Elections 2015 Dr Magufuli Alishindwa Jimboni CHATO, Urais Hawezi Kabisa

Elections 2015 Dr Magufuli Alishindwa Jimboni CHATO, Urais Hawezi Kabisa

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,277
Reaction score
8,860
Ni ujinga na wehu kuamini candidate wa CCM John Pombe Magufuli anaweza kushinda uchaguzi mkuu Octoba.
Nasema haya ukizingatia Magufuli huyu huyu jimboni kwake Chato pamoja na kuwa mzaliwa na kuliongoza kwa miaka 20
Bado kwenye uchaguzi wa serekali za mtaa na vitongoji John huyu huyu alipigwa chini vibaya na wapinzani.
So tunavyotumia lugha laini kuwa Magufuli si kitu kwa Ukawa lazima Ccm wakubali waliteleza kumpendekeza.
Yapo mambo yaliyojificha mtu anaweza kuyabishia,Lakini si mambo yapo wazi kama hili na Magufuli kwenda kudodokea pua mbele ya candidate wa UKAWA "Na mfano mdogo tu ndio huo na upo wazi"
 
hivi kwan mwaka 2010 cdm ilisimamisha nan ?
 
Sawa!
Labda wewe utashinda ajabu hujajitokeza kuchukua Fomu!
 
Ni ujinga na wehu kuamini candidate wa Ccm John Pombe Magufuli anaweza kushinda uchaguzi mkuu octoba.
Nasema haya ukizingatia magufuli huyu huyu jimboni kwake Chato pamoja na kuwa mzaliwa na kuliongoza kwa miaka 20
Bado kwenye uchaguzi wa serekali za mtaa na vitongoji John huyu huyu alipigwa chini vibaya na wapinzani.
So tunavyotumia lugha laini kuwa Magufuli si kitu kwa Ukawa lazima Ccm wakubali waliteleza kumpendekeza.
Yapo mambo yaliyojificha mtu anaweza kuyabishia,Lakini si mambo yapo wazi kama hili na Magufuli kwenda kudodokea pua mbele ya candidate wa Ukawa"Na mfano mdogo tu ndio huo na upo wazi"

Kakataliwa Na MAPOPOMA ( You Inclusive ) Wasiozidi Hata 50,000 Wa Huko Kwao Lakini Watanzania Zaidi Ya Milioni 20 Hadi 25 Tutamchagua October 25, 2015.
 
ni ujinga na wehu kuamini candidate wa ccm john pombe magufuli anaweza kushinda uchaguzi mkuu octoba.
Nasema haya ukizingatia magufuli huyu huyu jimboni kwake chato pamoja na kuwa mzaliwa na kuliongoza kwa miaka 20
bado kwenye uchaguzi wa serekali za mtaa na vitongoji john huyu huyu alipigwa chini vibaya na wapinzani.
So tunavyotumia lugha laini kuwa magufuli si kitu kwa ukawa lazima ccm wakubali waliteleza kumpendekeza.
Yapo mambo yaliyojificha mtu anaweza kuyabishia,lakini si mambo yapo wazi kama hili na magufuli kwenda kudodokea pua mbele ya candidate wa ukawa"na mfano mdogo tu ndio huo na upo wazi"

sema:-
nimechoka kuuawa, nimechoka kuibiwa, nimechoka kuteswa na kunyanyaswa ndani ya
nchi yangu, nimechoka kuitwa mpinzani nimechoka kudharauliwa.

Sitaki tena utumwa ndani ya nchi yangu, sasa ni mimi na tanzania hapana ccm
octoba 2015

