisee
 
Yeriko Nyerere asipokuwa mwangalifu biashara yake ya majarida itakufa na Chadema

Sasa Msomi nguli anashangaa watu kununua Makaratasi ya Yeriko Nyerere eti ni Vitabu

Ila Wahaya Wana dharau sana duh 😂😂😂😂

Mlale unono
Endapo anaudanganya umma waziwazi kwenye vitabu vyake kutakuwa na UONGO wa kiasi gani?, void this man immediately
 
Msisahau na hii tuzo ya Zikomo ilibuniwa na mlevi mwenzake wa huko Malawi
1735251042560.jpeg
 
Hahahah Makamada wananichekesha sana, wanajiita Team Lisu sioni tofauti yao na TEAM WEMA.
 
Back
Top Bottom