Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Ni ukweli ambao ulikuwa hausemwi.Lakini Chadema wenzake hawajawahi kuita vitabu vyake ni makaratasi ambayo mnunuzi anawashangaza wazee wa Chadema, kwa kuchezea hela zake.
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ukweli ambao ulikuwa hausemwi.Lakini Chadema wenzake hawajawahi kuita vitabu vyake ni makaratasi ambayo mnunuzi anawashangaza wazee wa Chadema, kwa kuchezea hela zake.
Ova
Kama ni hivi bora Uchaguzi Mkuu wa Chadema uwe kila mwaka ili tujue siri zote za makada na viongozi.Ni ukweli ambao ulikuwa hausemwi.
Lol. Nimechekaaaaa.Kama ni hivi bora uchaguzi mkuu chadema uwe kila mwaka ili tujue siri zao zote.
Ova
Bora hata shigongoYeriko ana elimu kiwango gani na anaandika juu ya nini au ni Eric Shigongo mpya?
Ni mtoto wa nyerere?Ukweli lazima usemwe,Yericko Nyerere ni tapeli tu.
Huyu yericko siyo muoga kudanganya aiseeYeriko Nyerere asipokuwa mwangalifu biashara yake ya majarida itakufa na Chadema
Sasa Msomi nguli anashangaa watu kununua Makaratasi ya Yeriko Nyerere eti ni Vitabu
Ila Wahaya Wana dharau sana duh 😂😂😂😂
Mlale unono
Endapo anaudanganya umma waziwazi kwenye vitabu vyake kutakuwa na UONGO wa kiasi gani?, void this man immediatelyYeriko Nyerere asipokuwa mwangalifu biashara yake ya majarida itakufa na Chadema
Sasa Msomi nguli anashangaa watu kununua Makaratasi ya Yeriko Nyerere eti ni Vitabu
Ila Wahaya Wana dharau sana duh 😂😂😂😂
Mlale unono
Not true at all, Lucas Mwashambwa ni mzalendo ambaye haingilii mifumo ya ccm direct, tofauti na hii ngedere!Hizo takataka za Yericko Nyerere hazina tofauti na hizi takataka za Lucas Mwashambwa anazojaza humu.
Useless!Msisahau na hii tuzo ya Zikomo ilibuniwa na mlevi mwenzake wa huko Malawi
View attachment 3185903
Useless!
😂😂😂😂😂 Yericko ni mbabaishaji.Acha kufananisha Elvis Musiba na vitu vya kijinga..
Leo hii Lwaitama amegeuka kuwa lulu kwa hawa makamanda uchwara😁eti kuna watu wanaamini Lwaitama ni Dr.🐒
Unazungumzia Mwalimu Azaveri Lwaitama "Baba Emma" au mwingine!!??Ni daktari kuliko hata akina Mwigulu na Jafo na Samia
Yeriko mengeleUkweli lazima usemwe,Yericko Nyerere ni tapeli tu.