 
Yaani hii nchi cjui nani kailoga na watu wake
Yaani tumesha sahau
ESCROW
EPA
RICHMOND
KAGODA
BUZWAGI
MEREMETA
TEMBO KUUAWA
TWIGA KUPANDA NDEGE
MISAMAHA YA MADINI
MISWADA YA HOVYO YA GESI NA MAFUTA
KUPANDISHWA HOVYO BEI YA MAFUTA
WATOTO KUKAA CHINI
AKINA MAMA KUZALIA CHINI
MATAJIRI KUTHAMINIWA
UBOVU WA BARABARA
UBOVU WA RELLI
UHABA WA MAJI SAFI NA SALAMA
KUUZWA BENKI YA TAIFA
KUUZWA KWA SHIRIKA LA NDEGE
KUUZWA KWA NYUMBA ZA TAIFA
KIWIRA COAL MINE
UKOSEFU WA DAWA HOSPITALI ZA UMMA
KUSHUKA KWA ELIMU
MIGOMO YA WAALIMU NA MADAKTARI
MIGOMO YA WANAFUNZI
MIGOGORO YA ARDHI KUTOKANA NA SERIKALI
KUWATHAMINI WAWEKEZAJI WA KIGENI
KUHODHI VIWANJA VYA MICHEZO
KUHODHI MAJJENGO YA UMMA
KULINDA WEZI, MAFISADI NA WAHUJUMU UCHUMI
KUUA VIWANDA ALIVYO VIJENGA MWALIMU
NYERERE
KUUA MASHIRIKA YA UMMA
KUONGEZA MATABAKA KWA WANANCHI
KUUA WANAHARAKATI NA WAANDISHI WA HABARI
( MWANGOSI)
KUPITISHA RASIMU ISIO YA MUAFAKA
ILIYO
FEKI
HIvyo basi,
nashangazwa na watu waelewa humu wanaosema
magufuli jembe
Wakati yupo serikalini tangu 1995
Ndani ya ccm
Nani ametuloga ??
Hapa magufuli ni pombe ile ile kwenye chupa
mpya.
Maskini Tz
Au elimu ya uraia tatizo ???
 
Yaani hii nchi cjui nani kailoga na watu wake
Yaani tumesha sahau
ESCROW
EPA
RICHMOND
KAGODA
BUZWAGI
MEREMETA
TEMBO KUUAWA
TWIGA KUPANDA NDEGE
MISAMAHA YA MADINI
MISWADA YA HOVYO YA GESI NA MAFUTA
KUPANDISHWA HOVYO BEI YA MAFUTA
WATOTO KUKAA CHINI
AKINA MAMA KUZALIA CHINI
MATAJIRI KUTHAMINIWA
UBOVU WA BARABARA
UBOVU WA RELLI
UHABA WA MAJI SAFI NA SALAMA
KUUZWA BENKI YA TAIFA
KUUZWA KWA SHIRIKA LA NDEGE
KUUZWA KWA NYUMBA ZA TAIFA
KIWIRA COAL MINE
UKOSEFU WA DAWA HOSPITALI ZA UMMA
KUSHUKA KWA ELIMU
MIGOMO YA WAALIMU NA MADAKTARI
MIGOMO YA WANAFUNZI
MIGOGORO YA ARDHI KUTOKANA NA SERIKALI
KUWATHAMINI WAWEKEZAJI WA KIGENI
KUHODHI VIWANJA VYA MICHEZO
KUHODHI MAJJENGO YA UMMA
KULINDA WEZI, MAFISADI NA WAHUJUMU UCHUMI
KUUA VIWANDA ALIVYO VIJENGA MWALIMU
NYERERE
KUUA MASHIRIKA YA UMMA
KUONGEZA MATABAKA KWA WANANCHI
KUUA WANAHARAKATI NA WAANDISHI WA HABARI
( MWANGOSI)
KUPITISHA RASIMU ISIO YA MUAFAKA
ILIYO
FEKI
HIvyo basi,
nashangazwa na watu waelewa humu wanaosema
magufuli jembe
Wakati yupo serikalini tangu 1995
Ndani ya ccm
Nani ametuloga ??
Hapa magufuli ni pombe ile ile kwenye chupa
mpya.
Maskini Tz
Au elimu ya uraia tatizo ???

Take my like thru my mobile device
 
Ni ujinga na wehu kuamini candidate wa Ccm John Pombe Magufuli anaweza kushinda uchaguzi mkuu octoba.
Nasema haya ukizingatia magufuli huyu huyu jimboni kwake Chato pamoja na kuwa mzaliwa na kuliongoza kwa miaka 20
Bado kwenye uchaguzi wa serekali za mtaa na vitongoji John huyu huyu alipigwa chini vibaya na wapinzani.
So tunavyotumia lugha laini kuwa Magufuli si kitu kwa Ukawa lazima Ccm wakubali waliteleza kumpendekeza.
Yapo mambo yaliyojificha mtu anaweza kuyabishia,Lakini si mambo yapo wazi kama hili na Magufuli kwenda kudodokea pua mbele ya candidate wa Ukawa"Na mfano mdogo tu ndio huo na upo wazi"
Wakati mwingine siasa na ushabiki zinawapofusha. Magufuli anagombea urais, siyo ubunge au udiwani. Yawezekana kabisa baada ya kuwa mbunge kwa miaka 20 wapiga kura wake jimboni walishamchoka, they wanted a change. Lakini sasa wapiga kura wake ni zaidi ya wale wa jimboni mwake. Yawezekana pia hata katika jimbo lake wakamuunga mkono kwa nafasi hii ya urais. Tafakari zaidi kuliko hii sababu nyepesi. Mtamshinda tu Magufuli ikiwa mtakuwa na mshindani mzuri zaidi akisindikizwa na sera bora zaidi katika ilani yenu.
 
Kakataliwa Na MAPOPOMA ( You Inclusive ) Wasiozidi Hata 50,000 Wa Huko Kwao Lakini Watanzania Zaidi Ya Milioni 20 Hadi 25 Tutamchagua October 25, 2015.
Kauli ya kijinga vilevile. Milioni 20 au 25 haifikii bilakuwa na 50,000. Acheni kauli na lugha za matusi kwa watanzania. Hasira zenu mnaweza kuzizuia ili muwe na mjadala bora.
 
magufuli kushinda urais itategemea udhaifu wa ukawa na mgombea watakayemweka...
 
Wanaita jembe na tinga tinga wakumbuke Malecela walimuita hivyo,juzi nilikuwa bwanga eneo la magufuli na Muganza wanasema ili jembe litakuja kulima na sisi aone machungu ya kilimo na kuvua kutumia nyavu haramu alizozichoma bila kutupa mbadala
 
Yaani hii nchi cjui nani kailoga na watu wake
Yaani tumesha sahau
ESCROW
EPA
RICHMOND
KAGODA
BUZWAGI
MEREMETA
TEMBO KUUAWA
TWIGA KUPANDA NDEGE
MISAMAHA YA MADINI
MISWADA YA HOVYO YA GESI NA MAFUTA
KUPANDISHWA HOVYO BEI YA MAFUTA
WATOTO KUKAA CHINI
AKINA MAMA KUZALIA CHINI
MATAJIRI KUTHAMINIWA
UBOVU WA BARABARA
UBOVU WA RELLI
UHABA WA MAJI SAFI NA SALAMA
KUUZWA BENKI YA TAIFA
KUUZWA KWA SHIRIKA LA NDEGE
KUUZWA KWA NYUMBA ZA TAIFA
KIWIRA COAL MINE
UKOSEFU WA DAWA HOSPITALI ZA UMMA
KUSHUKA KWA ELIMU
MIGOMO YA WAALIMU NA MADAKTARI
MIGOMO YA WANAFUNZI
MIGOGORO YA ARDHI KUTOKANA NA SERIKALI
KUWATHAMINI WAWEKEZAJI WA KIGENI
KUHODHI VIWANJA VYA MICHEZO
KUHODHI MAJJENGO YA UMMA
KULINDA WEZI, MAFISADI NA WAHUJUMU UCHUMI
KUUA VIWANDA ALIVYO VIJENGA MWALIMU
NYERERE
KUUA MASHIRIKA YA UMMA
KUONGEZA MATABAKA KWA WANANCHI
KUUA WANAHARAKATI NA WAANDISHI WA HABARI
( MWANGOSI)
KUPITISHA RASIMU ISIO YA MUAFAKA
ILIYO
FEKI
HIvyo basi,
nashangazwa na watu waelewa humu wanaosema
magufuli jembe
Wakati yupo serikalini tangu 1995
Ndani ya ccm
Nani ametuloga ??
Hapa magufuli ni pombe ile ile kwenye chupa
mpya.
Maskini Tz
Au elimu ya uraia tatizo ???
Tuna kazi kubwa sana kuelimishwa sie watanzania kuhusu matatizo yetu, hasa ili jinamizi sisiemu. Maana ni yale yale na ambayo tunayafahamu kuanzia kidoleni hadi utosini lakini wala hatubadiliki.
 
Ni ujinga na wehu kuamini candidate wa CCM John Pombe Magufuli anaweza kushinda uchaguzi mkuu Octoba.
Nasema haya ukizingatia Magufuli huyu huyu jimboni kwake Chato pamoja na kuwa mzaliwa na kuliongoza kwa miaka 20
Bado kwenye uchaguzi wa serekali za mtaa na vitongoji John huyu huyu alipigwa chini vibaya na wapinzani.
So tunavyotumia lugha laini kuwa Magufuli si kitu kwa Ukawa lazima Ccm wakubali waliteleza kumpendekeza.
Yapo mambo yaliyojificha mtu anaweza kuyabishia,Lakini si mambo yapo wazi kama hili na Magufuli kwenda kudodokea pua mbele ya candidate wa UKAWA "Na mfano mdogo tu ndio huo na upo wazi"

Ukawa mnatapatapa sana.Urais hamna chenu.hizo fedha za kampeni ya urais itakuwa vema mkijengea office angalau muwe na makazi maalum
 
Back
Top Bottom